Ndugai: Mataifa ya wenzetu huchukua vijana wenye ufaulu class A+ wana negotiate mikataba sisi tunapeleka maprof wazee waliochoka!

Ndugai: Mataifa ya wenzetu huchukua vijana wenye ufaulu class A+ wana negotiate mikataba sisi tunapeleka maprof wazee waliochoka!

Hujaelewa bado Ila Siku 1 utaelewa endelea kuchakata mafaili alimaanisha hawa Vijana wenye A class wasiachwe wanazagaazagaa huku mtaani waingie kuwasaidia Wazee huko Wazee kuna muda akili inakua inachoka Vijana akili ipo active Muda wote na wanakuja na mambo mapya na vitu vipya Wazee wanabakia na vitu vile vile vya zamani eeh sijui unanielewa hawaleti vitu vipya vijana ndio wanaleta vitu vipya vipya hiki weka hivi kile fanya hivi ni Vijana ndio maana kuna umri wa Wazee kustaafu kuanzia miaka 45-60 hapo Mzee
 
Katika moja ya comment zilizowahi kunishtua ni hii ya jobu aliyoitoa akiwa spika.

Alidai kwamba wenzetu baadhi ya mataifa linapohusika suala la mikataba, hawana masihara hata kidogo huchukua vijana smart class A wenye uwezo mkubwa wa kusoma kuelewa na kufikiri kwa upana juu ya mikataba tunayoingia kama taifa ni kwa namna gani itanufaisha umma. Akasema kwetu Tanzania hali ni tofauti kabisa kwani sisi huwatumia maprof wetu.

Ni kweli wana elimu nzuri lakini wamechoka kiakili kwa namna ambayo ni rahisi sana kutuingiza chaka. Alisema hii mikataba inaandikwa kijanja sana na ni mabook makubwa makubwa hiyo yanahitaji akili fresh ili kuyasoma kuyaelewa na kufanya maamuzi sahihi.

Mada ya mikataba ya nchi ni nzito sana haikupaswa kabisa kufanyika kizembe.
Ndugai mbona hajayasema hayo wakati alikuwa mkuu wa mhimili wa bunge?

Mnafik tu huyo mgogo.
 
Swali la msingi ktk uongozi wake hakuna mkataba wowote mbovu ulioingiwa????
Mikataba mibovu yote ni wakati wake, ambayo ndiyo hao "maprofesa uchwara" wanaoliingizia taifa hasara ya kulipa matrillioni mpaka leo.

Watu walilalamika sana alikua kafunga masikio na moyo.
 
Issue sio A. Tatizo ni kwamba nimekosa mimi nimekosa sana. Kwa nini ukiri umekosa sana wakati ukijua kuwa haujakosa sana? Sasa kwa kukiri huku nae hizo A zake zimetusaidia nini.
 
Katika moja ya comment zilizowahi kunishtua ni hii ya jobu aliyoitoa akiwa spika.

Alidai kwamba wenzetu baadhi ya mataifa linapohusika suala la mikataba, hawana masihara hata kidogo huchukua vijana smart class A wenye uwezo mkubwa wa kusoma kuelewa na kufikiri kwa upana juu ya mikataba tunayoingia kama taifa ni kwa namna gani itanufaisha umma. Akasema kwetu Tanzania hali ni tofauti kabisa kwani sisi huwatumia maprof wetu.

Ni kweli wana elimu nzuri lakini wamechoka kiakili kwa namna ambayo ni rahisi sana kutuingiza chaka. Alisema hii mikataba inaandikwa kijanja sana na ni mabook makubwa makubwa hiyo yanahitaji akili fresh ili kuyasoma kuyaelewa na kufanya maamuzi sahihi.

Mada ya mikataba ya nchi ni nzito sana haikupaswa kabisa kufanyika kizembe.
But he was right......binafsi siamini wasomi wa Tanzania hata siku moja na hii imetokea baada ya kuona wakili wa serikali anatetemeshwa na kudhalilishwa huko Ulaya akiwa hajuwi nini cha kuongea.
 
Ndugai bhana!!
Haya ilibidi ayafanye yeye na wenzie akiwa kiongozi wa muhimili unaojitegemea.
Sasa sahivi hata akisema, nani atamuelewa? Hivi kumbe viongozi wa nchi hii akili zao zinarudi wakishakua nje ya madaraka. Lol
kumbe hujui kusoma Coca
 
Watu wako serious kufuatilia kesi ya ngono ya binti wa yombo na kudadavua vipengele husika vya hiyo kesi utafikiri wote mawakili. Utasikia kosa la mtandao la kusambaza ngono, kumuingilia kinyume na maumbile, n.k. lakini kwenye mikataba mibovu ya kuuza ardhi na rasilimali za nchi au kusoma katiba akhaaaa! Tunahitaji deliverance! Watu wanapenda na kufuatilia ngono kuliko hata Mungu
🤣🤣🙌
 
Ndugai bhana!!
Haya ilibidi ayafanye yeye na wenzie akiwa kiongozi wa muhimili unaojitegemea.
Sasa sahivi hata akisema, nani atamuelewa? Hivi kumbe viongozi wa nchi hii akili zao zinarudi wakishakua nje ya madaraka. Lol
Aliyasema akiwa"SPIKA'
 
Itoshe tu kusema hata hawa watawala wenye akili zilizochoka wakae pembeni wawapishe wenye akili A+
Uongozi na mambo ya kitaalamu huwa ni tofauti sana kiongozi ni mtu yeyote mwenye uwezo wa kujenga ushawishi na kuwaunganisha watu kufikia malengo yao.
Kwa sifa hii mtu yeyote anaweza kuwa kiongozi ilimradi anakidhi sifa hii.

