Ndugu Nape pokea mchanganuo wangu wa dola 9 billioni alizokula Magufuli

Ndugu Nape pokea mchanganuo wangu wa dola 9 billioni alizokula Magufuli

NDUGU NAPE POKEA MCHANGANUO WANGU WA DOLA 9 BILLIONI ALIZOKULA JPM.

Kwa hesabu zangu za darasa la saba B,Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere,JPM aliweka mzigo wa Usd $5 Billion,SGR Dar-Morogoro-Makutupora Dodoma JPM aliweka mzigo wa Usd $3 Billioni,SGR toka Mwanza-Isaka JPM aliweka mzigo wa Usd $ 500 Million,Ukarabati Bandari ya Dar na Mtwara Usd $400 Million

Kwa mahesabu yangu napata Usd $ 9 Billion ukizidisha kwa rate ya dola 2300 unapata,Kuna wenzangu na Mimi la sita b wanasema JPM alikopa Trillioni 78 Sasa kama kakopa Trillion 78 na deni letu ni Trillion 64 toka tupate Uhuru😀😀 nashindwa kumuelewa huyu la sita b,

Nape kasema JPM kakopa Usd $ 9 Billion,hii ya Nape nimempa mchanganuo hapo juu kwa hesabu zangu za darasa la saba b,hapo sikuweza Mafly Over ya Ubungo,Tazara,sijaweka Madaraja ya Baharini na Ziwa Victoria,hapo sijaweka Matrillioni ya Ndege Maboeing,Maairbus,sijaweka Maujenzi ya Mameli makubwa Ziwa Victoria,Ziwa Tanganyika,Ziwa Nyasa,Hapo sijaweka mabarabara ya Kibaha hadi Dar,Mamiradi mikubwa ya Maji ya Dar, Morogoro,Dodoma,Kigoma,Tabora na Shinyanga,Maelimu bure,Mahospitali na Mazahanati 500,Mabomba ya Mafuta ya Mahoima uko,

Nimalizie kwa kusema,Rais Magufuli is litmus Test,A measuring stick,kipimo cha Watanzania kwa kiongozi wanayemtaka,Wewe unayemtukana Rais Magufuli, Watanzania watakupima watakuweka kwenye kundi lako, Ahsante sana Wanyonge wenzangu.
Hovyoooo. Kamfufue uzikwe wewe
 
NDUGU NAPE POKEA MCHANGANUO WANGU WA DOLA 9 BILLIONI ALIZOKULA JPM.

Kwa hesabu zangu za darasa la saba B,Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere,JPM aliweka mzigo wa Usd $5 Billion,SGR Dar-Morogoro-Makutupora Dodoma JPM aliweka mzigo wa Usd $3 Billioni,SGR toka Mwanza-Isaka JPM aliweka mzigo wa Usd $ 500 Million,Ukarabati Bandari ya Dar na Mtwara Usd $400 Million

Kwa mahesabu yangu napata Usd $ 9 Billion ukizidisha kwa rate ya dola 2300 unapata,Kuna wenzangu na Mimi la sita b wanasema JPM alikopa Trillioni 78 Sasa kama kakopa Trillion 78 na deni letu ni Trillion 64 toka tupate Uhuru😀😀 nashindwa kumuelewa huyu la sita b,

Nape kasema JPM kakopa Usd $ 9 Billion,hii ya Nape nimempa mchanganuo hapo juu kwa hesabu zangu za darasa la saba b,hapo sikuweza Mafly Over ya Ubungo,Tazara,sijaweka Madaraja ya Baharini na Ziwa Victoria,hapo sijaweka Matrillioni ya Ndege Maboeing,Maairbus,sijaweka Maujenzi ya Mameli makubwa Ziwa Victoria,Ziwa Tanganyika,Ziwa Nyasa,Hapo sijaweka mabarabara ya Kibaha hadi Dar,Mamiradi mikubwa ya Maji ya Dar, Morogoro,Dodoma,Kigoma,Tabora na Shinyanga,Maelimu bure,Mahospitali na Mazahanati 500,Mabomba ya Mafuta ya Mahoima uko,

Nimalizie kwa kusema,Rais Magufuli is litmus Test,A measuring stick,kipimo cha Watanzania kwa kiongozi wanayemtaka,Wewe unayemtukana Rais Magufuli, Watanzania watakupima watakuweka kwenye kundi lako, Ahsante sana Wanyonge wenzangu.

