BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Cc. ChoiceVariableAu
Au siyo? Bado hamjasema Wala kupotosha ,ongezeni juhudi ๐๐
View: https://www.instagram.com/reel/C7yW-8xATWl/?igsh=NWcxc2Q3NDA4MWQ0
UfundishikiโSitokurekebisha tena! wewe ufundishiki
Sana mkuuInasikitisha sana hii nchi imelaaniwa sana
Naunga mkono hojaShida hata sio kukopa, kila mtu anakopa sometimes.
Ila unakopa kufanyia nini huo mkopo? Matumizi mazuri ya mkopo ni kufanyia investment sio kuzimaliza kwa matumizia ya anasa. Unakuta mtu anakopa halafu ananunulia gari mkopo, very wrong decisions. Unakopa ili ulipe watu posho za semina na warsha this is very awkward.
Unampa mtu wadhifa waku oversee na kuchannel hela ziende kwenye mradi bila kufanya follow ups. Hela hizo ni za mkopo mtu hafikishi zote zingine wanatia mfukoni. Hii haina tofauti na kujaza maji kwenye kikapu.
VOA ni chombo kikubwa cha habari. Sidhani kama wanaweza kuandika habari kama hii kwa kukurupuka. Lazima kuna kitu flani hapo...Serikali ijibu hoja
Huyo Ndugai ni mpuuzi fulani tu, yeye kwa kushirikiana na Magufuli alishiriki kwa kiwango kikubwa kuua nguvu ya kuhoji ndani ya nchi hii. Amebaki anajiliza wakati tumefika hapa kutokana na yeye kuua nguvu ya wananchi kuhoji.Bahati mbaya Anakopa Pesa nyingi sana halafu zinaishia Mikononi mwake na familia yake pamoja na Mawaziri hazifiki kwenye target husika
Mama akiondoka madarakani kuna vita itapiganiwa hii nchi, wachina wanatudai, wahindi, wakorea, wamarekani, waingereza, wajerumani๐๐๐ siku wakija kutudai lazima wapoteane kila mtu anatudai , na tunachofanya hamna๐๐๐.
Mdogo mdogo maneno ya Ndugai yatatimia๐
Dah!Bahati mbaya Anakopa Pesa nyingi sana halafu zinaishia Mikononi mwake na familia yake pamoja na Mawaziri hazifiki kwenye target husika
Mama akiondoka madarakani kuna vita itapiganiwa hii nchi, wachina wanatudai, wahindi, wakorea, wamarekani, waingereza, wajerumani๐๐๐ siku wakija kutudai lazima wapoteane kila mtu anatudai , na tunachofanya hamna๐๐๐.
Mdogo mdogo maneno ya Ndugai yatatimia๐
Mwashamba kashakuambukiza๐๐๐๐Sitokurekebisha tena! wewe ufundishiki
Hii lugha ngumu sana๐ tusiache kuelekezanaHapa umeandika kihaya
Mbona hii nimeambukizwa na wewe๐Mwashamba kashakuambukiza๐๐๐๐
Mimi nmeshakubali nimshika mapembe tu ๐๐๐๐๐Mbona hii nimeambukizwa na wewe๐
Wewe ndo mwenye mali๐คธMimi nmeshakubali nimshika mapembe tu ๐๐๐๐๐
Unataka niliwe kichwa na wasio julikana๐๐๐Wewe ndo mwenye mali๐คธ
Mdogo wako ukitaka kumuoa ni wewe tu
Mimi nitakutetea๐คธUnataka niliwe kichwa na wasio julikana๐๐๐
Hivi hii inchi ni ya Raisi au ni ya watanzania wote.?? Huyu anapotoa sehem ya bahari na madini kwa ajiri ya mkopo anakuwa kakubaliana na nani? Naomba ufafanuzi wakuu
Yule bwana kwa jinsi alivyo kufa na kuoza anaweza katisha maisha ya mtu ๐๐๐๐๐Mimi nitakutetea๐คธ
Yule ni Jose wa Penina, maisha yangu yapo hatariniYule bwana kwa jinsi alivyo kufa na kuoza anaweza katisha maisha ya mtu ๐๐๐๐๐
๐๐๐๐๐Yule ni Jose wa Penina, maisha yangu yapo hatarini
Japo yeye Mwenyewe hafai.....Ndugai kuna vitu alinusaBahati mbaya Anakopa Pesa nyingi sana halafu zinaishia Mikononi mwake na familia yake pamoja na Mawaziri hazifiki kwenye target husika
Mama akiondoka madarakani kuna vita itapiganiwa hii nchi, wachina wanatudai, wahindi, wakorea, wamarekani, waingereza, wajerumani๐๐๐ siku wakija kutudai lazima wapoteane kila mtu anatudai , na tunachofanya hamna๐๐๐.
Mdogo mdogo maneno ya Ndugai yatatimia๐