#COVID19 Ndugai: Chanjo ni hiyari ila hauna hiyari kuambukiza wenzako

#COVID19 Ndugai: Chanjo ni hiyari ila hauna hiyari kuambukiza wenzako

Wakuu soon tamko la katibu wa bunge kwenda kwa wabunge wote wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania kuwa lazima wachanjwe la sivyo hawataruhusiwa kuingia bungeni mwenzi ujao .

Wabunge watatakiwa kuwasilisha kadi za chanjo kwa walinzi ili kuruhusiwa kuingia bungeni.

Wabunge wanatakiwa kuwa mifano ya jamii na chama Cha mapinduzi na kumuunga mkono mh. Rais ambaye tayari amesha chanjwa.

MY TAKE. Msimamamo wa gwajiboy na poleople utaonekana hasa wakigoma kuingia bungeni

USSR
Ndomaana huwa nasema hakuna hata moja la kweli ambalo CDM mmewahi kulipigiania , mara zote huwa mmetanguliza masilahi yenu na sio Taifa.

Hivi watu mnaolilia utawala wa sheria, unawezaje kushadadia swala la wabunge kulazimika kusupport kitu kwakua Rais kafanya? BUNGE NA Rais wapi na wapi?

Upuuzi mtupu, watcha mnyooshwe kabisa.
 
Wazalendo au watia legacy ,ni washamba wa kisiasa

USSR
Hata mwimba pambio wa enzi zako pendwa unaanza kuwaponda wenzio, ni hadaa au umejitambua kweli? Kwani wanakijani mpo tayari kufanya chochote almuradi akili haihitaji kufikiri ila tumbo na kutangulizaa ubinafsi na maslahi yenu mbele na sii maslahi ya taifa mbele.
 
Si vizuri kutisha bunge madhara yake ni makubwa kwa serikali

Ni.kuwa serikali inatishia bunge au wabunge kupitia vikao vyao ndio wameamua hivyo

Mleta mada hii habari uzushi bunge Lina taratibu zake za kikanuni za kuamua wafanye Nini

Katibu wa bunge Hana ubavu was kuliburuza bunge kwenye lolote

Bunge ndio hukaa na kuweka kanuni zake hawapabgiwi na katibu wa bunge, serikali Wala mahakama

Hii chanjo wapiga debe wa Chanjo mwende taratibu Kuna maeneo huwezi tu ku enforce kienyeji hivyo

Katibu wa bunge Ni mtu mdogo Sana kwenye bunge Hana huo ubavu.Ila wabunge wenyewe wakiweka hiyo kuwa kanuni happy sawa

Umeandika kishari na bila kuangalia sheria na kanuni za bunge zinasenaje
 
Wakuu soon tamko la katibu wa bunge kwenda kwa wabunge wote wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania kuwa lazima wachanjwe la sivyo hawataruhusiwa kuingia bungeni mwenzi ujao .

Wabunge watatakiwa kuwasilisha kadi za chanjo kwa walinzi ili kuruhusiwa kuingia bungeni.

Wabunge wanatakiwa kuwa mifano ya jamii na chama Cha mapinduzi na kumuunga mkono mh. Rais ambaye tayari amesha chanjwa.

MY TAKE. Msimamamo wa gwajiboy na poleople utaonekana hasa wakigoma kuingia bungeni

USSR
Mbona Walisema CHANJO NI HIARI YAMEKUWAJE TENA?mbwa anakula Vitoto vyake kumbe ni Lazima?

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Si vizuri kutisha bunge madhara yake ni makubwa kwa serikali

Ni.kuwa serikali inatishia bunge au wabunge kupitia vikao vyao ndio wameamua hivyo

Mleta mada hii habari uzushi bunge Lina taratibu zake za kikanuni za kuamua wafanye Nini

Katibu wa bunge Hana ubavu was kuliburuza bunge kwenye lolote

Bunge ndio hukaa na kuweka kanuni zake hawapabgiwi na katibu wa bunge, serikali Wala mahakama

Hii chanjo wapiga debe wa Chanjo mwende taratibu Kuna maeneo huwezi tu ku enforce kienyeji hivyo

Katibu wa bunge Ni mti mdogo Sana kwenye bunge Hana huo ubavu.Ila wabunge wenyewe wakiweka hiyo kuwa kanuni happy sawa

Umeandika kishari na bila kuangalia sheria na kanuni za bunge zinasenaje
Wengine tunaona ni kijiwe cha porojo mithili ya vile vijiwe vya kahawa.
 
Ilo tamko litakuwa batili maana halina msingi wa kisheria nyuma yake, kuchanja ni hiari na uwezi kufanya hiari ikawa lazima. Wewe ukishachanjwa means uweI kuambukizwa so huna umuhimu wa kuangaika na wasiotaka kuchanjwa
Ni mpaka mahakama iseme hivyo mkuu.

Na mpaka mahakama iseme , watu wapeleke kesi
 
Na ikiletwa hoja kwamba wachungaji na wahubiri wote lazima wachanjwe ili kuendelea kutoa huduma, atatokea wapi?
Viongozi wa dini wanna watu Tena loyal hasa mwanasiasa Hana watu kitakachotikea Ni mwanasiasa kuumia sababu mwanasiasa Hana permanent na highly loyal followers!!! Effect it's bounce back kwa mwanasiasa sio kiongozi was dini
Mwanasiasa aweza jikuta akipita sehemu waumini wenye kiongozi wao aliyeumizwa wanamzomea msafara wake

Haya Mambo kunatakiwa washauri wazuri waliotulia wanaojua ku focusbali sio tu kuangalia mwisho kwenye pua zao

Hoja Kama hixo zitaenda kuchonganisha waumini na viongozi wa siasa .Waumini so wafuasi loyal Sana kwa kiongozi wa siasa loyality yao iko kubwa mno kwa kiongozi wa dini

Mfano unasema imamu wa siasa Kali asiingie kutoa huduma msikitini kama hajachanjwa kitakachotokea unakijua ? Waumini hawatatii wanaanza kuvaa mabomu na kujilipua kuwa kafiri anazuia imamu wao asiingie Msikitini!!

Hili swala likikosa weledi na ushawishi mzuri usio coercive litaenda vizuri lakini matumizi ya Mabavu kwa Tanzania kutakuwa na negative effect kubwa mno
 
Wakuu soon tamko la katibu wa bunge kwenda kwa wabunge wote wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania kuwa lazima wachanjwe la sivyo hawataruhusiwa kuingia bungeni mwenzi ujao .

Wabunge watatakiwa kuwasilisha kadi za chanjo kwa walinzi ili kuruhusiwa kuingia bungeni.

Wabunge wanatakiwa kuwa mifano ya jamii na chama Cha mapinduzi na kumuunga mkono mh. Rais ambaye tayari amesha chanjwa.

MY TAKE. Msimamamo wa gwajiboy na poleople utaonekana hasa wakigoma kuingia bungeni

USSR
Kwani mkiwazuaia kuna jipya? CCM bana.
 
Wachague posho au misimamo, mtego mchungu kweli, ukiacha kuchanjwa na ukaacha posho bado chama kitakushughulikia kwa nini unaenda kinyume na maazimio ya chama.

Hapo ni lazima wote wachanje ili wawe na hivyo vyeti.
Hivi chakubanga ataambia nini watu?
 
Back
Top Bottom