Ulivyotaja Bomba la mafuta nikajua wewe ni mashabiki tu wala huji lolote
 
Nimalizie kwa kusema,Rais Magufuli is litmus Test,A measuring stick,kipimo cha Watanzania kwa kiongozi wanayemtaka,Wewe unayemtukana Rais Magufuli, Watanzania watakupima watakuweka kwenye kundi lako, Ahsante sana Wanyonge wenzangu.
Hapo uliposema kiongozi waTanzania wanaemtaka ndipo umekosea. Jisemee wewe

Wengine kuna ishu nyingine nyingi tunataka majibu yake:
1. Been Saanane yuko wapi? Tungependa apatikane ahojiwe kuhusu aliyosema juu ya PhD ya Magufuli, na sio apotezwe.
2. Tungependa kujua kwanini cag Prof Assad alisitishwa kazi kabla muda wake haujaisha. Na je I'll 1.5T aliyosema haionekani (= imeibiwa) ilienda wapi?
3. Tungependa kujua kina nani walimpiga risasi Tundu Lissu. Uchunguzi uliofanyika kubaini waliefanya huo uhalifu? CCTV camera zilizokuwa kwenye makazi ya Lissu na viongozi wengine nani vamezificha?
4. Tungependa kujua David Mwangosi yuko wapi?
5. Tungependa kujua mwaka 2019 Tanzania kulikua na covid19 au ugonjwa haukuwepo? Je ni kweli sample za mapapai, oil chafu etc zilipatikana na covid19?
6. Tungependa kujua kwanini audit ya miradi/mashirika eg atcl haikufanyika? Je taratibu za manunuzi ya umma zilifuatwa?
7. Etc etc.
In short my friend, Magufuli was a bad leader. A dictator. A sadist. One man army.
Remember as a nation we have been building development projects every time since independence.
Kuna baadhi ya wakatoliki walianzisha eti mchakato Magufuli awe mtakatifu. This is ridiculous.
 
NDUGU NAPE POKEA MCHANGANUO WANGU WA DOLA 9 BILLIONI ALIZOKULA JPM.

Kwa hesabu zangu za darasa la saba B,Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere,JPM aliweka mzigo wa Usd $5 Billion,SGR Dar-Morogoro-Makutupora Dodoma JPM aliweka mzigo wa Usd $3 Billioni,SGR toka Mwanza-Isaka JPM aliweka mzigo wa Usd $ 500 Million,Ukarabati Bandari ya Dar na Mtwara Usd $400 Million

Kwa mahesabu yangu napata Usd $ 9 Billion ukizidisha kwa rate ya dola 2300 unapata,Kuna wenzangu na Mimi la sita b wanasema JPM alikopa Trillioni 78 Sasa kama kakopa Trillion 78 na deni letu ni Trillion 64 toka tupate Uhuru😀😀 nashindwa kumuelewa huyu la sita b,

Nape kasema JPM kakopa Usd $ 9 Billion,hii ya Nape nimempa mchanganuo hapo juu kwa hesabu zangu za darasa la saba b,hapo sikuweza Mafly Over ya Ubungo,Tazara,sijaweka Madaraja ya Baharini na Ziwa Victoria,hapo sijaweka Matrillioni ya Ndege Maboeing,Maairbus,sijaweka Maujenzi ya Mameli makubwa Ziwa Victoria,Ziwa Tanganyika,Ziwa Nyasa,Hapo sijaweka mabarabara ya Kibaha hadi Dar,Mamiradi mikubwa ya Maji ya Dar, Morogoro,Dodoma,Kigoma,Tabora na Shinyanga,Maelimu bure,Mahospitali na Mazahanati 500,Mabomba ya Mafuta ya Mahoima uko,

Nimalizie kwa kusema,Rais Magufuli is litmus Test,A measuring stick,kipimo cha Watanzania kwa kiongozi wanayemtaka,Wewe unayemtukana Rais Magufuli, Watanzania watakupima watakuweka kwenye kundi lako, Ahsante sana Wanyonge wenzangu.
UASIANGAE NA WACHAWI, MCHAWI ASIPOKULOGA NA NDUMBA ATAKULOGA KWA MANENO.
 
