Ndugai: Wabunge ishaurini Serikali, iendelee kununua ndege au isitishe

Ndugai: Wabunge ishaurini Serikali, iendelee kununua ndege au isitishe

Tuko pazuriiiiiiiii, tuko pazuriiii ndugu zangu tembeeni vifua mbereeeee, nchi hiii ni tajiriiiiiiii, mimi ni mtumishi wenu mwaminifu[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Ghafla nimemkumbuka Mussa Assad na Santuri ya "Bunge Dhaifu"

Ambayo ilipelekea Povu la kutosha kutoka kwa Spika na Shujaa wake
 
Ripoti ya CAG isiwatishe, tuendelee mbele. Kenya airway moja ya mashirika kongwe ya ndege Africa limepata hasara bil.zaidi ya 700 na bado linahudumu, sisi bil. 60 unaogopa kununua ndege. Hata tupate hasara ili mradi linaingia nchi mbali mbalimbali ni namna ya kuitangaza Tanzania duniani.
Shirika halina projection ya kutengeza faida yoyote iwe direct au indirect hata ikipita miaka 20, serikali ya Kenya inamiliki chini ya 50% kwenye KQ kwa hiyo haibebi mzigo wa hasara peke yake na bado inatimiza malengo ya kuitangaza nchi kimataifa hasa upande wa utalii, nyinyi mmeibebesha serikali pekee gharama zote za manunuzi ya ndege zaidi ya trillion moja na bado serikali itaendelea kutoa ruzuku kuhudumia hizo ndege, ndo hii hasara imeanza ya billion 60 na hakuna indirect benefits za kuitangaza nchi kimataifa kwenye utalii kwa sababu ndege zenyewe zinaishia tu hapa chato......kuna watu vichwa vimebeba makamasi tu, unaanzaje kutoa matrillion ya pesa za walipa kodi kwenye mradi hewa kama huo wa ndege.....shenzy type!
 
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amewataka wabunge kuishauri serikali kama iendelee na mpango wake wa kununua ndege au isitishe hadi itakapoweka mambo sawa, gazeti la Mwananchi nchini humo limeripoti.

Bwana Ndugai ameuliza swali hilo leo bungeni mjini Dodoma, mara baada ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali nchini Tanzania, Charles Kicheere kutoa ripoti kuwa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) limeingiza hasara ya takribani Shilingi Bilioni 150 kwa miaka mitano iliyopita.

Na kwa mwaka mmoja uliopita, ATCL imeingiza hasara ya Shilingi bilioni 60. Bw. Kicheere ameyasema hayo leo Alhamisi alipokuwa akiwasilisha ripoti ya ukaguzi kwa mwaka wa fedha 2019/2020 Bungeni mjini Dodoma.

Aidha Spika amewaambia wabunge kuwa wanatakiwa kuishauri Serikali kama iendelee na mpango wa kuongeza ununuzi wa ndege au wasitishe kwanza badala ya kusubiri kuja kukosoa mambo yatakapoenda kombo.

Vilevile amewataka wabunge hao kushauri pia katika ununuzi wa mabehewa kwa ajili ya uendeshaji wa reli ya kisasa (SGR) kama ni vyema yakanunuliwa na Serikali au ununuzi ukafanywa na wabia wa sekta binafsi.

Gazeti la Mwananchi limeandika kuwa Ndugai alieleza kuwa kuna nchi zinafanya uwekezaji wa miundombinu ya reli na suala la mabehewa linafanywa na wawekezaji binafsi.

#Habari kama ilivyo kutoka katika ukurasa wa #BBC Swahili.
 
Aiseh leo ndio nimeamini ile kauli ya wanajiografia kuwa "Dunia inazunguka kwa kasi sana".
 
Sasa hao wanaotaka kuanza kujadili; wanao huo uelewa wa jinsi gani mashirika ya ndege yanaendeshwa? Kuendesha shirika la ndege sio sawa sawa na biashara ya kuuza nyanya, ambayo unanunua "stock ya nyanya" asubuhi, baada ya siku mbili au tatu unaweza kupiga hesabu umepata faida kiasi gani.

Ndege ni tofauti; unanunua ndege leo - inabidi uanzishe route mpya; uwe na mikakati ya bei, masoko ili kuweza kupata abiria. Na tatizo hao abiria ni lazima wakuamini pia kama hilo shilika liko reliable; kabla hawajaanza kulitumia. Hiyo yote inachukua muda. Ndio maana mashirika ya ndege huwa yanakuwa na muda waliojiwekea "PLANNED LOSSES". Kipindi ambacho wanategemea watakuwa wanapata hasara kuelekea kwenye faida.

Hivyo kutegemea ATCL iwe imepata faida ndani ya miaka 3 au 4 ya kujiendesha, hiyo sio sawa. Muhimu ni kuangalia hiyo hasara wanayoipata; inapungua??? Inaleta matumaini kuelekea kwenye faida kwenye miaka ijayo??? Na hiyo pia iangaliwe kwa pamoja na contribution yake kwenye maeneo mengine ya uchumi; ikiwemo utalii.

