Ndugu wa Hamza, mhalifu aliyeua Askari Selander bridge watiwa mbaroni na polisi

Ndugu wa Hamza, mhalifu aliyeua Askari Selander bridge watiwa mbaroni na polisi

Ile bunduki ni wazi wanafamilia walikuwa wanaijua Ila he waliwahi kutoa taarifa? Polisi au popote

Katika hili lazma wahusike

Na hata marafiki wa Karibu yake wanapaswa kuchunguzwa
 
Huyu jamaa taarifa zake zinahutajika, maana anaonekana ni mzoefu wa silaha, unajuaje alipojifunzia CHARITY BEGINS AT HOME, unahakika gani ndugu zake hawajui kufanya vile alivyofanya yeye??

Yaani kwa aliyoyafanya pale kuna maswali mengi sana yanahitaji majibu, sasa ikiwa ndugu wataachwa ni nani atayajibu maswali hayo?

Hawa ndugu zake wakiachwa nyumbani pale, wanaweza vuruga ushahidi maana wanaweza kupanga nini wakazungumze, hawa hata wakifika polisi inabidi watenganishwe wasije wakaeleza mambo ya kutunga. Lakini pia yawezekana wamekagua wakakuta kuna vitu vyenye kuleta maswali zaidi kwahiyo wanatakiwa hata wao watolee maelezo yao.

TUWENI MAKINI, HAKUNA ANAYEPENDA KUONEA WATU BILA SABABU TENA NI PUBLIC HIVYO.
 
Wasombwe tu, usalama wa Tanzania ni muhimu, pia kwa usalama wao, yani ndugu yako kaua mzazi, ndugu, mfanyakazi, wa mwenzio hujui wanaweza kukufanyia nini
Wewe ukiua watu kwa Akili zako binafsi utapenda Polisiccm waenda kuwakamata ndugu zako ambao hawajakutuma kwenda kufanya shambulio
 
Unajua wamekuta nini nyumbani kwao? Unatoa mapovu tu!

8BA8F8DB-9B9B-435D-8665-35BE99C8C00E.jpeg
 
Ile bunduki ni wazi wanafamilia walikuwa wanaijua Ila he waliwahi kutoa taarifa? Polis au popote


Katika hili lazma wahusike

Na hata marafiki wa Karibu yake wanapaswa kuchunguzwa
Wewe ukienda kufanya shambulio kwa Akili zako binafsi pasipo kutumwa na familia yako ungependa familia yako ikasombwe usweke ndani pasipo kuwa na hatia?
 
Mkuu Tatizo hujui ukiwaacha usalama wao itakuwaje?
Fahamu jamaa ameuwa je walio poteza ndugu zao wakija kulipa kisasi kwa familia.
Kaa chini kunywa maji harafu fkria.
Hakika, waza mbali zaidi ya hapo maana, pengine hao askari ni wa Mtwara au Manyara sio Dar.

Waza kama huyo jamaa alikua anahusika na mtandao wowote wa kigaidi, huoni huo mtandao wake (WAKIGAIDI) unaweza amua kuuwa hao wanafamilia ili kupoteza ushahidi wa tukio hilo??
 
Kuna siku nimeona jamaa analia kakamatwa kwenye fuso,kapakia mbao zake na vibali vyote anavyo lakini bado askari wakamtoa pesa ndefu.
Ramadhan Ntunzwe wa Kariakoo alifilisiwa mtaji wake kwa kukataa kutoa rushwa kwa polisi na tra,wakamzima.
Nasubiri nisikie kuhusu huyu msomali shida ni nini hasa.
Hivi jamaa walishamzima kabisa ama. Kummk hii nchi nikiwa na bi zangu kadhaa naiacha. Shida Sana kuishi na masikini yaani basi tu. I hate it too much
 
Polisi wa Sirro mbona ni wataalam wa hilo....anajamba raia mmoja wanakamata kijiwe kizima
 
Back
Top Bottom