Ndugai: Mataifa ya wenzetu huchukua vijana wenye ufaulu class A+ wana negotiate mikataba sisi tunapeleka maprof wazee waliochoka!

Ndugai: Mataifa ya wenzetu huchukua vijana wenye ufaulu class A+ wana negotiate mikataba sisi tunapeleka maprof wazee waliochoka!

Mimi sina hizo A wala A+ ila ni mwendo wa makarai tu C na D lakini nina akili na exposure kubwa sana yakuweza kunegotiate hiyo mikataba na Taifa likanufaika pakubwa sana.

A na A+ hizi za UDSM sijui Udom nk hazina msaada wowote kama mhusika hana exposure kwenye real business.
Watu wetu wengi ni local experts ambao hawana uzoefu wowote wa international business.
Hoja hapa yaweza kuwa tumeandaaje watu wetu kuingia kwenye ushindani wa uelewa wa mambo haya maana ilivyo ni kwamba hatuna hiyari lazima maisha yaendelee
 
Wenzetu wanachukua wanafunzi wenye ufaulu mzuri kulingana na ubora wa elimu zao.Lakini sisi hapa Tanganyika hata ukimuchukua wa class A Bado atapuyanga tu kwenye mikataba ya kimataifa Kwa sababu elimu ya hapa ni grade zero.mtanzania kwenye mkataba ataanza kuangalia kamusi ili ajue kilichoandikwa kinamaanisha nini
Kwamba hiyo A haitokani na uwezo binafsi!? Kama mtu alifight akapata A apewe heshma yake
 
Mikataba ni uzoefu sio A+ , jaribu kuchukua hao vijana wa A+ uone bila ya kufanya vetting .

Elimu ya bongo ndio ya kusifia A+ ebu jaribu kufirikia vizuri ...Taasisi nyingi zinaajiri watu kwa wakati mmoja ila wao wanajua yupi ni bora hata kwenda nae nje kwenye ishu za kiofisi ....Uwezo wa mtu sio A+ kama mnavyofikiria .
Cha kwanza ni uwezo unaojengwa na shule suala la uzoefu nadhani ni muhimu sana elimu yetu ibadilike tuwajenga wale tunaona wana uwezo mkubwa tuwajengee mazingira waanze kupambana na haya madude mapema ili taifa linufaike.
 
Katika moja ya comment zilizowahi kunishtua ni hii ya jobu aliyoitoa akiwa spika.

Alidai kwamba wenzetu baadhi ya mataifa linapohusika suala la mikataba, hawana masihara hata kidogo huchukua vijana smart class A wenye uwezo mkubwa wa kusoma kuelewa na kufikiri kwa upana juu ya mikataba tunayoingia kama taifa ni kwa namna gani itanufaisha umma. Akasema kwetu Tanzania hali ni tofauti kabisa kwani sisi huwatumia maprof wetu.

Ni kweli wana elimu nzuri lakini wamechoka kiakili kwa namna ambayo ni rahisi sana kutuingiza chaka. Alisema hii mikataba inaandikwa kijanja sana na ni mabook makubwa makubwa hiyo yanahitaji akili fresh ili kuyasoma kuyaelewa na kufanya maamuzi sahihi.

Mada ya mikataba ya nchi ni nzito sana haikupaswa kabisa kufanyika kizembe.
Msukuma na kibajaji watakuvaa ohhoo.
 
Katika moja ya comment zilizowahi kunishtua ni hii ya jobu aliyoitoa akiwa spika.

Alidai kwamba wenzetu baadhi ya mataifa linapohusika suala la mikataba, hawana masihara hata kidogo huchukua vijana smart class A wenye uwezo mkubwa wa kusoma kuelewa na kufikiri kwa upana juu ya mikataba tunayoingia kama taifa ni kwa namna gani itanufaisha umma. Akasema kwetu Tanzania hali ni tofauti kabisa kwani sisi huwatumia maprof wetu.

Ni kweli wana elimu nzuri lakini wamechoka kiakili kwa namna ambayo ni rahisi sana kutuingiza chaka. Alisema hii mikataba inaandikwa kijanja sana na ni mabook makubwa makubwa hiyo yanahitaji akili fresh ili kuyasoma kuyaelewa na kufanya maamuzi sahihi.

