Ndugai aliona mbali sana japo alipuuzwa lakini muda utaongea

Naunga mkono hoja
 
Huyo Ndugai ni mpuuzi fulani tu, yeye kwa kushirikiana na Magufuli alishiriki kwa kiwango kikubwa kuua nguvu ya kuhoji ndani ya nchi hii. Amebaki anajiliza wakati tumefika hapa kutokana na yeye kuua nguvu ya wananchi kuhoji.
 
Dah!
Sio poa..
 
Japo yeye Mwenyewe hafai.....Ndugai kuna vitu alinusa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