Lakini kwenye mambo yanayohitaji utaalamu unahitaji mtu aliyebobeakwenye hiyo kada husika ndio maana kwa kuwa mambo ya mikataba yanahitaji intelligence kubwa nakubaliana na yeye tutafute cream ya taifa ndio iwe inafanya haya mambo
 
Katika moja ya comment zilizowahi kunishtua ni hii ya jobu aliyoitoa akiwa spika.

Alidai kwamba wenzetu baadhi ya mataifa linapohusika suala la mikataba, hawana masihara hata kidogo huchukua vijana smart class A wenye uwezo mkubwa wa kusoma kuelewa na kufikiri kwa upana juu ya mikataba tunayoingia kama taifa ni kwa namna gani itanufaisha umma. Akasema kwetu Tanzania hali ni tofauti kabisa kwani sisi huwatumia maprof wetu.

Ni kweli wana elimu nzuri lakini wamechoka kiakili kwa namna ambayo ni rahisi sana kutuingiza chaka. Alisema hii mikataba inaandikwa kijanja sana na ni mabook makubwa makubwa hiyo yanahitaji akili fresh ili kuyasoma kuyaelewa na kufanya maamuzi sahihi.

Mada ya mikataba ya nchi ni nzito sana haikupaswa kabisa kufanyika kizembe.
Yeye alikuwa haijui hii Nchi kwa mizengwe mizengwe yake ????!

Yeye alikuwa ndio Starring huko kwenye kutunga Sheria !
Nini kilichomzuia asielekeze itungwe Sheria itakayofuatwa katika kuingia hiyo mikataba anayoisema ????!
Zilongwa mbali Zitendwa mbali !
Ndivyo walivyo and they know what they’re doing !
Hoko kulalamika ni kujitoa kimasomaso tu kwa Umma ! Kwa sababu wao wanaamini Siasa ni Uongo uongo tu 😳🙄🤦🏽‍♂️
 
Katika moja ya comment zilizowahi kunishtua ni hii ya jobu aliyoitoa akiwa spika.

Alidai kwamba wenzetu baadhi ya mataifa linapohusika suala la mikataba, hawana masihara hata kidogo huchukua vijana smart class A wenye uwezo mkubwa wa kusoma kuelewa na kufikiri kwa upana juu ya mikataba tunayoingia kama taifa ni kwa namna gani itanufaisha umma. Akasema kwetu Tanzania hali ni tofauti kabisa kwani sisi huwatumia maprof wetu.

Ni kweli wana elimu nzuri lakini wamechoka kiakili kwa namna ambayo ni rahisi sana kutuingiza chaka. Alisema hii mikataba inaandikwa kijanja sana na ni mabook makubwa makubwa hiyo yanahitaji akili fresh ili kuyasoma kuyaelewa na kufanya maamuzi sahihi.

Mada ya mikataba ya nchi ni nzito sana haikupaswa kabisa kufanyika kizembe.
Ndugai alikuwa mbele ya muda!

Nilishangaa sana watz kuungana na chura kiziwi kumzodoa Ndugai eti ili kumkomoa marehemu Magu!

Kauli zile zilipaswa zitushtue watz maana zimetolewa na spika wa bunge ambae anajua karibu kila kitu kwenye nchi. Badala yake tukaungana na chura kiziwi kumtukana Ndugai.

Pale ndio nikaona watz ni wapumbavu sana.
Hii nchi ukipata nafasi piga ondoka, maana watu hawajielewi.

Sisi watz tunachoweza ni
. Ngono
. Uchawi
. Na Majungu tu basi
"Black people are good for nothing apart from indulging in sex and having so many wives."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Katika moja ya comment zilizowahi kunishtua ni hii ya jobu aliyoitoa akiwa spika.

Alidai kwamba wenzetu baadhi ya mataifa linapohusika suala la mikataba, hawana masihara hata kidogo huchukua vijana smart class A wenye uwezo mkubwa wa kusoma kuelewa na kufikiri kwa upana juu ya mikataba tunayoingia kama taifa ni kwa namna gani itanufaisha umma. Akasema kwetu Tanzania hali ni tofauti kabisa kwani sisi huwatumia maprof wetu.

Ni kweli wana elimu nzuri lakini wamechoka kiakili kwa namna ambayo ni rahisi sana kutuingiza chaka. Alisema hii mikataba inaandikwa kijanja sana na ni mabook makubwa makubwa hiyo yanahitaji akili fresh ili kuyasoma kuyaelewa na kufanya maamuzi sahihi.

Mada ya mikataba ya nchi ni nzito sana haikupaswa kabisa kufanyika kizembe.
Haaaaa haaaaa hili dongo kalitupa gizani.
 
Back
Top Bottom