Ndugai: Mataifa ya wenzetu huchukua vijana wenye ufaulu class A+ wana negotiate mikataba sisi tunapeleka maprof wazee waliochoka!

Ndugai: Mataifa ya wenzetu huchukua vijana wenye ufaulu class A+ wana negotiate mikataba sisi tunapeleka maprof wazee waliochoka!

mbona juzi tulipekeka waandishi VIJANA Dubai ili kutetea DP world washinde - na wakashinda.
 
mbona juzi tulipekeka waandishi VIJANA Dubai ili kutetea DP world washinde - na wakashinda.
Tofautisha propaganda na utaalamu kwenye mikataba tunaongelea wataalam wabobevu wa Sheria na uchumi
 
Katika moja ya comment zilizowahi kunishtua ni hii ya jobu aliyoitoa akiwa spika.

Alidai kwamba wenzetu baadhi ya mataifa linapohusika suala la mikataba, hawana masihara hata kidogo huchukua vijana smart class A wenye uwezo mkubwa wa kusoma kuelewa na kufikiri kwa upana juu ya mikataba tunayoingia kama taifa ni kwa namna gani itanufaisha umma. Akasema kwetu Tanzania hali ni tofauti kabisa kwani sisi huwatumia maprof wetu.

Ni kweli wana elimu nzuri lakini wamechoka kiakili kwa namna ambayo ni rahisi sana kutuingiza chaka. Alisema hii mikataba inaandikwa kijanja sana na ni mabook makubwa makubwa hiyo yanahitaji akili fresh ili kuyasoma kuyaelewa na kufanya maamuzi sahihi.

Mada ya mikataba ya nchi ni nzito sana haikupaswa kabisa kufanyika kizembe.
Tatizo wala siyo uzee wanajizima data yaani wanaahirisha kufikiri kwa nafsi kwa kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi, nahicho ndicho kimelifikisha taifa hili hapa tulipo,,(some of entrusted people do suspend their individual reasoning because of group objectives)
 
Hujaelewa bado Ila Siku 1 utaelewa endelea kuchakata mafaili alimaanisha hawa Vijana wenye A class wasiachwe wanazagaazagaa huku mtaani waingie kuwasaidia Wazee huko Wazee kuna muda akili inakua inachoka Vijana akili ipo active Muda wote na wanakuja na mambo mapya na vitu vipya Wazee wanabakia na vitu vile vile vya zamani eeh sijui unanielewa hawaleti vitu vipya vijana ndio wanaleta vitu vipya vipya hiki weka hivi kile fanya hivi ni Vijana ndio maana kuna umri wa Wazee kustaafu kuanzia miaka 45-60 hapo Mzee inabidi astaafu asije akaji-Joe Burden
Siyo vijana wote wengine close-minded, (akili iliyo fungwa), tena wamo humu humu
 
Alikua Bungeni mbona hakutaka mikataba iwe wazi na kusainiwa na hao vijana...
 
"A" zenyewe zinatia shaka hapa TZ, nadhani ulimaanisha "A" za kichwani na si nyinginezo au "A" zipi?
 
Hayo mataifa pia huchagua maspika smart,descent, democratic na liberal sio visirani, vivunja Sheria wanaopigana na mafimbo kama wafuga ng' ombe
 
Katika moja ya comment zilizowahi kunishtua ni hii ya jobu aliyoitoa akiwa spika.

Alidai kwamba wenzetu baadhi ya mataifa linapohusika suala la mikataba, hawana masihara hata kidogo huchukua vijana smart class A wenye uwezo mkubwa wa kusoma kuelewa na kufikiri kwa upana juu ya mikataba tunayoingia kama taifa ni kwa namna gani itanufaisha umma. Akasema kwetu Tanzania hali ni tofauti kabisa kwani sisi huwatumia maprof wetu.

Ni kweli wana elimu nzuri lakini wamechoka kiakili kwa namna ambayo ni rahisi sana kutuingiza chaka. Alisema hii mikataba inaandikwa kijanja sana na ni mabook makubwa makubwa hiyo yanahitaji akili fresh ili kuyasoma kuyaelewa na kufanya maamuzi sahihi.

Mada ya mikataba ya nchi ni nzito sana haikupaswa kabisa kufanyika kizembe.
Ndugai muhongo kuwa na A sio kigezo kwamba hu sio mjinga , inategemea na mazingira wezeshi , wapi Prof Kabudi
 
Katika moja ya comment zilizowahi kunishtua ni hii ya jobu aliyoitoa akiwa spika.

Alidai kwamba wenzetu baadhi ya mataifa linapohusika suala la mikataba, hawana masihara hata kidogo huchukua vijana smart class A wenye uwezo mkubwa wa kusoma kuelewa na kufikiri kwa upana juu ya mikataba tunayoingia kama taifa ni kwa namna gani itanufaisha umma. Akasema kwetu Tanzania hali ni tofauti kabisa kwani sisi huwatumia maprof wetu.

Ni kweli wana elimu nzuri lakini wamechoka kiakili kwa namna ambayo ni rahisi sana kutuingiza chaka. Alisema hii mikataba inaandikwa kijanja sana na ni mabook makubwa makubwa hiyo yanahitaji akili fresh ili kuyasoma kuyaelewa na kufanya maamuzi sahihi.

Mada ya mikataba ya nchi ni nzito sana haikupaswa kabisa kufanyika kizembe.

Hakudhani uspika ulihitaji wasiochoka?

Happy kuna lile tatizo pendwa la manyani yenye kuchekana, kumbe yote yana pox.

Laiti angekumbuka tatizo ni u CCM asingekuwa kathubutu kuwaunganisha na wasiokuwamo.
 
Hakudhani uspika ulihitaji wasiochoka?

Happy kuna lile tatizo pendwa la manyani yenye kuchekana, kumbe yote yana pox.

Laiti angekumbuka tatizo ni u CCM asingekuwa kathubutu kuwaunganisha na wasiokuwamo.
Ccm inaundwa na jamii ya watanzania walewale na vyama vingine vyote pia vinategemea rasili mali watu hao hao sasa hayo mageuzi tunayapataje
 
Back
Top Bottom