Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Ila kweliKifupi sisi tuko fiti kalikiti, makodinda makostamina.
Nikikunbuka nilivyokua mbabe,mtata,🙌😅😅🏃
Mungu tu kanibadirisha na utu uzima
Ilaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kweliKifupi sisi tuko fiti kalikiti, makodinda makostamina.
Usinipe jina hili baya mrembo.....Halafu matapeli 🤣🤣🤣
Mgao wangu umenitapeli uku najiona
Kwenye magonjwa nakubali, me nikiumwa ugonjwa mkubwa basi njaa 🤣🤣🤣Watu wa group O+na - ,tunampa yyt damu ila sie hatupokei Kwa yyt unless ana group km Hilo!
Faida mojawapo hatuambukizwi pia magonjwa kirahisi
Imeisha hiyo, nimesaha tuma na namba ya simu, mzigo ukifika upigiwe.No 102 kihonda maghorofani, unashukia kwa chambo 🤣🤣🤣
😅😅😅Miss u more 😍😍😍
Wamekuficha wapi? Au ndio upo Dub’s 😂😂
Pesa zangu vipi sasa? Mama mchungaji nimechacha, nifanyie mpango hata wa nusu hasara basi.
Kweli mmeamua kunipotezea mwanakondoo wenu wewe na Kantri??
Ulikuwa kama cynthia. 😂Ila kweli
Nikikunbuka nilivyokua mbabe,mtata,🙌😅😅🏃
Mungu tu kanibadirisha na utu uzima
Ilaaaa
Yupo Jiran yangu hapa Ana O+ but Anatumia ARV na huwez mjua maana Makalio yamebinuka hataree nawaonea huruma vijana sana wnakchakata Mbususu yake.Watu wa group O+na - ,tunampa yyt damu ila sie hatupokei Kwa yyt unless ana group km Hilo!
Faida mojawapo hatuambukizwi pia magonjwa kirahisi
Si ulisema pesa zako kasema usinipe, atanipa mwenyewe 😂😂😂Usinipe jina hili baya mrembo.....
Sijakutapeli, sijaoewa mshiko mpk Leo muulize Countrywide 🤣🤣
🤣🤣🤣 namba ile ile ya voda inaishia na 00Imeisha hiyo, nimesaha tuma na namba ya simu, mzigo ukifika upigiwe.
Nimecheka eti njaa🙌🙌Kwenye magonjwa nakubali, me nikiumwa ugonjwa mkubwa basi njaa 🤣🤣🤣
Upo Gaza? 🤣🤣🤣😅😅😅
Niko Uzi wa Israel na Palestine kule ndo maana hujaniona sn ...
Ngoja kantry aje ,asiniuzie kesi mie Countrywide come zis way🤣
🤣🤣🤣Jmn mbona nitakoma...Si ulisema pesa zako kasema usinipe, atanipa mwenyewe 😂😂😂
Naye kauchuna mpk leo, nikaona bora nirudi kwako utanifikiria hata nusu jamani
Kesho asubuhi na mapema, utapigiwa simu upokee mzigo.🤣🤣🤣 namba ile ile ya voda inaishia na 00
Nakwambia Niko Gaza ,nimejikoki🤣🤣Upo Gaza? 🤣🤣🤣
Huyo tapeli hawezi kuja, basi itabidi nikubali
Nakwambia huyo alikuwa noma mpk akapata,hatupati magonjwa kirahisi hivyo!Yupo Jiran yangu hapa Ana O+ but Anatumia ARV na huwez mjua maana Makalio yamebinuka hataree nawaonea huruma vijana sana wnakchakata Mbususu yake.
Kwahiyo kuwa na O+ siyo Kigezo cha kutokupata Maradhi mbalimbali ikiwemo kuambukizwa HIV lead to AIDS...
Hatari snUlikuwa kama cynthia. 😂
Kweli ni njaa tu ndo siielewi, sijawahi kulazwa toka nimezaliwa.Nimecheka eti njaa🙌🙌
Mi wazazi wangu wote O!
Na ni dr na nurse!
Wamestafu ss, hosp .ya rufaa...
Yaani wao ndo walikuwa wanaitwa ikikosekama kabisa damu hosp nzima🤣..
Wastaafu wenzao kipindi Cha COVID wamekufa🙌🙌
Lkn wao akaa