Ndugu Nape pokea mchanganuo wangu wa dola 9 billioni alizokula Magufuli

Ndugu Nape pokea mchanganuo wangu wa dola 9 billioni alizokula Magufuli

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2021
Posts
1,117
Reaction score
3,153
NDUGU NAPE POKEA MCHANGANUO WANGU WA DOLA 9 BILLIONI ALIZOKULA JPM.

Kwa hesabu zangu za darasa la saba B,Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere,JPM aliweka mzigo wa Usd $5 Billion,SGR Dar-Morogoro-Makutupora Dodoma JPM aliweka mzigo wa Usd $3 Billioni,SGR toka Mwanza-Isaka JPM aliweka mzigo wa Usd $ 500 Million,Ukarabati Bandari ya Dar na Mtwara Usd $400 Million

Kwa mahesabu yangu napata Usd $ 9 Billion ukizidisha kwa rate ya dola 2300 unapata,Kuna wenzangu na Mimi la sita b wanasema JPM alikopa Trillioni 78 Sasa kama kakopa Trillion 78 na deni letu ni Trillion 64 toka tupate Uhuru😀😀 nashindwa kumuelewa huyu la sita b,

Nape kasema JPM kakopa Usd $ 9 Billion,hii ya Nape nimempa mchanganuo hapo juu kwa hesabu zangu za darasa la saba b,hapo sikuweza Mafly Over ya Ubungo,Tazara,sijaweka Madaraja ya Baharini na Ziwa Victoria,hapo sijaweka Matrillioni ya Ndege Maboeing,Maairbus,sijaweka Maujenzi ya Mameli makubwa Ziwa Victoria,Ziwa Tanganyika,Ziwa Nyasa,Hapo sijaweka mabarabara ya Kibaha hadi Dar,Mamiradi mikubwa ya Maji ya Dar, Morogoro,Dodoma,Kigoma,Tabora na Shinyanga,Maelimu bure,Mahospitali na Mazahanati 500,Mabomba ya Mafuta ya Mahoima uko,

Nimalizie kwa kusema,Rais Magufuli is litmus Test,A measuring stick,kipimo cha Watanzania kwa kiongozi wanayemtaka,Wewe unayemtukana Rais Magufuli, Watanzania watakupima watakuweka kwenye kundi lako, Ahsante sana Wanyonge wenzangu.
 

David versus Goliath: Tanzania’s Efforts to Stand Up to Foreign Gas Corporations​



Andrzej Polus, Wojciech Tycholiz


This article presents and analyses how Tanzania, a country on the global “periphery” with a natural resource sector dominated by capital from the Global North, has thus far failed to transform its mineral wealth into sustained economic development. Using Immanuel Wallerstein’s “world systems theory” as the theoretical framework, we exemplify how the “core” exploited gold reserves in the 1990s and into the new century – and what techniques and mechanisms (e.g. asymmetry of information, imposition of inadequate management structures) it now currently uses to develop the nascent gas sector to its advantage. Scrutinising actions undertaken by the Tanzanian president to concentrate power, root out corruption, and to stand up to profit-maximising foreign corporations – or what we call the “Magufuli effect” – as way of illustration, we also demonstrate how Tanzania is trying to change its role within the international division of labour and how the core attempts to maintain the status quo meanwhile.

===
Akipata muda apitie na reviewed article hii. Ana shahada mbili hivyo hatapata taabu kuisoma.
 
NDUGU NAPE POKEA MCHANGANUO WANGU WA DOLA 9 BILLIONI ALIZOKULA JPM.

Kwa hesabu zangu za darasa la saba B,Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere,JPM aliweka mzigo wa Usd $5 Billion,SGR Dar-Morogoro-Makutupora Dodoma JPM aliweka mzigo wa Usd $3 Billioni,SGR toka Mwanza-Isaka JPM aliweka mzigo wa Usd $ 500 Million,Ukarabati Bandari ya Dar na Mtwara Usd $400 Million,Kwa mahesabu yangu napata Usd $ 9 Billion ukizidisha kwa rate ya dola 2300 unapata,Kuna wenzangu na Mimi la sita b
Si uache CAG afanye kazi yake?

Hakuna usukuma kwa sasa, nchi iko mokono salama syo ile ya fisadi wa kisukuma
 
Ukishakuwa sisiyemu na akili zinaruka na yale mapato ya ndani yalikuwa yanafanya nn
 
CAG Kicheere ametuahidi ataupiga mwingi hadi watu washangae kwenye hizi Trilioni 9 za mabeberu.

