Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeamini kwamba wale wanao kwambia tuko nyuma yako unaweza kugeuka na usiwakuteSpika wa Bunge ameshauri mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uendelee kwa sababu Magufuli alishauriwa vibaya, hii ni baada ya kamati ya Bunge ya bajeti kushauri kuwa serikali iangalie kuhusu kuendelea na mradi huo.
Ndugai amesema kuwa mradi huo utakuwa na faida kubwa kwa Watanzania na tukichelewa hatutauta tena.
Magufuli alisema mradi huo ulikuwa ni hasara kwani ulikuwa na masharti magumu ikiwemo ya kuzuia bandari yoyote kuendelezwa, wala TRA kukusanya kodi na kupewa lease kwa miaka 99.
Pia soma: Spika Job Ndugai: Kutokana na masharti ya Mradi wa Bandari Bagamoyo, ni sahihi Serikali kuusitisha
Hiyo atakuwa ameshauriwa vizuriKuna watu fahamu zinaanza kurudi- ile Kinga yako ya kutokushitakiwa ameshauriwa vibaya?
Mkuu huu ndio ukweli wenyewe, hawa watu tayari wanataka kutumia fursa kupiga hela enzi za ku sign mikataba mibovu yatari zinaanza kurejeshwa kwa tamaa za hawa watu.Nimecheka spika alichoongea Ndugai kwenye Clip anasema ukiangalia presentation waliyotufanyia wachina kule kwao ule mradi ni mzuri sana!!!
Nimweleweshe mradi mzuri huuangalii kwenye presentation nenda kwenye mkataba huko ndiko utajua ni mzuri au la
Tuonyesheni mkataba
Pili anasena ni kosa kuanza kujenga reli kabla ya bandari!!! kwa hiyo unaanza kujenga stendi ya mabasi kabla ya barabara? Mfano hakuna barabara hata moja ya kutoka Dar kwenda mkoa wowote kwa hiyo wewe cha kwanza utaanza kujenga stendi ya ubungo wakati huna hata barabara moja?
Bandari sisi tunayo tayari hilo la kusema tumetanguliza mkokoteni mbele ya punda anayetakiwa yeye kuwa mbele na mkokoteni nyuma sio kweli .Sisi bandari tunayo tayari huo mfano hautuhusu walitakiwa wawajibu hivyo hao wachinadio tu ku swallow everything!
Naanza kunusa harufu ya rushwa Ndugai na kundi lake China walipoenda kuna kitu waliahidiwa au walikula rushwa!!
Huwezi kuukubali mradi kwa ka kipresentation tu kadogio ka dakika chache ka power point bila kuona mkataba
Hii ndiyo rangi halisi ya CCM, mama awe nao makini sn hawa akina Ndugai wapo kimaslahi zaidi.Nimeamini kwamba wale wanao kwambia tuko nyuma yako unaweza kugeuka na usiwakute
Mkuu hebu Acha utani kabisa , usubiri mwaka tena , unacheza kulingana na mdundo wa Ngoma Mzee Baba , mtu akifa anakuwa helpless Mzee, wa kutomfanyia unafk ni Yesu tuu , wanadamu wenzetu hapa duniani tunashangiliana Kwa fursa mzeeUnafiki plus
Wangesubiri ata mwaka upite ndiyo waanze unafiki
Ata matanga hayajaisha wanaanza kumnanga shujaa wa Africa
sio unafiki, kwani nani hajui jiwe alUnafiki plus
Wangesubiri ata mwaka upite ndiyo waanze unafiki
Ata matanga hayajaisha wanaanza kumnanga shujaa wa Africa
Hata mimi mkuu......Nimejikuta nawaza hivi: Mzee wa MSoga amerudi kwa kishindo,...mkataba ukasainiwe Dubai huko kwa raha zao!Mbona sielewi elewi
Taratibu nmeanza kuelewaSpika wa Bunge ameshauri mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uendelee kwa sababu Magufuli alishauriwa vibaya, hii ni baada ya kamati ya Bunge ya bajeti kushauri kuwa serikali iangalie kuhusu kuendelea na mradi huo.
Ndugai amesema kuwa mradi huo utakuwa na faida kubwa kwa Watanzania na tukichelewa hatutauta tena.
Magufuli alisema mradi huo ulikuwa ni hasara kwani ulikuwa na masharti magumu ikiwemo ya kuzuia bandari yoyote kuendelezwa, wala TRA kukusanya kodi na kupewa lease kwa miaka 99.
Pia soma: Spika Job Ndugai: Kutokana na masharti ya Mradi wa Bandari Bagamoyo, ni sahihi Serikali kuusitisha
HApo kwenye bold....inaanzia kwenye familia, mtaani, makazini hadi TAiFAKwani hao washauri walishikiwa Bunduki hadi kumshauri mwendazake vibaya??
Unaweza kuta washauri wale wale waliomshauri JPM kutotekeleza mradi kwamba hauna manufaa makubwa kwa Nchi ndiyo hao hao wanashauri mradi Mhe. Samia Suluhu kuutekeleza kwa kuwa wamegundua Una manufaa kwa Nchi mara hii.
Tanzania kinachotugharimu ni Unafiki, Woga na kuendekeza Majungu.
Imagine kama mradi ungetekelezwa 2016 leo hii si ingekuwa Meli zimeanza kushusha na mzigo hapo. Tumekubali kuyumbishwa na siasa uchwara hatimaye tumepoteza zaidi ya maTrilioni kwenye Ushuru na Kodi.
Spika wa Bunge ameshauri mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uendelee kwa sababu Magufuli alishauriwa vibaya, hii ni baada ya kamati ya Bunge ya bajeti kushauri kuwa serikali iangalie kuhusu kuendelea na mradi huo.
Ndugai amesema kuwa mradi huo utakuwa na faida kubwa kwa Watanzania na tukichelewa hatutauta tena.
Magufuli alisema mradi huo ulikuwa ni hasara kwani ulikuwa na masharti magumu ikiwemo ya kuzuia bandari yoyote kuendelezwa, wala TRA kukusanya kodi na kupewa lease kwa miaka 99.
Pia soma: Spika Job Ndugai: Kutokana na masharti ya Mradi wa Bandari Bagamoyo, ni sahihi Serikali kuusitisha
Spika wa Bunge ameshauri mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uendelee kwa sababu Magufuli alishauriwa vibaya, hii ni baada ya kamati ya Bunge ya bajeti kushauri kuwa serikali iangalie kuhusu kuendelea na mradi huo.
Ndugai amesema kuwa mradi huo utakuwa na faida kubwa kwa Watanzania na tukichelewa hatutauta tena.
Magufuli alisema mradi huo ulikuwa ni hasara kwani ulikuwa na masharti magumu ikiwemo ya kuzuia bandari yoyote kuendelezwa, wala TRA kukusanya kodi na kupewa lease kwa miaka 99.
Pia soma: Spika Job Ndugai: Kutokana na masharti ya Mradi wa Bandari Bagamoyo, ni sahihi Serikali kuusitisha