Ituzaingo Argentina
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 1,868
- 2,191
- Thread starter
- #101
Pumbavu, udini wako ni wa kishetani
Hamuna hoja za kushindana na waislamu, mnabakia kukejeli, kukashifu na kutukana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pumbavu, udini wako ni wa kishetani
Mdogo wetu kafa na waliomuua nao wameshakufa,,,sasa yanini kufurahia...
Na walimuua kimakusudi wakijirekodi na body camera!!!
Sikuwahi kufikiri kuwa kuna Mpalestina anayeweza kuandika Kiswahili kwa ufasaha namna hii. Kumbe wapo!!View attachment 2843958
Halafu anakuja mtu from nowhere anaumia na kifo cha mtanzania mmoja!
View attachment 2843959
2 days ago
Inasikitisha sana kuona watu wasio na hatia wakiuawa, wakijeruhiwa na wengine kuachwa wakiwa katika ulemavu ilhali kuna watanzania wanafurahia!
Lakini pia msifikiri waliokufa ni maiti, Laa[emoji116]
وَلَا تَحْسَبَنَّ الَّذِينَ قُتِلُوا فِي سَبِيلِ اللَّهِ أَمْوَاتًا ۚ بَلْ أَحْيَاءٌ عِنْدَ رَبِّهِمْ يُرْزَقُونَ
169 Al-'imran(The Family of Imran)
Wala kabisa usiwadhanie walio uliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa ni maiti. Bali hao ni wahai, wanaruzukiwa kwa Mola wao Mlezi.
فَرِحِينَ بِمَا آتَاهُمُ اللَّهُ مِنْ فَضْلِهِ وَيَسْتَبْشِرُونَ بِالَّذِينَ لَمْ يَلْحَقُوا بِهِمْ مِنْ خَلْفِهِمْ أَلَّا خَوْفٌ عَلَيْهِمْ وَلَا هُمْ يَحْزَنُونَ
170 Al-Imran
Wanafurahia aliyo wapa Mwenyezi Mungu kwa fadhila yake, na wanawashangilia wale ambao bado hawajajiunga nao, walio nyuma yao, ya kwamba haitakuwa khofu juu yao wala hawatahuzunika.
يَسْتَبْشِرُونَ بِنِعْمَةٍ مِنَ اللَّهِ وَفَضْلٍ وَأَنَّ اللَّهَ لَا يُضِيعُ أَجْرَ الْمُؤْمِنِينَ
171 Al-Imran
Wanashangilia neema na fadhila za Mwenyezi Mungu, na ya kwamba Mwenyezi Mungu hapotezi ujira wa Waumini
الَّذِينَ اسْتَجَابُوا لِلَّهِ وَالرَّسُولِ مِنْ بَعْدِ مَا أَصَابَهُمُ الْقَرْحُ ۚ لِلَّذِينَ أَحْسَنُوا مِنْهُمْ وَاتَّقَوْا أَجْرٌ عَظِيمٌ
172 Al-Imran
Walio mwitikia Mwenyezi Mungu na Mtume baada ya kwisha patwa na majeraha - kwa walio fanya wema miongoni mwao na wakamchamngu utakuwa ujira mkubwa
Nitawashangaa sana Mods wakiuhamisha ama kuufuta uzi huu
Makazi ya mbwa wa kiarabu yamekuwa magofu😂😂😂😂Ndoto za mchana hizo
Hamas, endeleeni kuwapa dozi hao magaidi ya kizayuni waliopoteza uhai kwa innocent people
Sasa mkuu mtazamo wako na ufuasi wako wa dini ya kiarabu na anayosema huyo mungu wa kiarabu na vitabu vyake vya adithi za kiarabu usilazimishe watu wote tuufuate na kuamini
Tupo watu wa asili na imani tofauti duniani,,,na imani yako ni suala individual.
