#COVID19 Ndugai: Chanjo ni hiyari ila hauna hiyari kuambukiza wenzako

#COVID19 Ndugai: Chanjo ni hiyari ila hauna hiyari kuambukiza wenzako

Hapo n
Si vizuri kutisha bunge madhara yake ni makubwa kwa serikali

Ni.kuwa serikali inatishia bunge au wabunge kupitia vikao vyao ndio wameamua hivyo

Mleta mada hii habari uzushi bunge Lina taratibu zake za kikanuni za kuamua wafanye Nini

Katibu wa bunge Hana ubavu was kuliburuza bunge kwenye lolote

Bunge ndio hukaa na kuweka kanuni zake hawapabgiwi na katibu wa bunge, serikali Wala mahakama

Hii chanjo wapiga debe wa Chanjo mwende taratibu Kuna maeneo huwezi tu ku enforce kienyeji hivyo

Katibu wa bunge Ni mtu mdogo Sana kwenye bunge Hana huo ubavu.Ila wabunge wenyewe wakiweka hiyo kuwa kanuni happy sawa

Umeandika kishari na bila kuangalia sheria na kanuni za bunge zinasenaje
ndipo gwaji yupo sawa kama waliochanjwa wanajilinda sawa na wasiochanjwa then chanjo ya nini?
 
Hata hii ni chanjo
IMG-20210811-WA0008.jpg
 
moderators habari kama hizi za uzushi muwe mnazitupa kwenye Dustin.Ni uzushi usio na uthinitisho nà ujinga mtupu

Njia za kujikinga na corona sio chanjo tu kuna kuvaa barakoa na social distance ambazo bunge laziweza nyie madalali wa chanjo aliyewadanganya kuwa kinachotatakiwa bungeni lazima kiwe chanjo tu Nani?

Waweza kaa social distance tosha

Chanjo chanjo hoja zenu mufilisi
Mabunge yote yanayofuata taratibu za Westminster wabunge wake lazima wachanjwe ,acha mbumbavu wako hapa

USSR
 
Kwa sheria ipi? kinachotakiwa ni kupimwa pale langoni unapoingia mjengoni na si vinginevyo, kuchanja ni hiari.
Baki na sheria , usituletee ujinga wenu wa kukataa kutahiliwa

USSR
 
Kuna zile imani kuwa kuna majini huwa wanaishi kwa umbile la mwanadamu, kuna majini ni wasanii, wanamichezo, watumishi wa dini, wahudumu wa migahawa, pale bungeni kuna hilo jini.
 
Noma Sana hata misikitini na kanisani .maca bila chanjo huuingii kuswali


USSR
Kanisa gani au msikiti gani unauongelea hapa mkuu? Hizo chanjo zimekuja kiasi gani hadi watu wote wapate kiasi cha kuwabagua watu kwenye nyumba za ibada?

Kama bunge linamaanisha kweli vita na mapambano dhidi ya uviko mbona waligoma kuendesha vikao vya bunge kwa mtandao? Haya mambo ya kukurupuka ndio yametupandishia bei za mafuta na sukari, mbaya zaidi wamekuja na tozo.

Aina ya ukurupukaji huu huu umeendrkezwa hadi baadhi ya kesi zinatakiwa ziendeshwe kwa mtandao wakati zingine watu wanahudhuria kwa kisingizio kile kile cha uviko.
 
Wakuu soon tamko la katibu wa bunge kwenda kwa wabunge wote wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania kuwa lazima wachanjwe la sivyo hawataruhusiwa kuingia bungeni mwenzi ujao .

Wabunge watatakiwa kuwasilisha kadi za chanjo kwa walinzi ili kuruhusiwa kuingia bungeni.

Wabunge wanatakiwa kuwa mifano ya jamii na chama Cha mapinduzi na kumuunga mkono mh. Rais ambaye tayari amesha chanjwa.

MY TAKE. Msimamamo wa gwajiboy na poleople utaonekana hasa wakigoma kuingia bungeni

USSR
Tetesi,habari au sijaelewa?
Kwanza ni hiari hawawezi Fanya huu ujinga

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
Mabunge yote yanayofuata taratibu za Westminster wabunge wake lazima wachanjwe ,acha mbumbavu wako hapa

USSR
Bunge lazima likubaliane kwa kuweka kanuni hawaibuki kwa ohh sipika kasema au katibu wa bunge kasema au Raisi kasema au

ushabiki ukizidi mnasahau hata kujua kuwa Kuna sheria na kanuni za bunge .Mnadhani Mambo ya uswahilini tu sio kirahisi hivyo

Hoja yako Ni umbeya tu usio na ushahidi wa kikanuni Wala kisheria za bunge.

Kwa kweli kwa ushauri huu uko chini ya kiwango mno Tena mno

Hakuna bunge linaiga bunge lingine duniani mabunge hufuata kanuni na sheria Zinazoongoza bunge lao walizojitungia wenyewe

Huwezi kwenda na uswahili bungeni eti ohh Westminster bunge la uingereza hufanya hivi?
Very sad ushauri wako uko below sea level

Uko sifuri kabisa
 
Bunge lazima likubaliane kwa kuweka kanuni hawaibuki kwa ohh sipika kasema au katibu wa bunge kasema au Raisi kasema au

ushabiki ukizidi mnasahau hata kujua kuwa Kuna sheria na kanuni za bunge .Mnadhani Mambo ya uswahilini tu sio kirahisi hivyo

Hoja yako Ni umbeya tu usio na ushahidi wa kikanuni Wala kisheria za bunge.

Kwa kweli kwa ushauri huu uko chini ya kiwango mno Tena mno

Hakuna bunge linaiga bunge lingine duniani mabunge hufuata kanuni na sheria Zinazoongoza bunge lao walizojitungia wenyewe

Huwezi kwenda na uswahili bungeni eti ohh Westminster bunge la uingereza hufanya hivi?
Very sad ushauri wako uko below sea level

Uko sifuri kabisa
Bunge gani hivi umesoma shule wewe hujui mifumo ya mabunge duniani kwani hawana kamati za kuamua hapa.

Nikusaidie unafahamu kazi ya kamati inayotunga sheria na kanuni za bunge?

Mwambie gwajiboy na poleople wakae nyumbani mapema

USSR
 
Bunge gani hivi umesoma shule wewe hujui mifumo ya mabunge duniani kwani hawana kamati za kuamua hapa.

Nikusaidie unafahamu kazi ya kamati inayotunga sheria na kanuni za bunge?

Mwambie gwajiboy na poleople wakae nyumbani mapema

USSR
Huna hoja ya maana .Ushabikiwa uliopitiliza wa chanjo umekuondolea uwezo wa kujenga hoja
 
Ni busara kwa wabunge wote ,wafanyakazi wa wizara ya afya,wafanyakazi wote wanaofanya kazi katika viwanja vya ndege vya JNIA,KAdCo na Zanzibar kuchanja Chanjo ya uviko-19.Ili Tanzania nayo itokomeza gonjwa hili.Maisha yaendelee
 
Hapo ndo tutajua kuhusu misimamo yao.Maslahi yao yakiguswa.😂😂
 
Back
Top Bottom