Ndugai acha kuwaona watanzania ni wajinga. Kama Hayati Magufuli alipotoshwa, wewe kama Spika kwanini haukumshauri?

Ndugai acha kuwaona watanzania ni wajinga. Kama Hayati Magufuli alipotoshwa, wewe kama Spika kwanini haukumshauri?

Tunapoenda tunaelekea pabaya sana. Na hii ni dalili mbaya sana ya kuwepo kwa viongozi wanafiki na wasiofaa katika jamii yetu.

Rais wa JMT ni sehemu ya bunge, bunge la JMT lina mamlaka ya kuisimamia serikali na kuhoji pale serikali inapofanya ndivyo sivyo, hili lipo wazi kabisa kwa mujibu wa katiba ya JMT ibara ya 63.

Leo hii spika Ndugai anaongea mambo na kuwaona watanzania ni wajinga? Kwamba alienda huko China na kuonana na bodi ya kampuni ya China Merchant, na walitoa presentation nzuri yenye kumuhakikishia kuwa wakipewa kazi ya kujenga mradi wa bandari Bagamoyo, utakuwa na faida kw Tanzania

Kwa kumalizia anasema mkuu wa nchi aliyekuwepo alipotoshwa na ndio maana akaupiga chini mradi wa Bagamoyo. Sasa kama alipotoshawa na wewe na Bunge lako mna mamlaka ya kuhoji, na kuisimamia serikali kwa nini hamkueleza ukweli? Leo unasubiri hayupo baaada ya kufariki ndio unatufanya watoto?

Wewe kama mkuu wa bunge, ulishindwa vipi kujadili na wabunge ili kumuambia mkuu wa nchi aliyekuwepo kuwa anapotoshwa? Na je, kama alikuwa hapotoshwi ila kulikuwa na mashariti yasiyo na tija?
Nina hakika Ndugai hawezi kujibu swali hili la msingi kabisa.
 
unajiuliza magufuli alikuwa mbovu mbona walimsifia kwa nguvu zote? Mbona walimshauri kwa nguvu zote? Hawakuwa royal kwake hawa waganga njaa.
Sema kiongozi, akisema NDUGAI nashangaa mpaka K VANT inanipalia, Mdugai anashangaa kuwa yeye ni Spika wa Bunge kwa Ubabe wa Magufuli, anasahau kuwa bila magufuli huenda angekuwa ardhini. Short time will tell
 
Tunapoenda tunaelekea pabaya sana. Na hii ni dalili mbaya sana ya kuwepo kwa viongozi wanafiki na wasiofaa katika jamii yetu.

Rais wa JMT ni sehemu ya bunge, bunge la JMT lina mamlaka ya kuisimamia Serikali na kuhoji pale serikali inapofanya ndivyo sivyo, hili lipo wazi kabisa kwa mujibu wa katiba ya JMT ibara ya 63.

Leo hii spika Ndugai anaongea mambo na kuwaona watanzania ni wajinga? Kwamba alienda huko China na kuonana na bodi ya kampuni ya China Merchant, na walitoa presentation nzuri yenye kumuhakikishia kuwa wakipewa kazi ya kujenga mradi wa bandari Bagamoyo, utakuwa na faida kw Tanzania

Kwa kumalizia anasema mkuu wa nchi aliyekuwepo alipotoshwa na ndio maana akaupiga chini mradi wa Bagamoyo. Sasa kama alipotoshawa na wewe na Bunge lako mna mamlaka ya kuhoji, na kuisimamia serikali kwa nini hamkueleza ukweli? Leo unasubiri hayupo baaada ya kufariki ndio unatufanya watoto?

Wewe kama mkuu wa bunge, ulishindwa vipi kujadili na wabunge ili kumuambia mkuu wa nchi aliyekuwepo kuwa anapotoshwa? Na je, kama alikuwa hapotoshwi ila kulikuwa na mashariti yasiyo na tija?
Aisee poke Sana... Hiyo clip sio ya leo... Aliongeaga siku nyingi magu akiwa hai
 
Hilo gogo lilipewa mzigo, linatetea tumbo lake. Nadhani kichwa chake kimekuwa affected na ugonjwa wake, kiasi kwamba uwezo wake wa kufikiri unatia shaka
 
Ndugai ni mtu asieaminika wala simsemi zaidi. ni Huyu aliesema Magufuli aongezewe muda atake asitake..Ni huyu huyu aliesema amekutana na watu kwa bahati mbaya huko China....Hivi unawezaje kukutana na mtu kwa bahati mbaya mkafanyiana Presentation???

Wewe Mzee huaminiki...Ingekua nchi nyingine wangekulazimisha ujiuzulu...
kwani katiba ya nchi yetu inasemaje kuhusu kumlazimisha spika kujiuzulu?
 