NB: TATIZO LA WAISLAMU NA WAARABU NI KULAZIMISHA MITAZAMO YAO KWA WENGINE NA NDIPO MIFARAKANO INAPOANZIA MFANO MZURI SUDAN 1982
Makazi ya mbwa wa kiarabu yamekuwa magofu😂😂😂😂
Mkuu anaelilia cease fire kule DOHA QATAR ni nani?????Hamas anadili na idf, na anawakanda kweli kweli
Idf wao wanauwa innocent people
So, wengi wenu mpo kichuki, na kufurahia mauwaji ya wasio na hatia
Kweli kama huna imani ni mtihani mkubwa sana. Najivunia sana kuwa Muislamu, kuwa muislamu ni neema kubwa. Alhamdu Lillah
Kwahiyo hao sio waarabu wa gaza ni konde gang????Una uhakika huyo ni mollel?
Una uhakika hao ni Hamas?
Mkuu hao wafilisti waliwepo hapo Palestina/Kanaan miaka 3000 kabla hata ujio wa Abraham(babu yake Yakobo) kutoka Iraq.Ila wao waarabu hawataki kuutambua ukweli kua wayahudi walikua na himaya zao hapo kabla ya wao.....
Ni unafiki kusema himaya ya wayahudi imeanzia 1948.....na huu unafiki unatufanya tuwaone waarabu na waislamu kua wajinga kwa kujaribu kuficha historia ya himaya za wayahudi na aridhi ya asili yao.
NB: WAYAHUDI SIO WALOWEZI ILE NI ARDHI YA MABABU ZAO HISTORIA IPO WAZI MKUBALI MKATAE.....
NA NDIO MAANA CROWN PRINCE WA SAUDIA ALIWAAMBIA WAARABU NA WAISLAMU WAACHE UPUMBAVU NA UNAFIKI KUHUSU HISTORIA YA WAYAHUDI
Upo sahii na kabla ya hao wafilisti waliokaa Gaza walikuepo wayebusiwakiokaa Jerusalem na waarothi waliokaa ngambo ya mto jordan na wanefili usiwasahau na jamii nyingine nyingi.....kama wazanoth piaMkuu hao wafilisti waliwepo hapo Palestina/Kanaan miaka 3000 kabla hata ujio wa Abraham(babu yake Yakobo) kutoka Iraq.
Hao Wafilist ndio walimuuzia Abraham kiwanja ili ajenge makazi ya kuishi yeye na mkewe Sara.
Kama wayahudi walikuwepo miaka 3000 hao Wafilist walikuwepo hapo kanaan zaidi ya miaka 6000 nyuma, utajijibu mwenyewe hapo mgeni ni nani.
Wageni ni wote waarabu na wayahudi.......Mkuu hao wafilisti waliwepo hapo Palestina/Kanaan miaka 3000 kabla hata ujio wa Abraham(babu yake Yakobo) kutoka Iraq.
Hao Wafilist ndio walimuuzia Abraham kiwanja ili ajenge makazi ya kuishi yeye na mkewe Sara.
Kama wayahudi walikuwepo miaka 3000 hao Wafilist walikuwepo hapo kanaan zaidi ya miaka 6000 nyuma, utajijibu mwenyewe hapo mgeni ni nani.
Hakuna mwarabu yoyote anaekataa uwepo wa wayahudi katika nchi ya Palestina.Upo sahii na kabla ya hao wafilisti waliokaa Gaza walikuepo wayebusiwakiokaa Jerusalem na waarothi waliokaa ngambo ya mto jordan na wanefili usiwasahau na jamii nyingine nyingi.....kama wazanoth pia
Pointi ni kwamba waarabu na waislamu wanakataa uwepo wa wayahudi waebrania hapo kabla ya waarabu.
NB: USICHANGANYE JAMII ZA HAPO GAZA NA MIJI MINGINE KAMA YERIKO SADOKI NA WARAABU AU WAYAHUDI MKUU......
Mkuu pointi yangu ni kwamba waarabu waliwakuta waebrania kabla yao hapo Kaanani...Hakuna mwarabu yoyote anaekataa uwepo wa wayahudi katika nchi ya Palestina.
Waarabu wameishi na wayahudi kwa amani miaka na miaka kwenye nchi zao za kiarabu na wala hawakuwahi kubaguliwa kwa sababu ya uyahudi wao.
