Uchaguzi 2020 Ndugu Polepole kitendo cha kusema hadharani kuwa Lissu "Siyo mwenzetu" na umepanga kumuanika siku saba za mwisho ni upuuzi mwingine katika siasa!

"Tunataka tushindane kwa hoja, na si kwa matusi" by JK Nyerere,
Wao wanadhani wanajenga kumbe wanabomoa kwa kuwaudhi wapiga kura
 
Ukweli kwenu ni mambo ya hovyo wezi nyinyi
 
HAHAHA HAYA WAFUASI WA LISSU MNASIMAMA WAPI KUHUSIANA NA USHOGA SISI WAFUSIA WA MAGUFULI TUNAKEMEA USHOGAAAAA NA KUUKATAA WAFUASI WA LISUUUU JE
Siwezi kuwa mfuasi wa marehemu mwenzangu....watu malofa ndio wanakuwa wafuasi wa watu.
Mimi ni Mfuasi wa Yesu Kristo.
 
Wacha aendelee kucheza sebene la lisu mwisho wa siku anaona tarehe hii hapa ya kuapishwa lisu
 
😂😂😂😂
Kama hawajibu hoja kama mnavotaka nyie wasaidieni basi kama mnavyo mfundisha Lissu cha kuongea😂😂😂😂
Nyie si wasomi nguli wa nchi? Wafundisheni majibu CCm
 
Kama kweli ni shoga kwanini asisemwe? Na kama ushoga ni mbaya kwanini aufanye? Atasemwa na hata mimi nilishasema kuhusu hili nikapigwa ban. Lakini ukweli hauwezi kupigwa ban!!!
 
Ni yeye
 
Kama mwanaume ajibu na la wizi wa mahekari huko karagwe
 
Siku zote aliyepapaswa makalio hamsahau aliyetaka kummendea, Polepole amefunguka.
 
Ukifuatilia hotuba za Polepole siku za hivi karibuni nyingi zinalenga kuleta chuki fulani ambayo inaleta taharuki miongoni mwa wanajamii
 
Usihangaike na mtu asiye na msimamo , Polepole si size ya Lissu , huyu ni mchumia tumbo aliyeokotwa barabarani na Kikwete

Hebu mwangalie hapa
View attachment 1582529
Tukumbushane, ivi huyu alipata daraja la ngapi la ufaulu kidato cha nne na sita? Nasikia alisoma Ben Mkapa. Maana tunaweza kupoteza muda kumbe mtu mwenyewe IQ iko chini, na hekima ni zero. Bora ufeli darasani lakini uwe na hekima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…