Pasipo maono, taifa huangamia. Hawa watu wanang'ang'ana kutupeleka wasipopajua.
 
Sema kiongozi, akisema NDUGAI nashangaa mpaka K VANT inanipalia, Mdugai anashangaa kuwa yeye ni Spika wa Bunge kwa Ubabe wa Magufuli, anasahau kuwa bila magufuli huenda angekuwa ardhini. Short time will tell
Angekuwa marehem long time.umenikumbusha yaliyompata huyo mpuuzi magufuli akaweka pale nguvu zake akarudi kuwa hai
 
Tatizo marehemu alikuwa hashauriki kabisa, na ukimshauri ndio unakuwa umeharibu kabisa. Hayo ni maneno yake mwenyewe aliwahi kusema.
 
Tunapoenda tunaelekea pabaya sana. Na hii ni dalili mbaya sana ya kuwepo kwa viongozi wanafiki na wasiofaa katika jamii yetu.

Rais wa JMT ni sehemu ya bunge, bunge la JMT lina mamlaka ya kuisimamia Serikali na kuhoji pale serikali inapofanya ndivyo sivyo, hili lipo wazi kabisa kwa mujibu wa katiba ya JMT ibara ya 63.

Leo hii spika Ndugai anaongea mambo na kuwaona watanzania ni wajinga? Kwamba alienda huko China na kuonana na bodi ya kampuni ya China Merchant, na walitoa presentation nzuri yenye kumuhakikishia kuwa wakipewa kazi ya kujenga mradi wa bandari Bagamoyo, utakuwa na faida kw Tanzania

Kwa kumalizia anasema mkuu wa nchi aliyekuwepo alipotoshwa na ndio maana akaupiga chini mradi wa Bagamoyo. Sasa kama alipotoshawa na wewe na Bunge lako mna mamlaka ya kuhoji, na kuisimamia serikali kwa nini hamkueleza ukweli? Leo unasubiri hayupo baaada ya kufariki ndio unatufanya watoto?

Wewe kama mkuu wa bunge, ulishindwa vipi kujadili na wabunge ili kumuambia mkuu wa nchi aliyekuwepo kuwa anapotoshwa? Na je, kama alikuwa hapotoshwi ila kulikuwa na mashariti yasiyo na tija?
Kwenye clip hiyo hiyo uliyoiona Ndugai anasema kuwa Mkubwa kama yule Hayati akishakataa inabidi unyamaze. Badala ya Ndugai, mlaumu Hayati ambaye aliwaondolea hata wakuu wa Bunge haki ya kuhoji
 
Tunapoenda tunaelekea pabaya sana. Na hii ni dalili mbaya sana ya kuwepo kwa viongozi wanafiki na wasiofaa katika jamii yetu.

Rais wa JMT ni sehemu ya bunge, bunge la JMT lina mamlaka ya kuisimamia Serikali na kuhoji pale serikali inapofanya ndivyo sivyo, hili lipo wazi kabisa kwa mujibu wa katiba ya JMT ibara ya 63.

Leo hii spika Ndugai anaongea mambo na kuwaona watanzania ni wajinga? Kwamba alienda huko China na kuonana na bodi ya kampuni ya China Merchant, na walitoa presentation nzuri yenye kumuhakikishia kuwa wakipewa kazi ya kujenga mradi wa bandari Bagamoyo, utakuwa na faida kw Tanzania

Kwa kumalizia anasema mkuu wa nchi aliyekuwepo alipotoshwa na ndio maana akaupiga chini mradi wa Bagamoyo. Sasa kama alipotoshawa na wewe na Bunge lako mna mamlaka ya kuhoji, na kuisimamia serikali kwa nini hamkueleza ukweli? Leo unasubiri hayupo baaada ya kufariki ndio unatufanya watoto?

Wewe kama mkuu wa bunge, ulishindwa vipi kujadili na wabunge ili kumuambia mkuu wa nchi aliyekuwepo kuwa anapotoshwa? Na je, kama alikuwa hapotoshwi ila kulikuwa na mashariti yasiyo na tija?
Kwani mwendazake alikuwa anashaurika
 
Unafiki mbaya sana ni zaidi ya uchawi.
Leo ndugai anasema mwendazake alishauriwa vibaya,na nanii,alichukua unamuzi gani kama spika?
Kweli mchawi wa maendeleo ya Tanzania ni mtanzania.
Yote haya yalipita bungeni akiwemo, wakiwemo, wakakata na viuno kwa vifijo na nderemo, huku wakiwananga waliokuwa kinyume nao na kuwabatiza WASALITI
 
Tunapoenda tunaelekea pabaya sana. Na hii ni dalili mbaya sana ya kuwepo kwa viongozi wanafiki na wasiofaa katika jamii yetu.

