Ndugu Nape pokea mchanganuo wangu wa dola 9 billioni alizokula Magufuli

Ndugu Nape pokea mchanganuo wangu wa dola 9 billioni alizokula Magufuli

Hawa watu wanaomtukana Magufuli kwamba mwizi ama ni wapumbavu, na kama sio basi ni wachawi ama vyote.
Hata shetani hawezi kuwa ruthless kama wao.

WAnajua kabisa magufuli alijenga miundo mbinni mingapi, lakini hawaoni wanachojua wao ni matusi tu!. Chaki gani hizo zaidi ya shetani? Enyi manyang'au, hata lini mtajipalia laana vichwani mwenu?

Kwa nini hakuna hata mtu anayeongelea wizi wa mabilioni ulifanywa na wafanya kazi wa hazina/wizara ya fedha kuanzia mwezi wa tatu hadi wa tano baada ya kufa Magufuli?

Kwa nini hakuna hata mtu, kuanzia waziri mkuu mwenyewe, waziri wa fedha, ama mtu yeyote anayezungumzia wizi huo? Kukaa kimya kila mtu ni dalili ya kuogopana? Ubia? au conspiracy ya kuchafua Magufuli?

Wizara ya fedha majizi, halafu tunaambiwa serikali haina fedha tunatozwa hadi kodi kwenye matumizi. Unprecedented taxation model!. Halfu mijitu imekaa kumtukana Magufuli!

Mjue Mungu yupo na atawahukumu wote hata kama mnajifanya wajanja kati ya wajinga.

Ni hawa hawa wezi wanaogawana fedha za kodi za walala hoi kwa upumbavu kama alivyouibua waziri mkuu. Mijitu hiyo hiyo inajibainisha kubana matumizi eti kulinda fedha wa wananchi na upuuzi mwingine mwingi tu. Fisi alinde bucha?

Hawako kwa maslahi ya taifa. Wangelikuwa wanataffuta maslahi ya taifa, wangeona aibu kutelekeza miradi ya serikali yenye maslahi mapana ya wanyonge. Wamewaacha solemba waTanzania wanyonge, wanamfukua Magufuli. Hawajil utawala bora wala sheria. Lakini watu hawaoni , wanabakia kutukana Magufuli. Mungu anaishi milele



NDUGU NAPE POKEA MCHANGANUO WANGU WA DOLA 9 BILLIONI ALIZOKULA JPM.

Kwa hesabu zangu za darasa la saba B,Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere,JPM aliweka mzigo wa Usd $5 Billion,SGR Dar-Morogoro-Makutupora Dodoma JPM aliweka mzigo wa Usd $3 Billioni,SGR toka Mwanza-Isaka JPM aliweka mzigo wa Usd $ 500 Million,Ukarabati Bandari ya Dar na Mtwara Usd $400 Million,Kwa mahesabu yangu napata Usd $ 9 Billion ukizidisha kwa rate ya dola 2300 unapata,Kuna wenzangu na Mimi la sita b wanasema JPM alikopa Trillioni 78 Sasa kama kakopa Trillion 78 na deni letu ni Trillion 64 toka tupate Uhuru😀😀 nashindwa kumuelewa huyu la sita b,

Nape kasema JPM kakopa Usd $ 9 Billion,hii ya Nape nimempa mchanganuo hapo juu kwa hesabu zangu za darasa la saba b,hapo sikuweza Mafly Over ya Ubungo,Tazara,sijaweka Madaraja ya Baharini na Ziwa Victoria,hapo sijaweka Matrillioni ya Ndege Maboeing,Maairbus,sijaweka Maujenzi ya Mameli makubwa Ziwa Victoria,Ziwa Tanganyika,Ziwa Nyasa,Hapo sijaweka mabarabara ya Kibaha hadi Dar,Mamiradi mikubwa ya Maji ya Dar, Morogoro,Dodoma,Kigoma,Tabora na Shinyanga,Maelimu bure,Mahospitali na Mazahanati 500,Mabomba ya Mafuta ya Mahoima uko,

Nimalizie kwa kusema,Rais Magufuli is litmus Test,A measuring stick,kipimo cha Watanzania kwa kiongozi wanayemtaka,Wewe unayemtukana Rais Magufuli, Watanzania watakupima watakuweka kwenye kundi lako, Ahsante sana Wanyonge wenzangu.
 
