Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Atamteua wapi wakati Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania kuanzia October 2020 ni Tundu Antipas LissuHao Watu wawili tena 'Waandamizi' kabisa wanaotumwa Kwako mara kwa mara kuja 'Kukushawishi' kuwa umuachie Namba Tatu 'agombee' hilo Jimbo na kwamba Wewe 'Utateuliwa' ama kuwa Balozi au Mbunge waambie kuwa Kamati ya Roho Mbaya ya CCM Jimbo la Kigamboni 'itashawishi' Wana CCM wote wampigie 'Kura' Mgombea wa CHADEMA na CCM 'itaanguka' vibaya sana.
Hao Watu wawili wameshajulikana na nakuomba waambie kuwa kama Namba Tatu anataka huo Ubunge asubirie hadi 'Babaake' amteue Novemba.
Wewe ndio poyoyo Sasa. Huna taarifaUna uhakika wa 100% Mkuu? Kichwani mwako zinakutosha sawa sawa? Nyie ndiyo Watu wachache ambao huwa mnaniboa na nawajibu Kunya hapa.
Bashite ndo anapitishwa - mpende msipende. Hizi ni habari za uhakika kabisa. Sorry Dr Ndugulile utateuliwa Balozi ukafanye dimplomasia ya kiuchumi!Una uhakika wa 100% Mkuu? Kichwani mwako zinakutosha sawa sawa? Nyie ndiyo Watu wachache ambao huwa mnaniboa na nawajibu Kunya hapa.
Namba tatu ndo nani tena huyo? RC mng'atukaji si alikuwa namba mbili?
Hii ngoma ya kigamboni Ngoja ntulie nifatilieeee
Mpaka mwisho wake
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Atamteua wapi wakati Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania kuanzia October 2020 ni Tundu Antipas Lissu
Wewe ndio poyoyo Sasa. Huna taarifa
Nazidi kuchoma ubani wauane kabisa.Jumamosi ni siku mbaya sana kwa wana CCM, hofu imewatanda katika nyoyo zao. Siku ambayo chama kinaweza kikaendelea kujikongoja au ndio siku chama kinavunjika zaidi ya 2015.
Meku huko alipo hapati usingizi, maana alivyojiachia na kulewa uongozi alijua Oktoba haitofika milele.
Jumamosi ni siku mbaya sana kwa wana CCM, hofu imewatanda katika nyoyo zao. Siku ambayo chama kinaweza kikaendelea kujikongoja au ndio siku chama kinavunjika zaidi ya 2015.
Meku huko alipo hapati usingizi, maana alivyojiachia na kulewa uongozi alijua Oktoba haitofika milele.
Umeweka code za kitoto mno. Yaani iko wazi Sana. Sikunyingine umiza kichwa zaidi.Hujui na wala hutajua kwanini 'nimekwepesha' hivyo. Kwahiyo kwa madai yako kabisa Mwenyewe unajua kuwa GENTAMYCINE nimekosea hapo?
Bashite ndo anapitishwa - mpende msipende. Hizi ni habari za uhakika kabisa. Sorry Dr Ndugulile utateuliwa Balozi ukafanye dimplomasia ya kiuchumi!
Mleta mada Hakuna kitu huwa unakiongea kinafanikiwa kikishindwa unakuja kujikomba komba CCM ohh tuache makundi tuwe wamoja una unafiki ulikithiri Hadi unakera mtu mzima hovyo kabisa wewe
Yakitoka tu yaliyo kinyume na utabiri wakonwa kinafiki unajitia kubweka bweka kuhurumiwa Kama bwege
Dodoma nasikia ngumi zapigwa uko upande wa ngazi ya udiwani
Ngoja uone kitakachotokea kilicho kinyume na matarajio yako ndipo utajithibitisha mwenyewe kuwa Huna akili huhitaji wa kukupima akili yakoHujawahi kuwa na hata 1% tu ya IQ pindi uwapo hapa Jamvini ( JamiiForums ) hivyo basi acha niendelee Kujadili na Werevu baki na Ujuha wako.