Ingia hata sasa hivi youtube andika Jews in Yemen utawaona maelfu ya mayahudi wanaishi miaka kibao na mpaka sasa hivi tena wako proud kabisa wao kuwa Wayemen, ukicheki morocco pia wayahudi wamejazana tele na wanaishi kwa amani.
Wayahudi wenyewe wanasema wameishi miaka mingi katika nchi za kiarabu kwa amani kuliko hata ulaya ambako wazungu walikua wanashindwa kuwavumilia kwa mambo yao na kuwaua kwa mauaji ya kimbari pamoja na kuwatimua katika nchi zao.
Chini nimekuwekea video za Rabbis wa kiyahudi wakiongea haya ninayokwambia.
Wapalestina kitu wanachogombana na zionist ni apartheid na Occupation.
Wako wayahudi wengi tu ndani na nje ya Israel hawakubaliani kabisa na uwonevu wanao fanyiwa wapelestina katika nchi yao.
Instagram kuna account ya wayahudi inaitwa jewish voice for peace, kama unataka kweli kujifunza sababu haswa ya mgogoro wa Palestina na Wazayuni nakuomba pitia hio account utajifunza mengi sana ambayo ulikua hauyajui na wanayoyaongea hayo ni wayahudi wenyewe wala sio wapalestina. View attachment 2846836View attachment 2846846
View attachment 2846852View attachment 2846853View attachment 2846855
Mkuu tatizo la waislamu na waarabu ni unafiki wa kihistoria linapokuja suala la wayahudi na kuna vipengele wanaviruka kimakusudi na kinafikiHakuna mwarabu yoyote anaekataa uwepo wa wayahudi katika nchi ya Palestina.
Waarabu wameishi na wayahudi kwa amani miaka na miaka kwenye nchi zao za kiarabu na wala hawakuwahi kubaguliwa kwa sababu ya uyahudi wao.
Ingia hata sasa hivi youtube andika Jews in Yemen utawaona maelfu ya mayahudi wanaishi miaka kibao na mpaka sasa hivi tena wako proud kabisa wao kuwa Wayemen, ukicheki morocco pia wayahudi wamejazana tele na wanaishi kwa amani.
Wayahudi wenyewe wanasema wameishi miaka mingi katika nchi za kiarabu kwa amani kuliko hata ulaya ambako wazungu walikua wanashindwa kuwavumilia kwa mambo yao na kuwaua kwa mauaji ya kimbari pamoja na kuwatimua katika nchi zao.
Chini nimekuwekea video za Rabbis wa kiyahudi wakiongea haya ninayokwambia.
Wapalestina kitu wanachogombana na zionist ni apartheid na Occupation.
Wako wayahudi wengi tu ndani na nje ya Israel hawakubaliani kabisa na uwonevu wanao fanyiwa wapelestina katika nchi yao.
Instagram kuna account ya wayahudi inaitwa jewish voice for peace, kama unataka kweli kujifunza sababu haswa ya mgogoro wa Palestina na Wazayuni nakuomba pitia hio account utajifunza mengi sana ambayo ulikua hauyajui na wanayoyaongea hayo ni wayahudi wenyewe wala sio wapalestina. View attachment 2846836View attachment 2846846
View attachment 2846852View attachment 2846853View attachment 2846855
Hakuna occupation hapo,,maana wayahudi wana haki na ardhiya mababu zao...Hakuna mwarabu yoyote anaekataa uwepo wa wayahudi katika nchi ya Palestina.
Waarabu wameishi na wayahudi kwa amani miaka na miaka kwenye nchi zao za kiarabu na wala hawakuwahi kubaguliwa kwa sababu ya uyahudi wao.
Ingia hata sasa hivi youtube andika Jews in Yemen utawaona maelfu ya mayahudi wanaishi miaka kibao na mpaka sasa hivi tena wako proud kabisa wao kuwa Wayemen, ukicheki morocco pia wayahudi wamejazana tele na wanaishi kwa amani.
Wayahudi wenyewe wanasema wameishi miaka mingi katika nchi za kiarabu kwa amani kuliko hata ulaya ambako wazungu walikua wanashindwa kuwavumilia kwa mambo yao na kuwaua kwa mauaji ya kimbari pamoja na kuwatimua katika nchi zao.
