Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Yes. Wanaweza kumvua uanachama na ubunge lakini sio uspika. Kama kawakera sana wamwondoe kwa mtindo wa "Tundu Lissu" ila wasiwe wazembe tena kwenye kulenga shabahaKudhaminiwa na chama sio hoja, hoja ni matakwa ya mtu kuwa spika!! Kudhaminiwa na chama ndo hiyo backup ninayoisema lakini unaweza kugombea uspika hata kama huna chama!!