Magufuli is my hero! Nani anaweza kupunguza mshahara wake, ukikopa ukafanya maendeleo kuna ubaya gani? Huyu bwana aache maneno mingi, mbona alikuwa kimya sanaa imekuwaje tena!
 
NDUGU NAPE POKEA MCHANGANUO WANGU WA DOLA 9 BILLIONI ALIZOKULA JPM.

Kwa hesabu zangu za darasa la saba B,Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere,JPM aliweka mzigo wa Usd $5 Billion,SGR Dar-Morogoro-Makutupora Dodoma JPM aliweka mzigo wa Usd $3 Billioni,SGR toka Mwanza-Isaka JPM aliweka mzigo wa Usd $ 500 Million,Ukarabati Bandari ya Dar na Mtwara Usd $400 Million

Kwa mahesabu yangu napata Usd $ 9 Billion ukizidisha kwa rate ya dola 2300 unapata,Kuna wenzangu na Mimi la sita b wanasema JPM alikopa Trillioni 78 Sasa kama kakopa Trillion 78 na deni letu ni Trillion 64 toka tupate Uhuru😀😀 nashindwa kumuelewa huyu la sita b,

Nape kasema JPM kakopa Usd $ 9 Billion,hii ya Nape nimempa mchanganuo hapo juu kwa hesabu zangu za darasa la saba b,hapo sikuweza Mafly Over ya Ubungo,Tazara,sijaweka Madaraja ya Baharini na Ziwa Victoria,hapo sijaweka Matrillioni ya Ndege Maboeing,Maairbus,sijaweka Maujenzi ya Mameli makubwa Ziwa Victoria,Ziwa Tanganyika,Ziwa Nyasa,Hapo sijaweka mabarabara ya Kibaha hadi Dar,Mamiradi mikubwa ya Maji ya Dar, Morogoro,Dodoma,Kigoma,Tabora na Shinyanga,Maelimu bure,Mahospitali na Mazahanati 500,Mabomba ya Mafuta ya Mahoima uko,

Nimalizie kwa kusema,Rais Magufuli is litmus Test,A measuring stick,kipimo cha Watanzania kwa kiongozi wanayemtaka,Wewe unayemtukana Rais Magufuli, Watanzania watakupima watakuweka kwenye kundi lako, Ahsante sana Wanyonge wenzangu.
Pamoja na yote mwendazake alitumia pesa vibaya

Ule msafara wake tu unafikili ulikua unatumia sh ngapi?
Pesa alizokua anagawa njiani Kama njugu zilitoka bajeti ?

Vipi zile za kinunua wabunge na madiwani?

Vipi miladi mingine ,mfano uwanja wa chato,
 
Sawa ! Umechanganua Ila mwamba alituambia kuwa "TUNAJENGA KWA FEDHA ZA NDANI AMBAZO NI ZA KWETU"......Huo mkopo hakuwahi kutuambia. Wewe na NAPE MHOJIWE.
 
