Ndugu J. Gwajima, ushahidi wa Mpina haujathibitishwa popote, hivyo huna HAKI ya kusema amedanganya

UCHAGUZI wa 2025,

Itakuwa wa aina yake.

Tusubiri.
 
Gwajima namheshimu sana, ila kwenye hili, nadharau mawazo yake kutuona sisi Watanzania hatuna akili mbele ya wala rushwa na wasio na huruma yoyote dhidi ya maisha ya Watanzania

Kilichofanyika kwenye suala la Sukari ni uhaini haupaswi kufumbiwa macho na wanaotetea jambo hili nao ni wanufaikaji wa uhaini huu
 
Mila za Kiafrika haziruhusu kuongea wakati UNAKULA.
Nchi hii mwenye njaa anaona na kufikiri vizuri zaidi ya aliyeshiba japo wanatuhamasisha tuwape chakula watoto wetu wawapo shuleni.
 
U
Ukoo wa panya 😂 nakushangaa unavowaamini hao chama cha mambuzi
 
Gwajima kwenye issue ya Mpina kajidhalilisha sana,na bbada ya kauli yake kajuta sana
 
Dah kila nikipita mtaani na kukuta bango la itel, nasema dah

Lakini zaidi ni ile kwa miezi kadhaa eti kiwanda hawajazalisha hata sukari kilo moja
 
Ananitafutia nini tena?
Ulidai kuwa unatafuta ofisi ya kupangisha, sasa Yeye ndugu dalali akaona fursa, ulimuahid kumchek pm, sasa kakosea anajaribu pm ambazo zimepigwa Pini!!
 
Alaaniwe askofu wa mchongo Josephat Gwajima kwa kusimama upande wa mafisadi
"Amwambiaye mtu mwovu, Wewe una haki; Kabila za watu watamlaani, taifa watamchukia. Bali kwao wakemeao furaha itakuwako; Na baraka ya kufanikiwa itawajilia" (Mithali 24:24-25)
 
Mpina: Kuna wabunge tumewapokea Kutoka upinzani, Leo wanageuka na kuanza kunishambulia na kunichongea nifukuzwe CCM, Uadilifu na Uzalendo wangu ndani ya chama, Si wa kutiliwa shaka, hivyo watapata taabu sana!!
 
Mpina: Kuna wabunge tumewapokea Kutoka upinzani, Leo wanageuka na kuanza kunishambulia na kunichongea nifukuzwe CCM, Uadilifu na Uzalendo wangu ndani ya chama, Si wa kutiliwa shaka, hivyo watapata taabu sana!!
Tulia atapata shida sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…