Mbona yeye alituaminisha ni fedha zetu za ndani sasa imekuwaje tena fedha za mabeberu zitujengee vitu vyetu aakati Tanzania ni tajiri?

Halafu hoja sio mchanganuo wa mkopo bali uchunguzi ufanyike kubaini kipi kilikuwa kinafichwa hadi mikopo inakopwa gizani?Isije kuwa tumepigwa.
Hawa wanaokuaminisha kwamba Magufli alikuwa mbaya, ndio hawa hawa waliomwabudu hata kumfitinisha na Mungu. Hawa hawa ndio wwaliokuletea wakikuambia huyu ni jembe anafaa kuwa raisi. Hawa hawa ndiyo waliokuwa wanasema Raisi wetu tumepata tena tumwongezee muda.

Unaweza kuniambia lipi katika haya nisa sahi? La leo ama la jana? Kwa kigezo gani?
Kama ninelikuwa niko kichwan kwako nimeliamini waliyoyasema wakati yuko hai. Yanayobadilika baada ya hapo ni umbea na uzandiki. Kwa nini miradi sasa haiendelei?
CCM ni janga la taifa.
 
Wasiona alichokifanya JPM kwenye nchi hii ni kipofu nayefanana na Nape aliyekwenda Ikulu akilia akiwa anatembea kwa miguu
 
NDUGU NAPE POKEA MCHANGANUO WANGU WA DOLA 9 BILLIONI ALIZOKULA JPM.

Kwa hesabu zangu za darasa la saba B,Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere,JPM aliweka mzigo wa Usd $5 Billion,SGR Dar-Morogoro-Makutupora Dodoma JPM aliweka mzigo wa Usd $3 Billioni,SGR toka Mwanza-Isaka JPM aliweka mzigo wa Usd $ 500 Million,Ukarabati Bandari ya Dar na Mtwara Usd $400 Million,Kwa mahesabu yangu napata Usd $ 9 Billion ukizidisha kwa rate ya dola 2300 unapata,Kuna wenzangu na Mimi la sita b wanasema JPM alikopa Trillioni 78 Sasa kama kakopa Trillion 78 na deni letu ni Trillion 64 toka tupate Uhuru😀😀 nashindwa kumuelewa huyu la sita b,

Nape kasema JPM kakopa Usd $ 9 Billion,hii ya Nape nimempa mchanganuo hapo juu kwa hesabu zangu za darasa la saba b,hapo sikuweza Mafly Over ya Ubungo,Tazara,sijaweka Madaraja ya Baharini na Ziwa Victoria,hapo sijaweka Matrillioni ya Ndege Maboeing,Maairbus,sijaweka Maujenzi ya Mameli makubwa Ziwa Victoria,Ziwa Tanganyika,Ziwa Nyasa,Hapo sijaweka mabarabara ya Kibaha hadi Dar,Mamiradi mikubwa ya Maji ya Dar, Morogoro,Dodoma,Kigoma,Tabora na Shinyanga,Maelimu bure,Mahospitali na Mazahanati 500,Mabomba ya Mafuta ya Mahoima uko,

Nimalizie kwa kusema,Rais Magufuli is litmus Test,A measuring stick,kipimo cha Watanzania kwa kiongozi wanayemtaka,Wewe unayemtukana Rais Magufuli, Watanzania watakupima watakuweka kwenye kundi lako, Ahsante sana Wanyonge wenzangu.
Mchanganuo wa bilioni 9 unauweka kwenye paragraph 3 sio??? Nyie ndio mnazidi kufanya tunapata hasira ya kuchunguza ufisadi zaidi .
 
NDUGU NAPE POKEA MCHANGANUO WANGU WA DOLA 9 BILLIONI ALIZOKULA JPM.