Chini nimekuwekea video za Rabbis wa kiyahudi wakiongea haya ninayokwambia.
Wapalestina kitu wanachogombana na zionist ni apartheid na Occupation.
Wako wayahudi wengi tu ndani na nje ya Israel hawakubaliani kabisa na uwonevu wanao fanyiwa wapelestina katika nchi yao.
Instagram kuna account ya wayahudi inaitwa jewish voice for peace, kama unataka kweli kujifunza sababu haswa ya mgogoro wa Palestina na Wazayuni nakuomba pitia hio account utajifunza mengi sana ambayo ulikua hauyajui na wanayoyaongea hayo ni wayahudi wenyewe wala sio wapalestina. View attachment 2846836View attachment 2846846
View attachment 2846852View attachment 2846853View attachment 2846855
Tuache unafiki wa kihistoria sababu ya udini kuna masalia mangapi ya wayahudi waliokimbia ukimbizini nchi za kiarabu baada ya kuvamiwa na kutolewa pale na warumi na makhalifa wa kiarabu na waturuki?????Hakuna mwarabu yoyote anaekataa uwepo wa wayahudi katika nchi ya Palestina.
Waarabu wameishi na wayahudi kwa amani miaka na miaka kwenye nchi zao za kiarabu na wala hawakuwahi kubaguliwa kwa sababu ya uyahudi wao.
Ingia hata sasa hivi youtube andika Jews in Yemen utawaona maelfu ya mayahudi wanaishi miaka kibao na mpaka sasa hivi tena wako proud kabisa wao kuwa Wayemen, ukicheki morocco pia wayahudi wamejazana tele na wanaishi kwa amani.
Wayahudi wenyewe wanasema wameishi miaka mingi katika nchi za kiarabu kwa amani kuliko hata ulaya ambako wazungu walikua wanashindwa kuwavumilia kwa mambo yao na kuwaua kwa mauaji ya kimbari pamoja na kuwatimua katika nchi zao.
Chini nimekuwekea video za Rabbis wa kiyahudi wakiongea haya ninayokwambia.
Wapalestina kitu wanachogombana na zionist ni apartheid na Occupation.
Wako wayahudi wengi tu ndani na nje ya Israel hawakubaliani kabisa na uwonevu wanao fanyiwa wapelestina katika nchi yao.
Instagram kuna account ya wayahudi inaitwa jewish voice for peace, kama unataka kweli kujifunza sababu haswa ya mgogoro wa Palestina na Wazayuni nakuomba pitia hio account utajifunza mengi sana ambayo ulikua hauyajui na wanayoyaongea hayo ni wayahudi wenyewe wala sio wapalestina. View attachment 2846836View attachment 2846846
View attachment 2846852View attachment 2846853View attachment 2846855
Namwona HAMAS wa Buza Kwa Lulenge anakuja ku halalisha udhalimu wa HamasView attachment 2843958
Halafu anakuja mtu from nowhere anaumia na kifo cha mtanzania mmoja!
View attachment 2843959
2 days ago
Inasikitisha sana kuona watu wasio na hatia wakiuawa, wakijeruhiwa na wengine kuachwa wakiwa katika ulemavu ilhali kuna watanzania wanafurahia!
Lakini pia msifikiri waliokufa ni maiti, Laa👇
وَلَا تَحْسَبَنَّ الَّذِينَ قُتِلُوا فِي سَبِيلِ اللَّهِ أَمْوَاتًا ۚ بَلْ أَحْيَاءٌ عِنْدَ رَبِّهِمْ يُرْزَقُونَ
169 Al-'imran(The Family of Imran)
Wala kabisa usiwadhanie walio uliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa ni maiti. Bali hao ni wahai, wanaruzukiwa kwa Mola wao Mlezi.
