#COVID19 Ndugai: Chanjo ni hiyari ila hauna hiyari kuambukiza wenzako

#COVID19 Ndugai: Chanjo ni hiyari ila hauna hiyari kuambukiza wenzako

Hii Vita Ni ya kiroho Sasa.Na Vita yetu so just ya damu na nyama no juu ya pepo wabaya Katika ulimwengu wa wa Roho .Wao wanatujia kwa jina La chanjo na jina La mzungu na vyeo sisi tutasimama na Mungu .Tuone Nani atashinda

Ninachojua wapinga Chanjo wataibuka washindi.muda si mrefu na dunia itashangaa

Mungu aliyetushindia kipindi Cha Magufuli kwenye hili la Corona atatushindia Tena na hao wazungu watajua Tanzania Ni nchi tofauti kuliko Nchi yeyote duniani pamoja na kuwa imo dunia hii hii.Watatutuamkia shikamoo.Tanzania sio ya kuyumbishwa na kitu kirogo Kama kichanjo pepo Cha Corona
kipindi cha magufuli mlishinda nini we mweh u
 
Ni busara kwa wabunge wote ,wafanyakazi wa wizara ya afya,wafanyakazi wote wanaofanya kazi katika viwanja vya ndege vya JNIA,KAdCo na Zanzibar kuchanja Chanjo ya uviko-19.Ili Tanzania nayo itokomeza gonjwa hili.Maisha yaendelee
Hii ni lazima maana haiwezeka I wabunge wachanjwe wengine wasichanjwe wakauwane tena ,tunaingia hasara ya kufanya uchaguzi wa marudia bila sababu za msingi


USSR
 
kipindi cha magufuli mlishinda nini we mweh u
Tulishinda corona ndio maana misongamano ilikuwa kila Kona mazishi ya Magufuli Hadi chato serikali nzima hakuna aliyevaa barakoa Wala kuchanja na wazoma Hadi leo wanadunda iingekuweko Corona kwa Hawa vinara wa kuvaa vibarakoa si wangekuwa walikufa siku nyingi kipindi Cha Magufuli

Corona kipindi Cha Magufuli tuliipiga mateke Tanzania kwa maombi na kutumia dawa zetu za asili za kujitukiza na matangawizi yetu.Unanunua shilingi elfu moja mzigo wore corona inaipiga mateke .Bila hiyo michanjo Koko ya wazungu mnayoiabudu
 
[emoji3][emoji3][emoji2][emoji2]kama vile nawaona watakavyo tii amri,itakuwa kali sana hii. Gwaji pia kuna spana nyingine ya usajili wa taasisi za dini kila baada ya miaka mitano sijui kama itamuacha salama.
Spana ya usajili imekaa kimtego hatari Lazima uonyeshe mapato na matumizi mifumo ya uongozi hatariiii tupu
 
Gwajima hachanji, na ubunge unaishia hapo na vita atavipa vizuri sasa, hayo makombora,wao ndio watakuwa wa kwanza kukasirika na kumtafuta tena
Kama wewe Ni Mshauri wa Gwajima mwambie akiuacha Ubunge Basi akae kimya,asithubutu kuanza kupambana na mamlaka Tena kwenye katiba hii.Bahati nzuri mamlaka zinawajua viongozi wetu wa dini kuwa hawana upako wowote Ni mbwembwe tu.
 
Hii ni lazima maana haiwezeka I wabunge wachanjwe wengine wasichanjwe wakauwane tena ,tunaingia hasara ya kufanya uchaguzi wa marudia bila sababu za msingi


USSR
Hoja dhaifu hii

Chanjo mliyoletewa mnaona inakaribia ku expire mnahangaika kutafuta kwa nguvu was kuchanja.Bunge liliwatuma kuagiza hizo chanjo kwa ajili yao?
 
Tulishinda corona ndio maana misongamano ilikuwa kila Kona mazishi ya Magufuli Hadi chato serikali nzima hakuna aliyevaa barakoa Wala kuchanja na wazoma Hadi leo wanadunda iingekuweko Corona kwa Hawa vinara wa kuvaa vibarakoa si wangekuwa walikufa siku nyingi kipindi Cha Magufuli

Corona kipindi Cha Magufuli tuliipiga mateke Tanzania kwa maombi na kutumia dawa zetu za asili za kujitukiza na matangawizi yetu.Unanunua shilingi elfu moja mzigo wore corona inaipiga mateke .Bila hiyo michanjo Koko ya wazungu mnayoiabudu
Kwani magufuli kafariki kwa ugonjwa gani?

USSR
 
Viongozi gani wa Dini? Kuna aina ya viongozi wa Dini ambao sio wa kutangaza nao Vita.Ila Hawa sampuli ya Akina Gwajima hawana lolote.
Huyu gwajiboy aliyesema Mungu kamuonesha lowasa lazima awe rais Kama hutaki kanywe ndimu ndio wapuuzi wanamuona kiongozi wa dini

USSR
 
Huyu gwajiboy aliyesema Mungu kamuonesha lowasa lazima awe rais Kama hutaki kanywe ndimu ndio wapuuzi wanamuona kiongozi wa dini

USSR
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Viongozi gani wa Dini? Kuna aina ya viongozi wa Dini ambao sio wa kutangaza nao Vita.Ila Hawa sampuli ya Akina Gwajima hawana lolote.
Don't underestimate

Lugola aliondoka uwaziri wa Mambo ya ndani kwa kudhalilisha kijana mdogo tu anayejiita nabii

Hakuchukua muda akatemwa
 
Back
Top Bottom