kipindi cha magufuli mlishinda nini we mweh uHii Vita Ni ya kiroho Sasa.Na Vita yetu so just ya damu na nyama no juu ya pepo wabaya Katika ulimwengu wa wa Roho .Wao wanatujia kwa jina La chanjo na jina La mzungu na vyeo sisi tutasimama na Mungu .Tuone Nani atashinda
Ninachojua wapinga Chanjo wataibuka washindi.muda si mrefu na dunia itashangaa
Mungu aliyetushindia kipindi Cha Magufuli kwenye hili la Corona atatushindia Tena na hao wazungu watajua Tanzania Ni nchi tofauti kuliko Nchi yeyote duniani pamoja na kuwa imo dunia hii hii.Watatutuamkia shikamoo.Tanzania sio ya kuyumbishwa na kitu kirogo Kama kichanjo pepo Cha Corona