Kuhusu kubinafsihwa kwa TRC - hapo watuambie tu kama kuna janja janja za kuanza kutaka kujiuzia hilo shirika jipya na SGR yake. TRC ilishabinafsishwa wakati fulani; kwa wale wahindi; sijui walikuwa wanaitwa RITES???? Nini kilitokea???? Nina hakika Spika wa sasa nae alishakuwa Mbunge wakati ule?? TRC si ilikwisha kabisa mpaka serikali ikaamua kulichukua tena kwa asilimia 100??? Mbona hao RITES hawakujenga SGR??????

Mwekezaji Binafsi yeyote anakuja kwa kuangalia kwa upana maslahi yake binafsi. Hiyo ni hatari kwa hii miundombinu mikubwa ambayo inategemewa kuwa ndio "lifeline" ya Uchumi wetu. Ndio maana nchi zilizoendelea; miundo mbinu mikubwa ambayo ndio inachochea kukua kwa uchumi; inamilikiwa na serikali mpaka sasa. Na hiyo ikiwemo Bandari; Reli na Mashirika ya Ndege.
 
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amewataka wabunge kuishauri serikali kama iendelee na mpango wake wa kununua ndege au isitishe hadi itakapoweka mambo sawa, gazeti la Mwananchi nchini humo limeripoti.

Bwana Ndugai ameuliza swali hilo leo bungeni mjini Dodoma, mara baada ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali nchini Tanzania, Charles Kicheere kutoa ripoti kuwa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) limeingiza hasara ya takribani Shilingi Bilioni 150 kwa miaka mitano iliyopita.

Na kwa mwaka mmoja uliopita, ATCL imeingiza hasara ya Shilingi bilioni 60. Bw. Kicheere ameyasema hayo leo Alhamisi alipokuwa akiwasilisha ripoti ya ukaguzi kwa mwaka wa fedha 2019/2020 Bungeni mjini Dodoma.

Aidha Spika amewaambia wabunge kuwa wanatakiwa kuishauri Serikali kama iendelee na mpango wa kuongeza ununuzi wa ndege au wasitishe kwanza badala ya kusubiri kuja kukosoa mambo yatakapoenda kombo.

Vilevile amewataka wabunge hao kushauri pia katika ununuzi wa mabehewa kwa ajili ya uendeshaji wa reli ya kisasa (SGR) kama ni vyema yakanunuliwa na Serikali au ununuzi ukafanywa na wabia wa sekta binafsi.

Gazeti la Mwananchi limeandika kuwa Ndugai alieleza kuwa kuna nchi zinafanya uwekezaji wa miundombinu ya reli na suala la mabehewa linafanywa na wawekezaji binafsi.

#Habari kama ilivyo kutoka katika ukurasa wa #BBC Swahili.
Muulizeni hivi hajamis kwenda kuzipokea ndegepya?
 
Mambo yamekuwa mazito hadi Zumbe Mkuu anaomba ushauri toka kwa Wazumbe? Kwani hayo walikuwa hawayaoni? Wanakula matapishi yao sasa.
 
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amewataka wabunge kuishauri serikali kama iendelee na mpango wake wa kununua ndege au isitishe hadi itakapoweka mambo sawa, gazeti la Mwananchi nchini humo limeripoti.

Bwana Ndugai ameuliza swali hilo leo bungeni mjini Dodoma, mara baada ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali nchini Tanzania, Charles Kicheere kutoa ripoti kuwa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) limeingiza hasara ya takribani Shilingi Bilioni 150 kwa miaka mitano iliyopita.

Na kwa mwaka mmoja uliopita, ATCL imeingiza hasara ya Shilingi bilioni 60. Bw. Kicheere ameyasema hayo leo Alhamisi alipokuwa akiwasilisha ripoti ya ukaguzi kwa mwaka wa fedha 2019/2020 Bungeni mjini Dodoma.

Aidha Spika amewaambia wabunge kuwa wanatakiwa kuishauri Serikali kama iendelee na mpango wa kuongeza ununuzi wa ndege au wasitishe kwanza badala ya kusubiri kuja kukosoa mambo yatakapoenda kombo.

Vilevile amewataka wabunge hao kushauri pia katika ununuzi wa mabehewa kwa ajili ya uendeshaji wa reli ya kisasa (SGR) kama ni vyema yakanunuliwa na Serikali au ununuzi ukafanywa na wabia wa sekta binafsi.

Gazeti la Mwananchi limeandika kuwa Ndugai alieleza kuwa kuna nchi zinafanya uwekezaji wa miundombinu ya reli na suala la mabehewa linafanywa na wawekezaji binafsi.

#Habari kama ilivyo kutoka katika ukurasa wa #BBC Swahili.
Kweli Dunia hadaa walimweng shujaa, huyu supika aliyekuwa akiki clush wabunge wanapohoji juu ya ununuzi wa ndege!!
 
Nitashangaa wabunge wakianza tena kumpinga Mzee Baba....

Ilihali yeye ndo aliwatafutia ugali
 
Alafu kinachonichanganya...

Bunge la Kikwete si lililaumu sana kwa Shirika kubwa la ndege kama la kwetu halina ndege?

Kwa hiyo leo hii tunazipinga tena?

Kenya walipata hasara ya 800b..ila bado wanachapa kazi
 
Back
Top Bottom