Rais wa JMT ni sehemu ya bunge, bunge la JMT lina mamlaka ya kuisimamia Serikali na kuhoji pale serikali inapofanya ndivyo sivyo, hili lipo wazi kabisa kwa mujibu wa katiba ya JMT ibara ya 63.

Leo hii spika Ndugai anaongea mambo na kuwaona watanzania ni wajinga? Kwamba alienda huko China na kuonana na bodi ya kampuni ya China Merchant, na walitoa presentation nzuri yenye kumuhakikishia kuwa wakipewa kazi ya kujenga mradi wa bandari Bagamoyo, utakuwa na faida kw Tanzania

Kwa kumalizia anasema mkuu wa nchi aliyekuwepo alipotoshwa na ndio maana akaupiga chini mradi wa Bagamoyo. Sasa kama alipotoshawa na wewe na Bunge lako mna mamlaka ya kuhoji, na kuisimamia serikali kwa nini hamkueleza ukweli? Leo unasubiri hayupo baaada ya kufariki ndio unatufanya watoto?

Wewe kama mkuu wa bunge, ulishindwa vipi kujadili na wabunge ili kumuambia mkuu wa nchi aliyekuwepo kuwa anapotoshwa? Na je, kama alikuwa hapotoshwi ila kulikuwa na mashariti yasiyo na tija?
Ndugai anataka kutengeneza deal lake mapema mapema. Huu mradi anataka urudi ili anemeeke yeye binafsi.
Mama Samia awe mwangalifu na hawa ndumila kuwili. Wanaweza kuwa wanatengeneza kashfa ambayo itakuja sumbua mbele ya safari. Siwaamini kabisa sasa hivi. Wanabadilika kama vinyonga
 
Yaani najiuliza hawa watu ni wajinga kiasi gani? Sasa ndo najua kwa nini magufuli alikuwa akifanya kazi hata ambazo alitakiwa kufanya mtendaji wa kata.

Ni kwa sababu alijua anaofanya nao ni wajinga analazimika kufanya kazi mwenyewe.

Yaani wote ni wachumia tumbo hatuna wasomi wazalendo jitu linaangalia tumbo lake.

Hawa hawa ndo alifanya nao kazi kwa ukaribu leo ndo wako mstari wa mbele kumponda.

Kifo ni fumbo kama marehemu angekuwa anarudi kuwa hai duniani jpm tungempa kura za kumwaga akasafishe huu upuuzi unao endelea.

Mm ninachojua msomi anaetambua kazi yake lazima asimamie haki, bora utumbuliwe lakini kwa kusimamia haki

Sasa unajiuliza magufuli alikuwa mbovu mbona walimsifia kwa nguvu zote? Mbona walimshauri kwa nguvu zote? Hawakuwa royal kwake hawa waganga njaa.

Hata mponde vipi kisa ashakufa magufuli ni mwanaume wa shoka asiemuogopa yeyote. Kwa mtu yeyote mwenye akili ambae hatangulizi tumbo mbele anajua kuwa magufuli ni shujaa.

Watanzania wanapenda kudekezwa wafanye wanachotaka wao.bure kabisa

Rip jpm

Shujaa aliyekuwa anatumia vikundi vya kuteka watu hadi kuwaua na kuwaachia vilema vya maisha? Ni hapa Tanzania tu mlevi wa madaraka anaweza kuitwa shujaa. Alilinajisi bunge likawa linaongea atakacho yeye kwa ajili ya hofu ya kutekwa. Kwa sasa watu wako huru hawana hofu tena ya kutekwa inabidi waongee ukweli. Ni hakika taifa sasa haliko mikononi mwa shetani tena, baada ya Mungu kuamua kufanya mabadiliko bila damu kumwagika.
 
Ndugai aliashatoa ushauri bungeni lakini alijibiwa na kusakamwa kama mwizi na wafuasi ikabidi akae kimya...
 
Unafiki mbaya sana ni zaidi ya uchawi.
Leo ndugai anasema mwendazake alishauriwa vibaya,na nanii,alichukua unamuzi gani kama spika?
Kweli mchawi wa maendeleo ya Tanzania ni mtanzania.

Usichanganye wanaccm na watanzania.
 
Mkuu usisumbuke, umesahau kwamba mihimili mingine ilikuwa chini ya muhimili mmoja...pengine waliminywa na sasa wamepata mahali pa kutoa nyongo!
Mkuu kama waliminywa wakalegeza pumpu zao hawafai kabisa wapo kwa ajiri ya matumbo yao,sio kwa ajiri ya tz,nawaomba wa tz wenzangu tuikatae ccm na mambo yao waneniudhi sana,kila siku walikua na kazi ya kumsifia mwenda zake wakaanza na mchakato atake asitake alazimishwe aongeze mda walikua wana maanisha nini.sisi sio wajinga au nasema uongo ndugu zangu.
 
Back
Top Bottom