Kwa hesabu zangu za darasa la saba B,Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere,JPM aliweka mzigo wa Usd $5 Billion,SGR Dar-Morogoro-Makutupora Dodoma JPM aliweka mzigo wa Usd $3 Billioni,SGR toka Mwanza-Isaka JPM aliweka mzigo wa Usd $ 500 Million,Ukarabati Bandari ya Dar na Mtwara Usd $400 Million,Kwa mahesabu yangu napata Usd $ 9 Billion ukizidisha kwa rate ya dola 2300 unapata,Kuna wenzangu na Mimi la sita b wanasema JPM alikopa Trillioni 78 Sasa kama kakopa Trillion 78 na deni letu ni Trillion 64 toka tupate Uhuru😀😀 nashindwa kumuelewa huyu la sita b,

Nape kasema JPM kakopa Usd $ 9 Billion,hii ya Nape nimempa mchanganuo hapo juu kwa hesabu zangu za darasa la saba b,hapo sikuweza Mafly Over ya Ubungo,Tazara,sijaweka Madaraja ya Baharini na Ziwa Victoria,hapo sijaweka Matrillioni ya Ndege Maboeing,Maairbus,sijaweka Maujenzi ya Mameli makubwa Ziwa Victoria,Ziwa Tanganyika,Ziwa Nyasa,Hapo sijaweka mabarabara ya Kibaha hadi Dar,Mamiradi mikubwa ya Maji ya Dar, Morogoro,Dodoma,Kigoma,Tabora na Shinyanga,Maelimu bure,Mahospitali na Mazahanati 500,Mabomba ya Mafuta ya Mahoima uko,

Nimalizie kwa kusema,Rais Magufuli is litmus Test,A measuring stick,kipimo cha Watanzania kwa kiongozi wanayemtaka,Wewe unayemtukana Rais Magufuli, Watanzania watakupima watakuweka kwenye kundi lako, Ahsante sana Wanyonge wenzangu.
Hiyo miradi unayoitaja hsijakamilika na pia hsijalipiwa 100 %. Mahesabu yako yangekuwa na mashiko kama ingekuwa imelipiwa upfront.
 
NDUGU NAPE POKEA MCHANGANUO WANGU WA DOLA 9 BILLIONI ALIZOKULA JPM.

Kwa hesabu zangu za darasa la saba B,Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere,JPM aliweka mzigo wa Usd $5 Billion,SGR Dar-Morogoro-Makutupora Dodoma JPM aliweka mzigo wa Usd $3 Billioni,SGR toka Mwanza-Isaka JPM aliweka mzigo wa Usd $ 500 Million,Ukarabati Bandari ya Dar na Mtwara Usd $400 Million,Kwa mahesabu yangu napata Usd $ 9 Billion ukizidisha kwa rate ya dola 2300 unapata,Kuna wenzangu na Mimi la sita b wanasema JPM alikopa Trillioni 78 Sasa kama kakopa Trillion 78 na deni letu ni Trillion 64 toka tupate Uhuru😀😀 nashindwa kumuelewa huyu la sita b,

Nape kasema JPM kakopa Usd $ 9 Billion,hii ya Nape nimempa mchanganuo hapo juu kwa hesabu zangu za darasa la saba b,hapo sikuweza Mafly Over ya Ubungo,Tazara,sijaweka Madaraja ya Baharini na Ziwa Victoria,hapo sijaweka Matrillioni ya Ndege Maboeing,Maairbus,sijaweka Maujenzi ya Mameli makubwa Ziwa Victoria,Ziwa Tanganyika,Ziwa Nyasa,Hapo sijaweka mabarabara ya Kibaha hadi Dar,Mamiradi mikubwa ya Maji ya Dar, Morogoro,Dodoma,Kigoma,Tabora na Shinyanga,Maelimu bure,Mahospitali na Mazahanati 500,Mabomba ya Mafuta ya Mahoima uko,

Nimalizie kwa kusema,Rais Magufuli is litmus Test,A measuring stick,kipimo cha Watanzania kwa kiongozi wanayemtaka,Wewe unayemtukana Rais Magufuli, Watanzania watakupima watakuweka kwenye kundi lako, Ahsante sana Wanyonge wenzangu.
Na ile miradi aliyojenga kwa pesa za ndani ni tofauti na hii au ni hii?? 🤣🤣🤣🤣
 
Mimi mshahara wangu ni milioni 10 kwa mwezi, ile inayoingia kwenye akaunti. Kwa bahati mbaya sina sifa za kuiba kupata milioni 500 ninayoitaka kwa pamoja au kutunza mpaka ifikie kiwango hiko ni mtihani ila inazo sifa za kupata pesa hiyo kwa pamoja kupitia mikopo ya taasisi za kifedha. Naingia kukopa milioni 500 ambayo nailipa kila mwezi.

