Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 2,763
- 3,955
Haa haa haa haaPolisi wa Tanzania huo ndio uwezo wao ulipoishia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haa haa haa haaPolisi wa Tanzania huo ndio uwezo wao ulipoishia
umeulizwa ndugu wa waziri angekuwa ndio mhalifu waziri angekamatwa ? Msinyanyase watu kwa vile uwezo wenu wa upelelezi ni duniwewe unawajua hii familia?mbona upo huru hadi sasa?
Hawajakurupuka wala hakuna mahala polisi wamesema ndugu wa Hamza ni waharifu. Kuwa chini ya ulinzi au kukamatwa haimaanishi mtu anatuhumiwa.Kama ni kweli huu ni upumbavu wa KUKURUPUKA. Ndugu kuwa mhalifu haina maana ndugu zake wote ni wahalifu labda kama kuna ushahidi wa uhalifu wa ndugu zake. Wakamate na maccm yote basi yaliyokuwa karibu na huyo muuaji. View attachment 1908450
nawajua polisi wa Tanzania kama njaaUnajua wamekuta nini nyumbani kwao? Unatoa mapovu tu!
Wewe lazima ukamatwe kwa ugadi kama Mwenyekiti wako inaonekana na wewe unafadhiri magaidi.Polisi wa Tanzania huo ndio uwezo wao ulipoishia
Intelijensia ya Tanzania..Ndugu wa kijana Hamza aliyeuwa polisi watatu na yeye kuuawa pale daraja la salenda wametiwa mbaroni na polisi usiku huu
Ndugu wote wamekamatwa na nyumba yao imefungwa na iko chini ya ulinzi
Source: Ayo tv
Kama ni gaidi anakamatwa tu. Mbona Mbowe amekamatwa ingawaje Baba yake alimsaidia Mwl. Nyerere wakati wa uhuruumeulizwa ndugu wa waziri angekuwa ndio mhalifu waziri angekamatwa ? msinyanyase watu kwa vile uwezo wenu wa upelelezi ni duni
UkitaSasa hawa wanafamilia wanahusikaje??
siku hizi unaweza ishi na ndugu lakini hujui kabisa anafanya kazi ipi
Je ikija kutokea ndugu wa waziri kafanya hivi, waziri atakamatwa??
Yule kijana alietishia bastola dereva kwanini hawakukamata ndugu zake
Jipitishe mtaa wa Faya mara tatu, utajuwa kosa lao nini!Sasa hawa wanafamilia wanahusikaje??
siku hizi unaweza ishi na ndugu lakini hujui kabisa anafanya kazi ipi
Je ikija kutokea ndugu wa waziri kafanya hivi, waziri atakamatwa??
Yule kijana alietishia bastola dereva kwanini hawakukamata ndugu zake
Ni Gaidi kama weweKuna siku nimeona jamaa analia kakamatwa kwenye fuso,kapakia mbao zake na vibali vyote anavyo lakini bado askari wakamtoa pesa ndefu.
Ramadhan Ntunzwe wa Kariakoo alifilisiwa mtaji wake kwa kukataa kutoa rushwa kwa polisi na tra,wakamzima.
Nasubiri nisikie kuhusu huyu msomali shida ni nini hasa.
Hili tukio kubwa, ndugu hawana kosa lakini hiyo nyumba inaweza ikawa ni crime scene. Sasa ukiacha watu humo, wanaweza wanatemper na ushahidi.ni vema polisi wangelinda eneo lao kuliko kuwasweka rumande , wana kosa gani ?
Wewe ni Gaidi wa Kike unafadhiri magaidi kama Mwenyekiti wako.nawajua polisi wa Tanzania kama njaa
unatia aibu kwa faida ya nani ?Wewe lazima ukamatwe kwa ugadi kama Mwenyekiti wako inaonekana na wewe unafadhiri magaidi.
Magaidi ni CCM,wamewafanya mazombi hamjielewi kama ww.Wewe lazima ukamatwe kwa ugadi kama Mwenyekiti wako inaonekana na wewe unafadhiri magaidi.
Wewe Gaidi wa kike!unatia aibu kwa faida ya nani ?
Hawajakurupuka wala hakuna mahala polisi wamesema ndugu wa Hamza ni waharifu. Kuwa chini ya ulinzi au kukamatwa haimaanishi mtu anatuhumiwa.
Nakupa kisa. Nchini Russia mwaka 2014 wasichana wawili wenye asili ya Chechen walitengeneza bomu la kienyeji na kumpa kaka yao aliyejilipua kwenye airport ya Domodedovo (2nd largest in Russia) na kuua watu 32. Hawa wawili walishashtukiwa ila kaka akaachwa. Hata taarifa za FBI na mashirika mengine ya uchunguzi zinaonesha ⅓ ya magaidi wana uhusiano wa kifamilia.
Watatoa taarifa muhimu kama sababu ya kushika silaha, mwenendo wake, hali yake kiakili na mengine. Na pia yawezekana wamekamatwa ili kupewa ulinzi, what if kuna watu wanapanga retaliation kwao
Huyo jamaa ni mteteaji mkubwa wa lile gaidi lao lililowekwa kolokoloni hivi karibuni.Unajua wamekuta nini nyumbani kwao? Unatoa mapovu tu!