Hapo uliposema kiongozi waTanzania wanaemtaka ndipo umekosea. Jisemee wewe

Wengine kuna ishu nyingine nyingi tunataka majibu yake:
1. Been Saanane yuko wapi? Tungependa apatikane ahojiwe kuhusu aliyosema juu ya PhD ya Magufuli, na sio apotezwe.
2. Tungependa kujua kwanini cag Prof Assad alisitishwa kazi kabla muda wake haujaisha. Na je I'll 1.5T aliyosema haionekani (= imeibiwa) ilienda wapi?
3. Tungependa kujua kina nani walimpiga risasi Tundu Lissu. Uchunguzi uliofanyika kubaini waliefanya huo uhalifu? CCTV camera zilizokuwa kwenye makazi ya Lissu na viongozi wengine nani vamezificha?
4. Tungependa kujua David Mwangosi yuko wapi?
5. Tungependa kujua mwaka 2019 Tanzania kulikua na covid19 au ugonjwa haukuwepo? Je ni kweli sample za mapapai, oil chafu etc zilipatikana na covid19?
6. Tungependa kujua kwanini audit ya miradi/mashirika eg atcl haikufanyika? Je taratibu za manunuzi ya umma zilifuatwa?
7. Etc etc.
In short my friend, Magufuli was a bad leader. A dictator. A sadist. One man army.
Remember as a nation we have been building development projects every time since independence.
Kuna baadhi ya wakatoliki walianzisha eti mchakato Magufuli awe mtakatifu. This is ridiculous.
After all that happened in the fourth regime we needed such a leader!

Nidhamu ilikuwa hafifu katika taasisi, almost kila mtu alikuwa anajiendesha kama serikali sababu tu ana pesa za kuhonga. Kiburi kilikuwa juu sana baina ya raia sababu mahakama ilikuwa kila mtu anaweza kuitia mfukoni tu as long as ana hela za kuwatuliza mahakimu!

Kiongozi wa nchi alikuwa kwenye vacation almost all times of the year yeye ni kusafiri na kula bata tu duniani huko! Akiwa bongo ni kula bata tu viwanja vya mjini na kupiga selfie na walimbwende wa town pamoja na kuwakaza kisawa sawa.

Simlaumu Magufuli sababu upuuzi ulikuwa mwingi sana! Dhihaka zilikuwa nyingi na sio kila binadamu ana uwezo wa kuhimili kejeli na dhihaka. He did what he did sababu ya mazingira ambayo watz walijengewa na Jakaya.

Naamini Magufuli angekuja before Jakaya transition ingekuwa bora zaidi na nchi ingeendeshwa vyema sana sababu kipindi cha mkapa kulikuwa hamna upuuz upuuzi wa kila mtu kujifanya mjuaji! Waliopotezwa wengi waliponzwa na ujuaji ujuaji thus why me na wewe still tupo.
 
Yule mwendazake alivyokuwa anatufokea halafu ukiambiwa wanamzunguka na kuiba, haiingii akilini
 
NDUGU NAPE POKEA MCHANGANUO WANGU WA DOLA 9 BILLIONI ALIZOKULA JPM.

Kwa hesabu zangu za darasa la saba B,Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere,JPM aliweka mzigo wa Usd $5 Billion,SGR Dar-Morogoro-Makutupora Dodoma JPM aliweka mzigo wa Usd $3 Billioni,SGR toka Mwanza-Isaka JPM aliweka mzigo wa Usd $ 500 Million,Ukarabati Bandari ya Dar na Mtwara Usd $400 Million

Kwa mahesabu yangu napata Usd $ 9 Billion ukizidisha kwa rate ya dola 2300 unapata,Kuna wenzangu na Mimi la sita b wanasema JPM alikopa Trillioni 78 Sasa kama kakopa Trillion 78 na deni letu ni Trillion 64 toka tupate Uhuru😀😀 nashindwa kumuelewa huyu la sita b,

Nape kasema JPM kakopa Usd $ 9 Billion,hii ya Nape nimempa mchanganuo hapo juu kwa hesabu zangu za darasa la saba b,hapo sikuweza Mafly Over ya Ubungo,Tazara,sijaweka Madaraja ya Baharini na Ziwa Victoria,hapo sijaweka Matrillioni ya Ndege Maboeing,Maairbus,sijaweka Maujenzi ya Mameli makubwa Ziwa Victoria,Ziwa Tanganyika,Ziwa Nyasa,Hapo sijaweka mabarabara ya Kibaha hadi Dar,Mamiradi mikubwa ya Maji ya Dar, Morogoro,Dodoma,Kigoma,Tabora na Shinyanga,Maelimu bure,Mahospitali na Mazahanati 500,Mabomba ya Mafuta ya Mahoima uko,

Nimalizie kwa kusema,Rais Magufuli is litmus Test,A measuring stick,kipimo cha Watanzania kwa kiongozi wanayemtaka,Wewe unayemtukana Rais Magufuli, Watanzania watakupima watakuweka kwenye kundi lako, Ahsante sana Wanyonge wenzangu.
VERY STD 6 genius
 
CAG Kicheere ametuahidi ataupiga mwingi hadi watu washangae kwenye hizi Trilioni 9 za mabeberu.

