Ndugai: Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo uendelee, Dkt. Magufuli alishauriwa vibaya

Ndugai: Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo uendelee, Dkt. Magufuli alishauriwa vibaya

Aiseee unga wa ndere umekuwa replaced na unga wa rutuba!

Nimejikuta nashangaa tuu, ni lini hasa Mh. Spiika alitambua kuwa Mh. wetu alishauriwa vibaya? ifikie wakati tuunde taasisi imara ili ikitokea Mhimili mmoja umeshauriwa vibaya mwingine usimame kidete kuhakikisha hakuna linaloharibika.
 

Hapa Ndingai anaishangaa serikali kusitisha ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Anasema alikwenda China katika mji wa Chenzen ambako ndiko yaliko makao makuu ya wajengaji wa bandari. Walimuonyesha presention nzima a hakuona tatizo.

Pia wale wajamaa wanaoujua urafiki wa China na Tanzania wengi wamestaafu na wawili waliobaki waliwaambia wafanye haraka kufanya maamuzi ya ujenzi kwani wao of akiondoka, kizazi kipya kiko ki faida zaidi.


Aliko jiwe atakuwa anaangalia na kujisemea hiiiiii!

Na bado!
 
Ukiangalia wabunge karibia wote waliopitishwa na tume kimagumashi wengine bila kupingwa (hata kupigiwa kura za ndio/hapana) ndio walikuwa wanamsifia sana JPM hata alipokosea na ndio ghafla wamebadilika na kujionyesha kumuunga mkono Mama pamoja na kukigeuka kila alichokifanya mwendazake! So sad ...ndio makosa makubwa tunayoishi nayo kuwaweka watu wasio na sifa hata ya kumshauri na kumsimamia mwenyekiti wa kijiji kuwa washauri na watunga sheria wa taifa.
Ni mambo ya ajabu kweli lakini hii inadhihirisha kuwa tatizo la nchi hii ni CCM na kwa kiwango hiki cha unafiki hatutatawaliwa tena na UK/US/China au hata Kenya na SA bali tunakuja kutawaliwa na Comoro, Burundi na South Sudan!
We nae unaona umeongea ya maana!??... Tatizo ni mtu mweusi na ubinafsi wake na kuendekeza njaa.. haya mambo ya CCM,CUF na CDM mnashikana uchawi bure tu. Wale wabunge 19 wa CHADEMA walioingia bungeni walichaguliwa na nani!?.. Si ndio lilikuwa jeshi la wamama mnaloliamini CHADEMA!?... Kubali kataa mtu mweusi ni selfish sana, wote sio Mbowe, Lissu, Mnyika wala CCM. Hapa mnatafutana uchawi tu.
 
Hata ile somo la historia John Pombe Joseph Magufuli ataongelewa ukura mmoja, kwenye orodha ya marais.


Magufuli alikuwa dikteta sana.


Mwaka 2000 alimteka mgombea wa cuf ili asimpinge jimboni.


Mwaka 2005 alimteka Dr Sende, akazizuia boti zake kufanya usafirisha na akamteka na kumzuia asigombee ubunge.


2010 alipingwa na Dr lukanima, mkufunzi wa uchumi mzumbe, alifuluzwa kazi na akakimbilia uhamishoni Chile magu alipokuwa rais, kuna kijana mwingine alimpinga mwaka huo, baadae huyo kijana anaitwa Deusdedit, akapigwa uhujumu uchumi hadi leo yupo lupango. Alikuwa mtumishi NEMC.



Idara ya usalama, msijaribu kuruhusu mtu type yake kuwa raisi au makamu.


Tumshukuru sana Mungu.
Duh!
 
Spika wa Bunge ameshauri mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uendelee kwa sababu Magufuli alishauriwa vibaya, hii ni baada ya kamati ya Bunge ya bajeti kushauri kuwa serikali iangalie kuhusu kuendelea na mradi huo
Ndugai amesema kuwa mradi huo utakuwa na faida kubwa kwa Watanzania na tukichelewa hatutauta tena

Magufuli alisema mradi huo ulikuwa ni hasara kwani ulikuwa na masharti magumu ikiwemo ya kuzuia bandari yoyote kuendelezwa, wala TRA kukusanya kodi na kupewa lease kwa miaka 99


Hili alilizungumza siku nyingi kidogo kabla hata hayati JPM hajatutoka....
 
Jiwe enzi zake wakurugenzi na watendaji waliokuwa kwenye wizara take kama humpi 1o% unahamishwa au kushushwa wadhifa. Tunayajua madudu yake mengi
Hata ile somo la historia John Pombe Joseph Magufuli ataongelewa ukura mmoja, kwenye orodha ya marais.


Magufuli alikuwa dikteta sana.


Mwaka 2000 alimteka mgombea wa cuf ili asimpinge jimboni.


Mwaka 2005 alimteka Dr Sende, akazizuia boti zake kufanya usafirisha na akamteka na kumzuia asigombee ubunge.


2010 alipingwa na Dr lukanima, mkufunzi wa uchumi mzumbe, alifuluzwa kazi na akakimbilia uhamishoni Chile magu alipokuwa rais, kuna kijana mwingine alimpinga mwaka huo, baadae huyo kijana anaitwa Deusdedit, akapigwa uhujumu uchumi hadi leo yupo lupango. Alikuwa mtumishi NEMC.



Idara ya usalama, msijaribu kuruhusu mtu type yake kuwa raisi au makamu.


Tumshukuru sana Mungu.
 
Spika wa Bunge ameshauri mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uendelee kwa sababu Magufuli alishauriwa vibaya, hii ni baada ya kamati ya Bunge ya bajeti kushauri kuwa serikali iangalie kuhusu kuendelea na mradi huo
Ndugai amesema kuwa mradi huo utakuwa na faida kubwa kwa Watanzania na tukichelewa hatutauta tena

Magufuli alisema mradi huo ulikuwa ni hasara kwani ulikuwa na masharti magumu ikiwemo ya kuzuia bandari yoyote kuendelezwa, wala TRA kukusanya kodi na kupewa lease kwa miaka 99


Walahi kwa hii kasi Magufuli atakuwa ameamua kulala kifudifudi huko kaburini
 
Back
Top Bottom