#COVID19 Ndugai: Chanjo ni hiyari ila hauna hiyari kuambukiza wenzako

#COVID19 Ndugai: Chanjo ni hiyari ila hauna hiyari kuambukiza wenzako

Huyu mpiga debe wa wachina wa bandari ya Bagamoyo akae atulie kabisa huyu andunje.
Wapiga kura wa Ndugai wamechanjwa wote? Kwa hiyo hatatembelea jimboni?
 
Huyu mpiga debe wa wachina wa bandari ya bagamoyo akae atulie kabisa huyu andunje.
Wapiga kura wa Ndugai wamechanjwa wote? Kwa hiyo hatatembelea jimboni?
Ndugu yangu kinuji ,kwani sikuhizi umejigeuza popo badala ya mwimba mapambio?
 
Bunge limuunge mkono rais ??

Tuliyasema haya wakasema hatujui maana ya hiari:


Cc: UmkhontoweSizwe
 
Yaani Kweli Bila Fitna Maisha Hayaendi
Mpaka Sasa Hivi Tayari Ccm A Inapambana Na Ccm B
Mambo Hadharani


siyo Hiari Tena
Wanavuna matunda ya kazi ya mikono ya uchafuzi mitaa na uchafuzi mkuu.
 
Back
Top Bottom