Ndugu Polepole, nitajie kituo Cha mabasi cha Wilaya au mkoa chenye Hoteli yenye hadhi Kama hoteli binafsi zinazohusu abiria wa safari ndefu

Unajua fair competition wewe??? Au una bwabwaja tu ????? Trade is an issue ya kuwa fair kwa seller na kwa customer na kuwa na choice.
Nchi za wenzetu unaposimama kwa hayo mahitaji kuna supermarket, kuna Mac Donald , kuna kfc, na nyinginezo, sasa hapa kwetu na mtu moja ame block wengine , hakuna choice
 
Stand inatakiwa kuwa na huduma zote zikiwemo choo, chakula na malazi sioni tatizo kama wakipita stand
... ni kwanini stendi hazina hizo huduma kwa sasa? Chama kinachotawala bado si kile kile toka uhuru?
 
Hakuna ndoto mkuu serikali ikiamua itakua tu,tena hao jamaa wa hovyo sana hawaruhusu hata watu kuingia na chakula ndani ya Bus. Pale ni udikteta mwanzo mwisho usipokula unakufa na njaa,bei ya chini chakula buku 8. Labda unywe chai au biskuti.
... kama hizo ndio bei acha kutumia hayo mabasi; tumia mabasi mengine yanayopaki sehemu zenye vyakula vya bei nafuu. Ni kwa jinsi tutawalazimisha kushusha bei zao za vyakula kwani watakosa wateja. Acha kulialia, uamuzi ni wako.
 
Imagine kwenye hzo hotel chips na nyama elfu Saba, ni Raia gani ana afford hyo hela, na hawana option ya kula chips kavu wakati kitaa chips ni bei nafuu. Hii ya kupita stendi itasaidia wasio na fedha kutokutumia gharama kubwa
 
Hizi ni ndoto za alinacha..mabasi kama KLM yaende kusimama kwenye vistendi vya ovyo ovyo..? Kila basi Liwe na hotel yake kama KLM anavyofanya
Klm hotel yao chakula kibaya chips elfu saba nyama haziivi, imagine chips zinalendemka ka mlenda. Nadhani serikali iwaonyooshe Hawa wamiliki
 
Sio kila kitu ni siasa unaweza kukuta wenye hotel ni wafadhiliwa chama tofauti na chama tawala
... Chama tawala kinatakiwa kitoe na kusimamia utekelezaji wa sera za kumsaidia mwananchi wa chini kupata huduma bora na nafuu na sio kauli za kisiasa za akina Polepole.
 
Imagine kwenye hzo hotel chips na nyama elfu Saba, ni Raia gani ana afford hyo hela, na hawana option ya kula chips kavu wakati kitaa chips ni bei nafuu. Hii ya kupita stendi itasaidia wasio na fedha kutokutumia gharama kubwa
... uko sahihi na wadau wamelisemea kwenye post za juu. Tatizo isiwe kulazimisha kila mtu kula kwenye hizo hoteli za stendi (kwa stend ninazozifahamu). Badala yake kuwe na mechanism ya kuwawezesha abiria kuchagua.

Kwa mfano, uwepo utaratibu rasmi ambapo abiria kabla ya kukata tiketi anapewa taarifa ya mahali basi litakaposimama kwa ajili ya chakula na ikwezekana apewe MENU za hiyo hoteli well in advance ili awe na uchaguzi wa kukata au kutokata tiketi ya hilo basi! As simple as that!
 
Pole pole ahakikishe hilo swala linafanyiwa kazi, vyakula vibaya hafu very expensive, nyama ngumu ka jiwe
... baada ya kuondelewa kwenye iliyokuwa TFDA sasa suala la ubora wa vyakula ni la TBS; mojawapo ni kuhakikisha nyama inakuwa laini ili cariha aweze kutafuna bila shida. Ha ha ha!
 
