Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Unatuma kwa bus mkoani? πππAliyotumia bob marley na tupac ndio natumia na mimi.. sivuti ya konde boy mimiπ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatuma kwa bus mkoani? πππAliyotumia bob marley na tupac ndio natumia na mimi.. sivuti ya konde boy mimiπ
Hakuna tuta KAUNTABALANSI vizuri zaidi,π€£π€£π€£π€£ Mwehu we!!
Vichaa watakuwa wengi
Nafikisha popote ulipo, namna ya kusafirisha najua mimi πUnatuma kwa bus mkoani? πππ
miss uuuuu beibππππ€£π€£π€£ Sema hatuna baya
Siku ukihitaji blood transfusion kumpata blood donor ni mchakato ni kama vile kutafuta dhahabuMie ni 0- sijui.. aahh, nishasahu, toka miaka ya 2000+ huko
Tupo pamoja madamKundi 0 lipo zaidi kwa Waafrika, wataalam wanasema hayo, na hata kwenye huu uzi ushingae 0 kua wengi,
Btw, mimi ni B+.
Nitumie nipo Moro π€£π€£π€£Nafikisha popote ulipo, namna ya kusafirisha najua mimi π
Sahihi, ndio maana namwambia Lamomy tubaiolojiane, ili tupate kizazi chenye group O iwe msaada mkubwa huko mbeleni.Siku ukihitaji blood transfusion kumpata blood donor ni mchakato ni kama vile kutafuta dhahabu
Doctor tupe faida ya group hili
Nipe namba ya nyumba, saa 2 asubuhi unapokea mzigo wako.Nitumie nipo Moro π€£π€£π€£
Watu wa group O+na - ,tunampa yyt damu ila sie hatupokei Kwa yyt unless ana group km Hilo!Mie ni 0- sijui.. aahh, nishasahu, toka miaka ya 2000+ huko
KumbeeeNdiomana akili zetu mbovu hili group watu wake sijui tuna nini?? π€£π€£π€£
Miss u more πππmiss uuuuu beibπππ
Halafu matapeli π€£π€£π€£Kumbeee
π π ππ
Kifupi sisi tuko fiti kalikiti, makodinda makostamina.Watu wa group O+na - ,tunampa yyt damu ila sie hatupokei Kwa yyt unless ana group km Hilo!
Faida mojawapo hatuambukizwi pia magonjwa kirahisi
Naona hapa O tuko wengiKundi 0 lipo zaidi kwa Waafrika, wataalam wanasema hayo, na hata kwenye huu uzi ushingae 0 kua wengi,
Btw, mimi ni B+.
No 102 kihonda maghorofani, unashukia kwa chambo π€£π€£π€£Nipe namba ya nyumba, saa 2 asubuhi unapokea mzigo wako.