Ndoto za Wanafunzi "Mashahidi" Waliouawa na uvamizi wa Mazayuni

Hapana siendelei tena nishahisi ninaejadiliana nae ni mtu ambae shingo yake imebeba tu box la chuki.
Heheeee
Hajitambui nilimramba block huyo jamaa tokea Russia vs Ukraine kule
Maana hajawahi kua na hoja zaidi ya vihoja uchwara
 
Ningekuwa mods ungekula ban ya milele. Shuaini zako wameuwawa watamzania wawili bila hatia unaleta porojo za udini hapa kisa hawakuwa wa dini pendwa yako.
Mpuuzi huyo hana hata ya kumjibu lolote
 
Hamas wanakwambieni piganeni tu ila mwisho mtakimbia wenyewe
Kule Qatar mmerejelea tena kutafuta nini piganeni
Shida watu wanapigana vitani nyie mnaoana wanaume kwa wanaume hapa ndio shida huanzia kwenu
unavyoongea utafikiri upo gaza. Imagine ubabe wote ule, kibri chote kile, kujifanya miamba kwa raia wasio na silaha, leo wanaenda kuliwa kabang na mazayuni. hofu zimewajaa, hawajui wataamkia wapi. na gazeti moja la israel limeandika wengi wa hao wamefia lock up. hatujui wamefia nini.
View: https://twitter.com/i/status/1736808590135243181
 
anayeua ndugu yako ni adui yako ila ndio Ivo Tena Imani imetufanya mapimbi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…