Ndugai: Wabunge ishaurini Serikali, iendelee kununua ndege au isitishe

Inaonekana wewe ndio haujui unachoongea; ndio maana niliacha kubishana na wewe. Haswa baada ya kusema Zuma alichukua pesa - ambazo hiyo kihasibu inaitwa "Drawings" - ukasema zimesababisha kuleta hasara SAA. Nikajua hata haulewi kuwa Profit/Loss inatokana na "Revenue minus Expenses" kwenye P&L. Nikajua nabishana na mtu asieelewa anachoandika. Si unaona unaandika "Harafu"....Hiyo tu inaeleza wewe ni mtu wa aina gani....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…