Mchana unawatukana usiku unaenda kukopa kwao.
Mchana unawatukana kumbe ni wao waliookoa maisha yako kwa kufunga betri hapo kifuani.

Njia ya muongo ni fupi.
Alikuwa ananishangaza sana,hats utaalam wa kurecharge betri hatuna,wanaojua unawatukana eti vita ya kiuchumi.
Vita ya uhai na kiuchumi ipi kipaumbele.
 
NDUGU NAPE POKEA MCHANGANUO WANGU WA DOLA 9 BILLIONI ALIZOKULA JPM.

Kwa hesabu zangu za darasa la saba B,Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere,JPM aliweka mzigo wa Usd $5 Billion,SGR Dar-Morogoro-Makutupora Dodoma JPM aliweka mzigo wa Usd $3 Billioni,SGR toka Mwanza-Isaka JPM aliweka mzigo wa Usd $ 500 Million,Ukarabati Bandari ya Dar na Mtwara Usd $400 Million

Kwa mahesabu yangu napata Usd $ 9 Billion ukizidisha kwa rate ya dola 2300 unapata,Kuna wenzangu na Mimi la sita b wanasema JPM alikopa Trillioni 78 Sasa kama kakopa Trillion 78 na deni letu ni Trillion 64 toka tupate Uhuru😀😀 nashindwa kumuelewa huyu la sita b,

Nape kasema JPM kakopa Usd $ 9 Billion,hii ya Nape nimempa mchanganuo hapo juu kwa hesabu zangu za darasa la saba b,hapo sikuweza Mafly Over ya Ubungo,Tazara,sijaweka Madaraja ya Baharini na Ziwa Victoria,hapo sijaweka Matrillioni ya Ndege Maboeing,Maairbus,sijaweka Maujenzi ya Mameli makubwa Ziwa Victoria,Ziwa Tanganyika,Ziwa Nyasa,Hapo sijaweka mabarabara ya Kibaha hadi Dar,Mamiradi mikubwa ya Maji ya Dar, Morogoro,Dodoma,Kigoma,Tabora na Shinyanga,Maelimu bure,Mahospitali na Mazahanati 500,Mabomba ya Mafuta ya Mahoima uko,

Nimalizie kwa kusema,Rais Magufuli is litmus Test,A measuring stick,kipimo cha Watanzania kwa kiongozi wanayemtaka,Wewe unayemtukana Rais Magufuli, Watanzania watakupima watakuweka kwenye kundi lako, Ahsante sana Wanyonge wenzangu.
Nina mtoto wa kike sema bado mdogo sana... ungeweza kuwa mkwe wangu... wenye macho lakini hawaoni...
 
Magufuli is my hero! Nani anaweza kupunguza mshahara wake, ukikopa ukafanya maendeleo kuna ubaya gani? Huyu bwana aache maneno mingi, mbona alikuwa kimya sanaa imekuwaje tena!
Alipunguza mshahara wake!!!
Loooh!!!!
Kweli mazuzu yapo mengi sana Tanzania.
 
NDUGU NAPE POKEA MCHANGANUO WANGU WA DOLA 9 BILLIONI ALIZOKULA JPM.