فَرِحِينَ بِمَا آتَاهُمُ اللَّهُ مِنْ فَضْلِهِ وَيَسْتَبْشِرُونَ بِالَّذِينَ لَمْ يَلْحَقُوا بِهِمْ مِنْ خَلْفِهِمْ أَلَّا خَوْفٌ عَلَيْهِمْ وَلَا هُمْ يَحْزَنُونَ
170 Al-Imran
Wanafurahia aliyo wapa Mwenyezi Mungu kwa fadhila yake, na wanawashangilia wale ambao bado hawajajiunga nao, walio nyuma yao, ya kwamba haitakuwa khofu juu yao wala hawatahuzunika.
يَسْتَبْشِرُونَ بِنِعْمَةٍ مِنَ اللَّهِ وَفَضْلٍ وَأَنَّ اللَّهَ لَا يُضِيعُ أَجْرَ الْمُؤْمِنِينَ
171 Al-Imran
Wanashangilia neema na fadhila za Mwenyezi Mungu, na ya kwamba Mwenyezi Mungu hapotezi ujira wa Waumini
الَّذِينَ اسْتَجَابُوا لِلَّهِ وَالرَّسُولِ مِنْ بَعْدِ مَا أَصَابَهُمُ الْقَرْحُ ۚ لِلَّذِينَ أَحْسَنُوا مِنْهُمْ وَاتَّقَوْا أَجْرٌ عَظِيمٌ
172 Al-Imran
Walio mwitikia Mwenyezi Mungu na Mtume baada ya kwisha patwa na majeraha - kwa walio fanya wema miongoni mwao na wakamchamngu utakuwa ujira mkubwa
Nitawashangaa sana Mods wakiuhamisha ama kuufuta uzi huu
unahamasisha watanzania wasiumie kwa msiba wa mtanzania mwenzao loh! Una uzarendo na nchi za watu , nchi yako nani ataihurumiaView attachment 2843958
Halafu anakuja mtu from nowhere anaumia na kifo cha mtanzania mmoja!
View attachment 2843959
2 days ago
Inasikitisha sana kuona watu wasio na hatia wakiuawa, wakijeruhiwa na wengine kuachwa wakiwa katika ulemavu ilhali kuna watanzania wanafurahia!
Lakini pia msifikiri waliokufa ni maiti, Laa
Unafiki ni mzigo...Hakuna mwarabu yoyote anaekataa uwepo wa wayahudi katika nchi ya Palestina.
Waarabu wameishi na wayahudi kwa amani miaka na miaka kwenye nchi zao za kiarabu na wala hawakuwahi kubaguliwa kwa sababu ya uyahudi wao.
Ingia hata sasa hivi youtube andika Jews in Yemen utawaona maelfu ya mayahudi wanaishi miaka kibao na mpaka sasa hivi tena wako proud kabisa wao kuwa Wayemen, ukicheki morocco pia wayahudi wamejazana tele na wanaishi kwa amani.
Wayahudi wenyewe wanasema wameishi miaka mingi katika nchi za kiarabu kwa amani kuliko hata ulaya ambako wazungu walikua wanashindwa kuwavumilia kwa mambo yao na kuwaua kwa mauaji ya kimbari pamoja na kuwatimua katika nchi zao.
Chini nimekuwekea video za Rabbis wa kiyahudi wakiongea haya ninayokwambia.
Wapalestina kitu wanachogombana na zionist ni apartheid na Occupation.
Wako wayahudi wengi tu ndani na nje ya Israel hawakubaliani kabisa na uwonevu wanao fanyiwa wapelestina katika nchi yao.
Instagram kuna account ya wayahudi inaitwa jewish voice for peace, kama unataka kweli kujifunza sababu haswa ya mgogoro wa Palestina na Wazayuni nakuomba pitia hio account utajifunza mengi sana ambayo ulikua hauyajui na wanayoyaongea hayo ni wayahudi wenyewe wala sio wapalestina. View attachment 2846836View attachment 2846846
View attachment 2846852View attachment 2846853View attachment 2846855
Ndio maana hujawa moderator, atleast wao hawana akili fupi kama zakoNingekuwa mods ungekula ban ya milele. Shuaini zako wameuwawa watamzania wawili bila hatia unaleta porojo za udini hapa kisa hawakuwa wa dini pendwa yako.