Mkuu hzo option ni kuchoshana tu hapo wamiliki wangetakiwa waweke Bei nafuu ya mtu ku afford, halafu chakula sio anasa ni basic needs, mtu anaweza kutaka Basi flani KWA uzuri ila Budget yake ikawa ndogo ya kula maana wengi hushinda na njaa. Hata hzo sehemu za kulia msosi vyakula huwa vibovu nyama mbovu chips zimekaa mda za baridi, halafu Bei juu. So ikipatikama sehemu za options ka stendi I'm sure 99% ya abiria wataenda kula chips za buku jero na mishikaki, kuliko kula chips mbaya zilizokaa mda mrefu halafu ghali.
 
... baada ya kuondelewa kwenye iliyokuwa TFDA sasa suala la ubora wa vyakula ni la TBS; mojawapo ni kuhakikisha nyama inakuwa laini ili cariha aweze kutafuna bila shida. Ha ha ha!
[emoji23][emoji23][emoji23] Hawa wa mabasi Mimi hunichefua kweli Yani na ma vyakula Yao bana michips mibovu, Hadi hukumbuka chips za mtaani tamu hafu Bei rahisi. Mimi nampongeza Pole pole kwa hili swala la kupelekewa mahoteli Yao na kutulazimisha na hivi wanajua abiria hatuna options Basi ni kututesa tu.
 
... madam; hivi unajua stendi za nchi hii? Really? Kwamba migahawa ya stendi utapata huduma bora (vyakula na vyoo) kuliko private facilities? Please, rethink.
 
... madam; hivi unajua stendi za nchi hii? Really? Kwamba migahawa ya stendi utapata huduma bora (vyakula na vyoo) kuliko private facilities? Please, rethink.
Kila stendi zina vyoo na vitu vingi tu vinavopatikana KWA urahisi kuliko hzo gharama. Hafu watanzania wengi maisha ni ya chini wewe ka uko vizuri mshukuru Mungu, watu wanapiga msosi wa buku, sasa kwenda kumwambia mtu atoe elfu kumi kasoro kisa chips ambazo sehemu nyingine buku jero. So usidharau stendi zetu ambazo zinatumiwa na watu daily, ka stendi ya makumbusho ni ya daladala na Ina kila kitu sembuse stendi za mkoa, na mabasi yakianza kusimama kituoni automatic biashara za msosi zitataradadi, na kuinua hata uchumi wa wajasiriamali wadogo kuliko kwenda huko porini na kunyonya watu maskini, ikiwa stendi Raia wengine watafaidika
 
Hata Mimi nimeshangaa hii kitu watu wamelalamika Leo inakuja wanataka yaleyale
 
Sasa stend zetu nyingi kwa uzoefu wangu hazina hoteli Zina vibanda vya mama lishe ambao wengine wanapika wanapojua na kufanya kuleta vyakula stend kwa kutumia vikontena vidogo vya plastiki ambapo atakuwa na mdada mdogo wa kusambaza chakula hukona huko hapo stend
Hoteli za stand zina weza hudumia magari mangapi at ago? Ina hitajika miundombinu mipya kabisa sio siasa
 
Ni kweli mkuu hata Dada na mama zetu watajipatia ajira. Kule unakuta wana maslahi nako.
Sawa vyoo huwa ni visafi na huko stendi watu watachukua tenda za vyoo so usafi utakuwa Wa kuzingati sana kwa hali ya juu sana.
Wasitutishe sana.
Kinachoniboaga kilo ya mchele tena grade A ya kyela ni buku afu huko wanauza eti buku tano yaani na kodi sio kuwa ni kubwa kama huku dar ama sijui wapo ama eneo hakuna ghaarama kulipata.
Wangefanya bei za kawaida isingewatokea puani.
 
Kwanj unapokulaga kule unajuaga jikoni kukoje mkuu.
Ishu hawa jamaa wangefanya bei reasonable.
Mie huwa nawajibu mbona mnafanya bei kama vile mko mgodini ama Sie ni watalii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…