Kwa hesabu zangu za darasa la saba B,Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere,JPM aliweka mzigo wa Usd $5 Billion,SGR Dar-Morogoro-Makutupora Dodoma JPM aliweka mzigo wa Usd $3 Billioni,SGR toka Mwanza-Isaka JPM aliweka mzigo wa Usd $ 500 Million,Ukarabati Bandari ya Dar na Mtwara Usd $400 Million

Kwa mahesabu yangu napata Usd $ 9 Billion ukizidisha kwa rate ya dola 2300 unapata,Kuna wenzangu na Mimi la sita b wanasema JPM alikopa Trillioni 78 Sasa kama kakopa Trillion 78 na deni letu ni Trillion 64 toka tupate Uhuru😀😀 nashindwa kumuelewa huyu la sita b,

Nape kasema JPM kakopa Usd $ 9 Billion,hii ya Nape nimempa mchanganuo hapo juu kwa hesabu zangu za darasa la saba b,hapo sikuweza Mafly Over ya Ubungo,Tazara,sijaweka Madaraja ya Baharini na Ziwa Victoria,hapo sijaweka Matrillioni ya Ndege Maboeing,Maairbus,sijaweka Maujenzi ya Mameli makubwa Ziwa Victoria,Ziwa Tanganyika,Ziwa Nyasa,Hapo sijaweka mabarabara ya Kibaha hadi Dar,Mamiradi mikubwa ya Maji ya Dar, Morogoro,Dodoma,Kigoma,Tabora na Shinyanga,Maelimu bure,Mahospitali na Mazahanati 500,Mabomba ya Mafuta ya Mahoima uko,

Nimalizie kwa kusema,Rais Magufuli is litmus Test,A measuring stick,kipimo cha Watanzania kwa kiongozi wanayemtaka,Wewe unayemtukana Rais Magufuli, Watanzania watakupima watakuweka kwenye kundi lako, Ahsante sana Wanyonge wenzangu.
Unakimbilia wapi??, kwani wewe ndo CAG? Mbona unam-priempty CAG??

Nape kasema anamuomba CAG akague deni la taifa jinsi lilivyokopwa na matumizi yake!
 
NDUGU NAPE POKEA MCHANGANUO WANGU WA DOLA 9 BILLIONI ALIZOKULA JPM.

Kwa hesabu zangu za darasa la saba B,Bwawa la Umeme la Mwalimu Julius Nyerere,JPM aliweka mzigo wa Usd $5 Billion,SGR Dar-Morogoro-Makutupora Dodoma JPM aliweka mzigo wa Usd $3 Billioni,SGR toka Mwanza-Isaka JPM aliweka mzigo wa Usd $ 500 Million,Ukarabati Bandari ya Dar na Mtwara Usd $400 Million

Kwa mahesabu yangu napata Usd $ 9 Billion ukizidisha kwa rate ya dola 2300 unapata,Kuna wenzangu na Mimi la sita b wanasema JPM alikopa Trillioni 78 Sasa kama kakopa Trillion 78 na deni letu ni Trillion 64 toka tupate Uhuru😀😀 nashindwa kumuelewa huyu la sita b,

Nape kasema JPM kakopa Usd $ 9 Billion,hii ya Nape nimempa mchanganuo hapo juu kwa hesabu zangu za darasa la saba b,hapo sikuweza Mafly Over ya Ubungo,Tazara,sijaweka Madaraja ya Baharini na Ziwa Victoria,hapo sijaweka Matrillioni ya Ndege Maboeing,Maairbus,sijaweka Maujenzi ya Mameli makubwa Ziwa Victoria,Ziwa Tanganyika,Ziwa Nyasa,Hapo sijaweka mabarabara ya Kibaha hadi Dar,Mamiradi mikubwa ya Maji ya Dar, Morogoro,Dodoma,Kigoma,Tabora na Shinyanga,Maelimu bure,Mahospitali na Mazahanati 500,Mabomba ya Mafuta ya Mahoima uko,

Nimalizie kwa kusema,Rais Magufuli is litmus Test,A measuring stick,kipimo cha Watanzania kwa kiongozi wanayemtaka,Wewe unayemtukana Rais Magufuli, Watanzania watakupima watakuweka kwenye kundi lako, Ahsante sana Wanyonge wenzangu.
Kumbe ule uchumi wa kati maana yake kila mwananchi hata aliyezaliwa leo anadaiwa TZS 1,066,666.67 (64,000,000,000,000)/60,000,000 kwa mujibu wa darasa la 4C.
 
Back
Top Bottom