Ndugai: Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo uendelee, Dkt. Magufuli alishauriwa vibaya

Ndugai: Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo uendelee, Dkt. Magufuli alishauriwa vibaya

Spika wa Bunge ameshauri mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uendelee kwa sababu Magufuli alishauriwa vibaya, hii ni baada ya kamati ya Bunge ya bajeti kushauri kuwa serikali iangalie kuhusu kuendelea na mradi huo.

Ndugai amesema kuwa mradi huo utakuwa na faida kubwa kwa Watanzania na tukichelewa hatutauta tena.

Magufuli alisema mradi huo ulikuwa ni hasara kwani ulikuwa na masharti magumu ikiwemo ya kuzuia bandari yoyote kuendelezwa, wala TRA kukusanya kodi na kupewa lease kwa miaka 99.




Pia soma: Spika Job Ndugai: Kutokana na masharti ya Mradi wa Bandari Bagamoyo, ni sahihi Serikali kuusitisha
Kudadadeq walahi,yaani hata wewe andunje!!!
 
Yaani ndungai anachekesha yaani miaka mitano nchi ilikua inaendeshwa kibabe na mtu moja na wakafyata mtu mwenyewe alikua anamiliki bastola moja tu! Sasa alimvalia njuga prof Assad ili afukuzwe kwa nini alipowaita wabunge dhaifu? Yaani walijua jamaa anakwenda kuuwa uchumi wa nchi kibabe na bado wakamuogopa, kweli magu alikua mtemi.
 
Mwaka huu mtapasuana wenyewe
Kumaliza utata mkataba huo uwekwe wazi uanikwe hadharani. Wazee akina Ndugai musije achie vizazi vijavyo mizigo isiyowahusu si vizuri kurithisha kizaxi kingine zigo Wanamchi tunaomba uwekwe wazi sababu ni wa miaka mingi pengine wote tuluopo hatitakuwepo tutalaaniwa na vizazi vijavyo

Uwekeni wazi wanamchi tuseme kama una manufaa au la.Lakini kuo ngelea vitu tu gizani si sahihi sasa tudamaje Magufuli alishauriwa vibaya na nani? Na Ndugai kashauriwa vizuri na nani? Mkataba wabunge wameuona?

Hiyo mikataba ya miaka mingi kupindukia hiyo iwekwe wazi
 
Na wala haoni aibu kusema maneno hayo, kana kwamba anawaambia watu wasiokuwa na akili kichwani!

Na huyu ni mfano wa viongozi tunaowategemea kuliendeleza taifa hili na kulipa heshima stahiki kati ya mataifa mengine!
 
Ndugai anashangaza kwakweli

Yaani kuoneshwa presentation na kupewa vimaneno viwili vitatu basi amejaa kingi

Jpm kipindi kile alizungumzia madhaifu yaliyomo ktk huo mkataba kwamba haiwezekani mchina akajenga kisha masharti yaliyomo yakitutaka kutokuendeleza bandari yoyote kwa kipindi chote ambacho mchina atakuwa ana operate, pili léase agreement walitaka iwe for 99 yrs etc

Huu ulikuwa mkataba wa kinyonyaji, hauna tofauti na mikataba ya kina chifu Mangungo

Sasa huyu ndugai ameahidiwa nini mpaka apotoke waziwazi namna hii tena ktk dunia ya watu walioelimika!????
Tena kiongozi wa mhimili mkubwa kabisa wa nchi,,, aibu aibu aibu

Ndio maana ex-CAG alisema mapema tuna bunge dhaifu
 
Hilo ndilo tatizo lingine kubwa la nchi hii. Kukosekana kwa bunge huru.
leo ndio nimeona wanasiasa hawawezi kuiona pepo kwa unafiki wao,huyu huyu ndugai aliwekwa pale na mzee leo anaongea haya kweli
 
Kumaliza utata mkataba huo uwekwe wazi uanikwe hadharani. Wazee akina Ndugai musije achie vizazi vijavyo mizigo isiyowahusu si vizuri kurithisha kizaxi kingine zigo Wanamchi tunaomba uwekwe wazi sababu ni wa miaka mingi pengine wote tuluopo hatitakuwepo tutalaaniwa na vizazi vijavyo

Uwekeni wazi wanamchi tuseme kama una manufaa au la.Lakini kuo ngelea vitu tu gizani si sahihi sasa tudamaje Magufuli alishauriwa vibaya na nani? Na Ndugai kashauriwa vizuri na nani? Mkataba wabunge wameuona?

