Ndugu Mtanzania unalijua kundi lako la damu?

Ndugu Mtanzania unalijua kundi lako la damu?

Hebu kesho nikapime nijithibitishie kweli nipo huko kwenu..

Ila nina dalili zote za kuwa group hilo..😂🤣
Mwenzio nilijua baada ya kumkuta mzee mmoja na mke wake hospital peke yao hawana mtu wa kumtolea damu na hospital damu wameishiwa.
Huruma ikaniingia walivyosema yupo group O na mpk apatikane O mwenzake na mke wake A
Nikamwambia Dr niangalie km O namchangia, ndio kupima kitu kikakubali. Basi nikamchangia yule mzee mpk leo nimekuwa km mtoto wao.

Niliogopa walivyosema tunakupima na ngoma 🤣🤣🤣🤣
 
Mwenzio nilijua baada ya kumkuta mzee mmoja na mke wake hospital peke yao hawana mtu wa kumtolea damu na hospital damu wameishiwa.
Huruma ikaniingia walivyosema yupo group O na mpk apatikane O mwenzake na mke wake A
Nikamwambia Dr niangalie km O namchangia, ndio kupima kitu kikakubali. Basi nikamchangia yule mzee mpk leo nimekuwa km mtoto wao.

Niliogopa walivyosema tunakupima na ngoma 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣 Wanapima ngoma kwani wana mpango wa kuanzisha bendi, ungewakataa tu, mnataka damu chukueni, maswala ya kupimana ngoma msilete.. au pimeni, majibu kaeni nayo wenyewe. Mie nishawafanyia uislam.😂🤣

Tufanye mpango tuwe tunachangia changia mara kwa mara masikia sisi ni katika yale magroup adimu kidogo.
 
🤣🤣 Wanapima ngoma kwani wana mpango wa kuanzisha bendi, ungewakataa tu, mnataka damu chukueni, maswala ya kupimana ngoma msilete.. au pimeni, majibu kaeni nayo wenyewe. Mie nishawafanyia uislam.😂🤣

Tufanye mpango tuwe tunachangia changia mara kwa mara masikia sisi ni katika yale magroup adimu kidogo.
Ngoma lazima, unataka umpe mgonjwa wadudu we vipi?? 😂😂😂😂
Niliwamind walinipima HIV bila kuniambia!!
Walivyoona niko okay ndo wakanichukua damu, wangesema kabla ningekula njoro mbona 🤣🤣🤣
 
Ngoma lazima, unataka umpe mgonjwa wadudu we vipi?? 😂😂😂😂
Niliwamind walinipima HIV bila kuniambia!!
Walivyoona niko okay ndo wakanichukua damu, wangesema kabla ningekula njoro mbona 🤣🤣🤣
Akitaka achukue, hataki aache kwani ye si ndio ana shida ya damu..
😂😂
 
Ngoma lazima, unataka umpe mgonjwa wadudu we vipi?? 😂😂😂😂
Niliwamind walinipima HIV bila kuniambia!!
Walivyoona niko okay ndo wakanichukua damu, wangesema kabla ningekula njoro mbona 🤣🤣🤣
Halafu sisi wenye groups adimu itabidi tukae chini tutafute ufumbuzi wa hili suala.

Ni vema tukawa tunakutana na kuBAIOLOJIANA ili tuzae watoto wa goup hili, waongezeke kutatua shida ya uadimu wa group hilo.🙈🙈

🤣😂
 
Halafu sisi wenye groups adimu itabidi tukae chini tutafute ufumbuzi wa hili suala.

Ni vema tukawa tunakutana na kuBAIOLOJIANA ili tuzae watoto wa goup hili, waongezeke kutatua shida ya uadimu wa group hilo.🙈🙈

🤣😂
🤣🤣🤣🤣 Mwehu we!!
Vichaa watakuwa wengi
 
Sasa damu yangu atake ila vidudu ndio avigomee, basi aniache na damu yangu.😂
🤣🤣🤣🤣 makaveli unavuta bangi ya wapi?
Emu na mie nisogezee hiyo yako utakuwa unaitoa moja kwa moja kutoka Jamaica
 
🤣🤣🤣🤣 makaveli unavuta bangi ya wapi?
Emu na mie nisogezee hiyo yako utakuwa unaitoa moja kwa moja kutoka Jamaica
Aliyotumia bob marley na tupac ndio natumia na mimi.. sivuti ya konde boy mimi😂
 
Back
Top Bottom