Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi unapoangalia picha hii ya huyu mtu na hawa wenzake, huyu Hamza angekuwa kavaa magwanda ya CHADEMA hali ingekuwaje leo hii ndani ya nchi hii?Kama ni kweli huu ni upumbavu wa KUKURUPUKA. Ndugu kuwa mhalifu haina maana ndugu zake wote ni wahalifu labda kama kuna ushahidi wa uhalifu wa ndugu zake. Wakamate na maccm yote basi yaliyokuwa karibu na huyo muuaji. View attachment 1908450
Waanze kunyonga familia yako kwani wewe pia ni gaidiTena yanyongwe kabisa yale magaidi
Polepole anaachwajeKama ni kweli huu ni upumbavu wa KUKURUPUKA. Ndugu kuwa mhalifu haina maana ndugu zake wote ni wahalifu labda kama kuna ushahidi wa uhalifu wa ndugu zake. Wakamate na maccm yote basi yaliyokuwa karibu na huyo muuaji. View attachment 1908450
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !Hivi unapoangalia picha hii ya huyu mtu na hawa wenzake, huyu Hamza angekuwa kavaa magwanda ya CHADEMA hali ingekuwaje leo hii ndani ya nchi hii?
Na hao wenzake wawili tayari wangekuwa ndani wakiteswa!
Nchi yetu imefikia huku tulipofika sasa hivi!
CCM hawawezi kufanya uhalifu. Huyo mtu pamoja na ushahidi wote uliopo watamkana kama hajawahi kuwa ndani ya chama hicho.
Dah,Ndugu wa kijana Hamza aliyeuwa polisi watatu na yeye kuuawa pale daraja la salenda wametiwa mbaroni na polisi usiku huu
Ndugu wote wamekamatwa na nyumba yao imefungwa na iko chini ya ulinzi
Source: Ayo tv
Kumbe alikua kada?! Duuh!Kama ni kweli huu ni upumbavu wa KUKURUPUKA. Ndugu kuwa mhalifu haina maana ndugu zake wote ni wahalifu labda kama kuna ushahidi wa uhalifu wa ndugu zake. Wakamate na maccm yote basi yaliyokuwa karibu na huyo muuaji. View attachment 1908450
Sipati picha mkuu! This time gaidi wa kweli ametokea huko kwao. Mungu amewaumbuaImagine angekuwa Chadema!
Ndugu yake Kinana huyo, fomer ccm general SecretaryAll ze wei from somalia to ccm lumumbaView attachment 1908476
Sipati picha mkuu! This time gaidi wa kweli ametokea huko kwao. Mungu amewaumbua
Aiseee! Una akili ndogo sana. Huhitaji hata kupewa a b c za matukio ya kiusalama.Wewe ukiua watu kwa Akili zako binafsi utapenda Polisiccm waenda kuwakamata ndugu zako ambao hawajakutuma kwenda kufanya shambulio
Huyu mjinga anajiuliza swali na anajibu mwenyewe tena kwa habari ya kusikia. Anatafuta kiki kwa kutumia tukio hili. Hakuna mantiki ya kuweka upuuzi huu. Anabwabwaja bila ushahidi wowote. Shame on you both. Anatumia hypothesis bila kuonyesha ushahidi kujenga hoja na bado inakuwa mbovu tu.
fake picture na aliyetuma anafuatiliwa
Unajua wamekuta nini nyumbani kwao? Unatoa mapovu tu!
Tusilaumu kabla ya kupata hitimisho au undani wa jambo hili