Hiyo mikataba ya miaka mingi kupindukia hiyo iwekwe wazi
Daaah! Hivi hii nchi rais ni yule mstaafu au mama? Ila ndugai aseme aliyemshauri mwendazake vibaya ni nani?
 
Hata arobaini badooo!! Mwenye ileclip ya Kinana akiongea na Nape tafadhali!!
Tumekwisha! Kibaya zaidi anawatolea mfano aliowaita "majirani zetu wa hapo juu" K E N Y A ambao wapo wanalia kilio cha malaya aliyepewa noti bandia baada ya kuuza papuchi na mkataba wa SGR yao!
 
Kumaliza utata mkataba huo uwekwe wazi uanikwe hadharani. Wazee akina Ndugai musije achie vizazi vijavyo mizigo isiyowahusu si vizuri kurithisha kizaxi kingine zigo Wanamchi tunaomba uwekwe wazi sababu ni wa miaka mingi pengine wote tuluopo hatitakuwepo tutalaaniwa na vizazi vijavyo

Uwekeni wazi wanamchi tuseme kama una manufaa au la.Lakini kuo ngelea vitu tu gizani si sahihi sasa tudamaje Magufuli alishauriwa vibaya na nani? Na Ndugai kashauriwa vizuri na nani? Mkataba wabunge wameuona?

Hiyo mikataba ya miaka mingi kupindukia hiyo iwekwe wazi
Majambazi wakubwa sana nyinyi.
 
Alama za mtu mnafiki ni tatu:
1. Kusema uongo
2. Akitoa ahadi hatimizi
3. Kuendelea kufanyia watu hiyana.
(Albukhaary na Muslim)
 
Spika wa Bunge ameshauri mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uendelee kwa sababu Magufuli alishauriwa vibaya, hii ni baada ya kamati ya Bunge ya bajeti kushauri kuwa serikali iangalie kuhusu kuendelea na mradi huo.

Ndugai amesema kuwa mradi huo utakuwa na faida kubwa kwa Watanzania na tukichelewa hatutauta tena.

Magufuli alisema mradi huo ulikuwa ni hasara kwani ulikuwa na masharti magumu ikiwemo ya kuzuia bandari yoyote kuendelezwa, wala TRA kukusanya kodi na kupewa lease kwa miaka 99.




Pia soma: Spika Job Ndugai: Kutokana na masharti ya Mradi wa Bandari Bagamoyo, ni sahihi Serikali kuusitisha

Huku ni kuweweseka... Wameona hotuma ya mama inaenda kukaa kooni kwao... WANAHAHA KUPIGA U-TURN
 
NAIPENDA BAGAMOYO.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].
bagamoyo Kwanza
 
Kwani hao washauri walishikiwa Bunduki hadi kumshauri mwendazake vibaya??

Unaweza kuta washauri wale wale waliomshauri JPM kutotekeleza mradi kwamba hauna manufaa makubwa kwa Nchi ndiyo hao hao wanashauri mradi Mhe. Samia Suluhu kuutekeleza kwa kuwa wamegundua Una manufaa kwa Nchi mara hii.

Tanzania kinachotugharimu ni Unafiki, Woga na kuendekeza Majungu.

Imagine kama mradi ungetekelezwa 2016 leo hii si ingekuwa Meli zimeanza kushusha na mzigo hapo. Tumekubali kuyumbishwa na siasa uchwara hatimaye tumepoteza zaidi ya maTrilioni kwenye Ushuru na Kodi.
Umeandika utumbo
 
Back
Top Bottom