Ndugu Mtanzania unalijua kundi lako la damu?

Ndugu Mtanzania unalijua kundi lako la damu?

Miss u more 😍😍😍
Wamekuficha wapi? Au ndio upo Dub’s 😂😂

Pesa zangu vipi sasa? Mama mchungaji nimechacha, nifanyie mpango hata wa nusu hasara basi.
Kweli mmeamua kunipotezea mwanakondoo wenu wewe na Kantri??
😅😅😅
Niko Uzi wa Israel na Palestine kule ndo maana hujaniona sn ...
Ngoja kantry aje ,asiniuzie kesi mie Countrywide come zis way🤣
 
Watu wa group O+na - ,tunampa yyt damu ila sie hatupokei Kwa yyt unless ana group km Hilo!

Faida mojawapo hatuambukizwi pia magonjwa kirahisi
Yupo Jiran yangu hapa Ana O+ but Anatumia ARV na huwez mjua maana Makalio yamebinuka hataree nawaonea huruma vijana sana wnakchakata Mbususu yake.

Kwahiyo kuwa na O+ siyo Kigezo cha kutokupata Maradhi mbalimbali ikiwemo kuambukizwa HIV lead to AIDS...
 
Kwenye magonjwa nakubali, me nikiumwa ugonjwa mkubwa basi njaa 🤣🤣🤣
Nimecheka eti njaa🙌🙌

Mi wazazi wangu wote O!
Na ni dr na nurse!
Wamestafu ss, hosp .ya rufaa...
Yaani wao ndo walikuwa wanaitwa ikikosekama kabisa damu hosp nzima🤣..

Wastaafu wenzao kipindi Cha COVID wamekufa🙌🙌
Lkn wao akaa
 
Yupo Jiran yangu hapa Ana O+ but Anatumia ARV na huwez mjua maana Makalio yamebinuka hataree nawaonea huruma vijana sana wnakchakata Mbususu yake.

Kwahiyo kuwa na O+ siyo Kigezo cha kutokupata Maradhi mbalimbali ikiwemo kuambukizwa HIV lead to AIDS...
Nakwambia huyo alikuwa noma mpk akapata,hatupati magonjwa kirahisi hivyo!
Pili hili group wKipata magonjwa km hayo wao wanakuwa 'carriers' ila anaohusuana nao wataumwa,watakufaa ye Yuko tu Ndo maana ht huyo unamuona Yuko vzr Kwa nje....
Na carrier ndo wanaua sn watu
 
Nimecheka eti njaa🙌🙌

Mi wazazi wangu wote O!
Na ni dr na nurse!
Wamestafu ss, hosp .ya rufaa...
Yaani wao ndo walikuwa wanaitwa ikikosekama kabisa damu hosp nzima🤣..

Wastaafu wenzao kipindi Cha COVID wamekufa🙌🙌
Lkn wao akaa
Kweli ni njaa tu ndo siielewi, sijawahi kulazwa toka nimezaliwa.
Sema me ni mtundu nishavunjika mkono, kudundana kwangu kawaida.
Ugomvi shuleni haunogi, unaweza hata kuahirishwa km Lamomy sipo siku hiyo 😂😂😂😂
Ss hivi nimeacha baba angu hadi ananishangaa mana nishachezea suspension za kutosha, nishapeleka wazazi fake km wote skonga. Nisiongee sana watanijua bure
 
Back
Top Bottom