Mamlukii
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 1,063
- 2,387
lakini yakija kukupata maradhi yanakupata kweli kweliO+ na miaka yangu hii sijawahi umwa chochote nikalazwa hospital.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lakini yakija kukupata maradhi yanakupata kweli kweliO+ na miaka yangu hii sijawahi umwa chochote nikalazwa hospital.
Mara nyingi sababu kinga inakuwa imechoka kwa kuifuja.lakini yakija kukupata maradhi yanakupata kweli kweli
njoo kwangu 0+Mie group O sio plus au hasi
Nakutakia heriMara nyingi sababu kinga inakuwa imechoka kwa kuifuja.
Hata hivyo mama yangu ana 60 na hajawahi kulazwa vile vile… Mwenyezi Mungu aendelee kumpa uzima.
Nitakie heri!
Inshallah!Nakutakia heri
Nitamalizana nae don't worry[emoji28][emoji28][emoji28]
Niko Uzi wa Israel na Palestine kule ndo maana hujaniona sn ...
Ngoja kantry aje ,asiniuzie kesi mie Countrywide come zis way[emoji1787]
Nasubiri hizo pesa, hizo ahadi za uongo sitaki we mjanja mjanja sana 😂😂😂Nitamalizana nae don't worry
Hawezi kumpa damu mtu wa group O-Km Mimi
We unaweza mpa damu mtu yyt
Lkn huwezi pokea Kwa yyt mpk awe na group km lako
Ndio ndio limeisha hilo, consider it done[emoji23]Nasubiri hizo pesa, hizo ahadi za uongo sitaki we mjanja mjanja sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio ndio limeisha hilo, consider it done[emoji23]
PoleO+ but nina ugonjwa wa ngoz 7yrs now[emoji174]