Mchana unawatukana usiku unaenda kukopa kwao.
Mchana unawatukana kumbe ni wao waliookoa maisha yako kwa kufunga betri hapo kifuani.

Njia ya muongo ni fupi.
 
NDUGU NAPE POKEA MCHANGANUO WANGU WA DOLA 9 BILLIONI ALIZOKULA JPM.

Kwa hesabu zangu za darasa la saba B,Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere,JPM aliweka mzigo wa Usd $5 Billion,SGR Dar-Morogoro-Makutupora Dodoma JPM aliweka mzigo wa Usd $3 Billioni,SGR toka Mwanza-Isaka JPM aliweka mzigo wa Usd $ 500 Million,Ukarabati Bandari ya Dar
Mbona yeye alituaminisha ni fedha zetu za ndani sasa imekuwaje tena fedha za mabeberu zitujengee vitu vyetu aakati Tanzania ni tajiri?

Halafu hoja sio mchanganuo wa mkopo bali uchunguzi ufanyike kubaini kipi kilikuwa kinafichwa hadi mikopo inakopwa gizani?Isije kuwa tumepigwa.
 
NDUGU NAPE POKEA MCHANGANUO WANGU WA DOLA 9 BILLIONI ALIZOKULA JPM.

Kwa hesabu zangu za darasa la saba B,Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere,JPM aliweka mzigo wa Usd $5 Billion,SGR Dar-Morogoro-Makutupora Dodoma JPM aliweka mzigo wa Usd $3 Billioni,SGR toka Mwanza-Isaka JPM aliweka mzigo wa Usd $ 500 Million,Ukarabati Bandari ya Dar na Mtwara Usd $400 Million,Kwa mahesabu yangu napata Usd $ 9 Billion ukizidisha kwa rate ya dola 2300 unapata,Kuna wenzangu na Mimi la sita b wanasema JPM alikopa Trillioni 78 Sasa kama kakopa Trillion 78 na deni letu ni Trillion 64 toka tupate Uhuru😀😀 nashindwa kumuelewa huyu la sita b,

Nape kasema JPM kakopa Usd $ 9 Billion,hii ya Nape nimempa mchanganuo hapo juu kwa hesabu zangu za darasa la saba b,hapo sikuweza Mafly Over ya Ubungo,Tazara,sijaweka Madaraja ya Baharini na Ziwa Victoria,hapo sijaweka Matrillioni ya Ndege Maboeing,Maairbus,sijaweka Maujenzi ya Mameli makubwa Ziwa Victoria,Ziwa Tanganyika,Ziwa Nyasa,Hapo sijaweka mabarabara ya Kibaha hadi Dar,Mamiradi mikubwa ya Maji ya Dar, Morogoro,Dodoma,Kigoma,Tabora na Shinyanga,Maelimu bure,Mahospitali na Mazahanati 500,Mabomba ya Mafuta ya Mahoima uko,

Nimalizie kwa kusema,Rais Magufuli is litmus Test,A measuring stick,kipimo cha Watanzania kwa kiongozi wanayemtaka,Wewe unayemtukana Rais Magufuli, Watanzania watakupima watakuweka kwenye kundi lako, Ahsante sana Wanyonge wenzangu.
Daraja la baharini ni msaada wa serikali ya Korea kusini
 
Pesa alizokopa JPM IMF. Ni pesa elimu, ambazo zitajenga shule za wasichana kila mkoa form five na six. Ambazo azijatumika. Kama azipo. Basi ni mama wa kumuliza
 
Mkopo si pesa yako. Tutalipa. Ndio maana ya kusema pesa yetu.
Mimi mshahara wangu ni milioni 10 kwa mwezi, ile inayoingia kwenye akaunti. Kwa bahati mbaya sina sifa za kuiba kupata milioni 500 ninayoitaka kwa pamoja au kutunza mpaka ifikie kiwango hiko ni mtihani ila inazo sifa za kupata pesa hiyo kwa pamoja kupitia mikopo ya taasisi za kifedha. Naingia kukopa milioni 500 ambayo nailipa kila mwezi.

Ile milioni 500 ni ya nani? Taasisi au ya kwangu? Natumia fedha za mshahara(pesa za ndani, za kwetu) kulipa ua natumia pesa za kuomba kulipa?

Je,haina maana ya kusema kuwa naweka pesa kidogo kidogo mpaka ifikie ninayotaka ndo nifanyie jambo langu?

Watanzania wengi ni wapigaji.
 
Back
Top Bottom