Mada ya mikataba ya nchi ni nzito sana haikupaswa kabisa kufanyika kizembe.
Hii inaweza kuwa age discrimination.

Mtu apimwe kwa uwezo wake, si kwa age.
 
Katika moja ya comment zilizowahi kunishtua ni hii ya jobu aliyoitoa akiwa spika.

Alidai kwamba wenzetu baadhi ya mataifa linapohusika suala la mikataba, hawana masihara hata kidogo huchukua vijana smart class A wenye uwezo mkubwa wa kusoma kuelewa na kufikiri kwa upana juu ya mikataba tunayoingia kama taifa ni kwa namna gani itanufaisha umma. Akasema kwetu Tanzania hali ni tofauti kabisa kwani sisi huwatumia maprof wetu.

Ni kweli wana elimu nzuri lakini wamechoka kiakili kwa namna ambayo ni rahisi sana kutuingiza chaka. Alisema hii mikataba inaandikwa kijanja sana na ni mabook makubwa makubwa hiyo yanahitaji akili fresh ili kuyasoma kuyaelewa na kufanya maamuzi sahihi.

Mada ya mikataba ya nchi ni nzito sana haikupaswa kabisa kufanyika kizembe.
MAKALAI MAKALAI

View: https://youtu.be/ngIh0WOWv6A?si=C4-pbh1BdgCL11Yz
 
A lakini tumboni Kuna kitu? Hakuna mtu mwenye njaa mwenye akili timamu. Shida inaanzia hapo kwenye njaa hapo . Ndiposa nashauru siku za mbeleni nibora tuchague viongozi matajiri Sana ambao hawana njaa sana
Pia naskia njaa Ina mchango mkubwa sana kwenye kuharibu mikataba.
Alinisimulia mtu mmoja kwamba wazungu wakitaka limkataba la hovyo lipite wana hila nyingi sana
Picha linaanza mazungumzo yanafanyikia Dubai. Pdm sio za nchi hii mchana mnapigwa ofa kama zote alafu ndio mnaletewa limkataba yaani unakuwa umeleweshwa hata muda wa kuwa makini nalo huna.
 
Kwamba hiyo A haitokani na uwezo binafsi!? Kama mtu alifight akapata A apewe heshma yake

A yakufaulu mitihani hailingani na uhalisia wa mazingira yenyewe mtaani/duniani, watu wetu wanatoka shule lakini wengi hawana exposure kwenye uhalisia wa mambo matokeo yake wanaishia kutumia school and local theories kwenye mambo makubwa yanayohitaji akili iliyowahi kutatua matatizo makubwa na magumu.
 
Hii inaweza kuwa age discrimination.

Mtu apimwe kwa uwezo wake, si kwa age.
Ndugai alisema waende watu top class hata kama ni vijana, nimeambatanisha video hapo juu
 
Ndugai alisema waende watu top class hata kama ni vijana, nimeambatanisha video hapo juu
Ndugai mjinga mjinga anaungaunga maneno mara "Yaliyobakia huko sitawaambieni". That alone rubbishes anything he has to say.

Negotiations zinahitaji uzoefu wa kazini, ambao huwezi kuupata kwa A+ zako za chuoni. Kuna haja ya kupeleka vijana kuwa groom, wasipelekwe wazee tupu kisha wakistaafu vijana wakawa hawajui negotiations.

Mimi nimemuona baba yangu anaongoza negotiations kwa niaba ya Tanzania hapo London Court of International Arbitration, na hiyo ni kati ya kesi chache ambazo Tanzania ilishinda. Ile si shughuli ya kumpa kijana aliyetoka chuoni aiongoze.

Kuna kipindi serikali ilikuwa inatafuta watu wenye certifications fulani zinazohitajika ili kufanya negitiations fulani, hata hao wazee waliokuwa nazo walikuwa wachache sana, mmoja wao alikuwa Philip Marmo. Sasa hapo utampelekaje kijana aliyetoka chuoni na A+ yake nje ya kum groom ajiandae tu?
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Katika moja ya comment zilizowahi kunishtua ni hii ya jobu aliyoitoa akiwa spika.

Alidai kwamba wenzetu baadhi ya mataifa linapohusika suala la mikataba, hawana masihara hata kidogo huchukua vijana smart class A wenye uwezo mkubwa wa kusoma kuelewa na kufikiri kwa upana juu ya mikataba tunayoingia kama taifa ni kwa namna gani itanufaisha umma. Akasema kwetu Tanzania hali ni tofauti kabisa kwani sisi huwatumia maprof wetu.

