Ndugu Mtanzania unalijua kundi lako la damu?

lakini yakija kukupata maradhi yanakupata kweli kweli
Mara nyingi sababu kinga inakuwa imechoka kwa kuifuja.

Hata hivyo mama yangu ana 60 na hajawahi kulazwa vile vile… Mwenyezi Mungu aendelee kumpa uzima.

Nitakie heri!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…