Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu huyu aliyesema kuwa Mwanasiasa(mbunge/waziri/rais) ni kujishusha cheo??!?..Ila Gwaji akiacha ubunge kupinga chanjo graph yake itapanda mara 100000
Yaani Kweli Bila Fitna Maisha HayaendiDaah watu wanajua fitna hawa!
Ndugu yangu kinuji ,kwani sikuhizi umejigeuza popo badala ya mwimba mapambio?Huyu mpiga debe wa wachina wa bandari ya bagamoyo akae atulie kabisa huyu andunje.
Wapiga kura wa Ndugai wamechanjwa wote? Kwa hiyo hatatembelea jimboni?
Naanza kuamini kuna kitu kimejificha nyuma ya msiba wa Jpm
Watu wanajua pa kushikiliaDaah watu wanajua fitna hawa!
Kiukweli chanjo mie naitaka.Mtego mkali!!itakuja kwa watumishi wa Umma!!
Bunge limuunge mkono rais ??
Watzap Yoda?Pole. Umechelewa.
Wanavuna matunda ya kazi ya mikono ya uchafuzi mitaa na uchafuzi mkuu.Yaani Kweli Bila Fitna Maisha Hayaendi
Mpaka Sasa Hivi Tayari Ccm A Inapambana Na Ccm B
Mambo Hadharani
siyo Hiari Tena
Kama hujachanjwa marufuku kuhudumia mihadhara ya watu wengi.Iwafikie viongozi wa makanisaWazalendo Gwajima na Polepole.
Kuna sheria ya kusajili makanisa upya. Wakimkosa Bungeni Kuna mtego mwingine umetegwa, Gwajima atanaswa tu.Ila Gwaji akiacha ubunge kupinga chanjo graph yake itapanda mara 100000
Sana!!!!Wanavuna matunda ya kazi ya mikono ya uchafuzi mitaa na uchafuzi mkuu.
Wazalendo au watia legacy, ni washamba wa kisiasaWazalendo Gwajima na Polepole.