Ni kweli wana elimu nzuri lakini wamechoka kiakili kwa namna ambayo ni rahisi sana kutuingiza chaka. Alisema hii mikataba inaandikwa kijanja sana na ni mabook makubwa makubwa hiyo yanahitaji akili fresh ili kuyasoma kuyaelewa na kufanya maamuzi sahihi.

Mada ya mikataba ya nchi ni nzito sana haikupaswa kabisa kufanyika kizembe.
M ona yeye alikuwa spika sasa wakati alikuwa zero brain
 
Katika moja ya comment zilizowahi kunishtua ni hii ya jobu aliyoitoa akiwa spika.

Alidai kwamba wenzetu baadhi ya mataifa linapohusika suala la mikataba, hawana masihara hata kidogo huchukua vijana smart class A wenye uwezo mkubwa wa kusoma kuelewa na kufikiri kwa upana juu ya mikataba tunayoingia kama taifa ni kwa namna gani itanufaisha umma. Akasema kwetu Tanzania hali ni tofauti kabisa kwani sisi huwatumia maprof wetu.

Ni kweli wana elimu nzuri lakini wamechoka kiakili kwa namna ambayo ni rahisi sana kutuingiza chaka. Alisema hii mikataba inaandikwa kijanja sana na ni mabook makubwa makubwa hiyo yanahitaji akili fresh ili kuyasoma kuyaelewa na kufanya maamuzi sahihi.

Mada ya mikataba ya nchi ni nzito sana haikupaswa kabisa kufanyika kizembe.


Yeye kama spika alifanya nini zaidi ya kudidimiza hao hao mawakili wakina Lissu.
 
A yakufaulu mitihani hailingani na uhalisia wa mazingira yenyewe mtaani/duniani, watu wetu wanatoka shule lakini wengi hawana exposure kwenye uhalisia wa mambo matokeo yake wanaishia kutumia school and local theories kwenye mambo makubwa yanayohitaji akili iliyowahi kutatua matatizo makubwa na magumu.
Kwenye issue ya mikataba unahitaji mtu mwenye uwezo mkubwa wa kufikiria vizuri kila nukta na kila kpengele. Jambo ambalo tunadhani mtu aliyeweza kufanya hivyo kwa uwezo wake ni mtu sahihi
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Ndugai mjinga mjinga anaungaunga maneno mara "Yaliyobakia huko sitawaambieni". That alone rubbishes anything he has to say.

Negotiations zinahitaji uzoefu wa kazini, ambao huwezi kuupata kwa A+ zako za chuoni. Kuna haja ya kupeleka vijana kuwa groom, wasipelekwe wazee tupu kisha wakistaafu vijana wakawa hawajui negotiations.

Mimi nimemuona baba yangu anaongoza negotiations kwa niaba ya Tanzania hapo London Court of International Arbitration, na hiyo ni kati yavkesi chache ambazo Tan,ania ikishinda. Ile si shughuli ya kumpa kijana aliyetoka chuoni aiongoze.

Kuna kipindi serikali ilikuwa inatafuta watu wenye certifications fulani zinazohitajika ili kufanya negitiations fulani, hata hao wazee wali9kuwa nazo walikuwa wachacgw sana, mmoja wao alikuwa Philip Marmo. Sasa hapo utampelekaje kijana aliyetoka chuoni na A+ yake nje ya kum groom ajiandae tu?
Mkuu kiranga upo sahihi, easy summary team iwe na watu competent.
 
Kwenye issue ya mikataba unahitaji mtu mwenye uwezo mkubwa wa kufikiria vizuri kila nukta na kila kpengele. Jambo ambalo tunadhani mtu aliyeweza kufanya hivyo kwa uwezo wake ni mtu sahihi
Ukishaona watu wengi wanapigia kelele A. Basi ni muda muafaka wa kutafakari education system yetu
 
Ukishaona watu wengi wanapigia kelele A. Basi ni muda muafaka wa kutafakari education system yetu
Ni ukweli lakini sasa jambo la kujiuliza je hawa wanaofanya sasa wamesoma wapi!?
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Back
Top Bottom