Ile milioni 500 ni ya nani? Taasisi au ya kwangu? Natumia fedha za mshahara(pesa za ndani, za kwetu) kulipa ua natumia pesa za kuomba kulipa?

Je,haina maana ya kusema kuwa naweka pesa kidogo kidogo mpaka ifikie ninayotaka ndo nifanyie jambo langu?

Watanzania wengi ni wapigaji.
Akili za wasukuma fupi sana,yaani hapo mwenyewe umejenga hoja kubwa sana


Sasa pesa yako unaikopaje,unailipiaje riba,inataifishaje mali zako unaposhindwa kuilipa?

UNA FUNZA KICHWANI
 
Akili za wasukuma fupi sana,yaani hapo mwenyewe umejenga hoja kubwa sana


Sasa pesa yako unaikopaje,unailipiaje riba,inataifishaje mali zako unaposhindwa kuilipa?

UNA FUNZA KICHWANI
Wewe ndiyo una akili fupi kama mke wa amsterdam
 
Unavyojenga nyumba yako kwa hela ya uliyotoa benki.
Hapo unakuwa umetumia hela yako au ya benki?
Usipindishe maneno mkuu ,jiwe alisema wanajenga kwa fedha zao wenyewe! Hakusema kama alichukua mkopo kwenye banks za ndani...Kwa jinsi alivyokuwa anasema inamaana fedha zilitokana na kodi/tozo/dividends etc
 
NDUGU NAPE POKEA MCHANGANUO WANGU WA DOLA 9 BILLIONI ALIZOKULA JPM.

Kwa hesabu zangu za darasa la saba B,Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere,JPM aliweka mzigo wa Usd $5 Billion,SGR Dar-Morogoro-Makutupora Dodoma JPM aliweka mzigo wa Usd $3 Billioni,SGR toka Mwanza-Isaka JPM aliweka mzigo wa Usd $ 500 Million,Ukarabati Bandari ya Dar na Mtwara Usd $400 Million

Kwa mahesabu yangu napata Usd $ 9 Billion ukizidisha kwa rate ya dola 2300 unapata,Kuna wenzangu na Mimi la sita b wanasema JPM alikopa Trillioni 78 Sasa kama kakopa Trillion 78 na deni letu ni Trillion 64 toka tupate Uhuru😀😀 nashindwa kumuelewa huyu la sita b,

Nape kasema JPM kakopa Usd $ 9 Billion,hii ya Nape nimempa mchanganuo hapo juu kwa hesabu zangu za darasa la saba b,hapo sikuweza Mafly Over ya Ubungo,Tazara,sijaweka Madaraja ya Baharini na Ziwa Victoria,hapo sijaweka Matrillioni ya Ndege Maboeing,Maairbus,sijaweka Maujenzi ya Mameli makubwa Ziwa Victoria,Ziwa Tanganyika,Ziwa Nyasa,Hapo sijaweka mabarabara ya Kibaha hadi Dar,Mamiradi mikubwa ya Maji ya Dar, Morogoro,Dodoma,Kigoma,Tabora na Shinyanga,Maelimu bure,Mahospitali na Mazahanati 500,Mabomba ya Mafuta ya Mahoima uko,

Nimalizie kwa kusema,Rais Magufuli is litmus Test,A measuring stick,kipimo cha Watanzania kwa kiongozi wanayemtaka,Wewe unayemtukana Rais Magufuli, Watanzania watakupima watakuweka kwenye kundi lako, Ahsante sana Wanyonge wenzangu.
Umesahau za kununua binadamu, a.k.a. wapinzani
 
Back
Top Bottom