USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Kibwe anaogopa kufa huku yeye ni mtumishi wa MunguEwaaa! Sasa yule kibwetere abaki kwenye godown lake afufue misukule usiku kucha.
USSR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibwe anaogopa kufa huku yeye ni mtumishi wa MunguEwaaa! Sasa yule kibwetere abaki kwenye godown lake afufue misukule usiku kucha.
Jamaa anacheka au analia, au anatukana?
Nouma sanaaaWakuu soon tamko la katibu wa bunge kwenda kwa wabunge wote wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania kuwa lazima wachanjwe la sivyo hawataruhusiwa kuingia bungeni mwenzi ujao .
Wabunge watatakiwa kuwasilisha kadi za chanjo kwa walinzi ili kuruhusiwa kuingia bungeni.
Wabunge wanatakiwa kuwa mifano ya jamii na chama Cha mapinduzi na kumuunga mkono mh. Rais ambaye tayari amesha chanjwa.
MY TAKE. Msimamamo wa gwajiboy na poleople utaonekana hasa wakigoma kuingia bungeni
USSR
[emoji3][emoji3][emoji2][emoji2]kama vile nawaona watakavyo tii amri,itakuwa kali sana hii. Gwaji pia kuna spana nyingine ya usajili wa taasisi za dini kila baada ya miaka mitano sijui kama itamuacha salama.Wakuu soon tamko la katibu wa bunge kwenda kwa wabunge wote wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania kuwa lazima wachanjwe la sivyo hawataruhusiwa kuingia bungeni mwenzi ujao .
Wabunge watatakiwa kuwasilisha kadi za chanjo kwa walinzi ili kuruhusiwa kuingia bungeni.
Wabunge wanatakiwa kuwa mifano ya jamii na chama Cha mapinduzi na kumuunga mkono mh. Rais ambaye tayari amesha chanjwa.
MY TAKE. Msimamamo wa gwajiboy na poleople utaonekana hasa wakigoma kuingia bungeni
USSR
In Zuchu's voice "baba chanja baba chanja eeh". Tutaelewana tu.Kuna chanjo za kibongo brother gwaji atachanja
Ccm mlikua mnapinga chanjo, mmepatwa na nini tena??Wakuu soon tamko la katibu wa bunge kwenda kwa wabunge wote wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania kuwa lazima wachanjwe la sivyo hawataruhusiwa kuingia bungeni mwenzi ujao .
Wabunge watatakiwa kuwasilisha kadi za chanjo kwa walinzi ili kuruhusiwa kuingia bungeni.
Wabunge wanatakiwa kuwa mifano ya jamii na chama Cha mapinduzi na kumuunga mkono mh. Rais ambaye tayari amesha chanjwa.
MY TAKE. Msimamamo wa gwajiboy na poleople utaonekana hasa wakigoma kuingia bungeni
USSR
moderators habari kama hizi za uzushi muwe mnazitupa kwenye Dustin.Ni uzushi usio na uthinitisho nà ujinga mtupuNdio hivyo mkuu gwajinga uingii bungeni mpk uchanjwe hakuna namna
Viongozi wa dini wanna watu Tena loyal hasa mwanasiasa Hana watu kitakachotikea Ni mwanasiasa kuumia sababu mwanasiasa Hana permanent na highly loyal followers!!! Effect it's bounce back kwa mwanasiasa sio kiongozi was dini
Mwanasiasa aweza jikuta akipita sehemu waumini wenye kiongozi wao aliyeumizwa wanamzomea msafara wake
Haya Mambo kunatakiwa washauri wazuri waliotulia wanaojua ku focusbali sio tu kuangalia mwisho kwenye pua zao
Hoja Kama hixo zitaenda kuchonganisha waumini na viongozi wa siasa .Waumini so wafuasi loyal Sana kwa kiongozi wa siasa loyality yao iko kubwa mno kwa kiongozi wa dini
Mfano unasema imamu wa siasa Kali asiingie kutoa huduma msikitini kama hajachanjwa kitakachotokea unakijua ? Waumini hawatatii wanaanza kuvaa mabomu na kujilipua kuwa kafiri anazuia imamu wao asiingie Msikitini!!
Hili swala likikosa weledi na ushawishi mzuri usio coercive litaenda vizuri lakini matumizi ya Mabavu kwa Tanzania kutakuwa na negative effect kubwa mno
Nchini Ufaransa kama hujachanjwa hutaruhusiwa kuingia sokoni, supermarkets, disco nk.Hapa Ni Tanzania Sio ulaya
Ameambiwa apeleke mapato na matumizi ya miaka Mitano pamoja na taarifa ya uchaguzi wa viongozi.Ila Gwaji akiacha ubunge kupinga chanjo graph yake itapanda mara 100000
Hatuwezi kumkwepa mzungu wakati tunalala kwake na hata majina haya katupa yeye!
Hakika sisi ni wa Mzungu na kwake tutarudi
Ya Nchi za watu yaacheni huko Sisi sio Nchi zao na si.kila mtanzania ana mpango wa kwenda hizo Nchi zao huko.kwao sio mbinguni nyie miroho mipenda kwao Nchi za watu ndio mwende mkachanjeNchini Ufaransa kama hujachanjwa hutaruhusiwa kuingia sokoni, supermarkets, disco nk.
Nchini Saudi Arabia kama hujachanjwa hutaruhusiwa kuhudhuria ibada ya Hijja.
Nadhani nasi tutaiga hilo kama ilivyo kawaida, na hivyo utaratibu huo ukiletwa hapa yafaa tuunge mkono tu.
Jibu linategemea mtu na mtu. Tuna interpret mambo tofauti so naweza kuona anacheka wewe ukaona analia.Jamaa anacheka au analia, au anatukana?
Mzungu sio Mungu anakwepeka ila mioga ndio inamuona mzungu Kama MunguHatuwezi kumkwepa mzungu wakati tunalala kwake na hata majina haya katupa yeye!
Hakika sisi ni wa Mzungu na kwake tutarudi!
Unahangaika na kiongozi unasahau kuwa ana maelfu ya watu nyuma!!!! Matumizi ya nguvu si sahihi kwenye hili swala Chanjo.Inatumika nguvu kubwa kuliko ushawishi Lita explode hili .Mwisho sio mzuri[emoji3][emoji3][emoji2][emoji2]kama vile nawaona watakavyo tii amri,itakuwa kali sana hii. Gwaji pia kuna spana nyingine ya usajili wa taasisi za dini kila baada ya miaka mitano sijui kama itamuacha salama.