minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Hii ndiyo kero kubwa yafaa ikemewe kwa nguvu kubwaPolisi wa Sirro mbona ni wataalam wa hilo....anajamba raia mmoja wanakamata kijiwe kizima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndiyo kero kubwa yafaa ikemewe kwa nguvu kubwaPolisi wa Sirro mbona ni wataalam wa hilo....anajamba raia mmoja wanakamata kijiwe kizima
Wadau wanasema jamaa si Gaidi ila kuna dhulma kafanyiwa. Sema sina uhakika, lakini polisi wamefanya jambo la maana kuwachukua wanafamilia ili kukusanya dotsHakika, waza mbali zaidi ya hapo maana, pengine hao askari ni wa Mtwara au Manyara sio Dar.
Waza kama huyo jamaa alikua anahusika na mtandao wowote wa kigaidi, huoni huo mtandao wake (WAKIGAIDI) unaweza amua kuuwa hao wanafamilia ili kupoteza ushahidi wa tukio hilo??
Wasipojirekebisha kwa uonevu huu 25 Agosti itajirudia tena na tenaHii ndiyo kero kubwa yafaa ikemewe kwa nguvu kubwa
Wameona wale ni wasomali na pia siyo watu maarufu ni rahisi kuwafanyia chochote pasipo pressure toka kwa jamii isiyopenda uonevumbona hamkukamata familia ya Mbowe ?
Hakika, wamefanya la maana ila ukubali usikunali mpaka sasa inahitaji muda kuthibitisha nini ni nini maana yasemwayo ni mengi.Wadau wanasema jamaa si Gaidi ila kunadhuruma kafanyiwa. Sema sina uhakika, lakini polisi wamefanya jambo la maana kuwachukua wanafamilia ili kukusanya dots
Si uliona walikamatwa wote waliokuwa naye huko Mwanza ila wewe nasikia ulikimbia.mbona hamkukamata familia ya Mbowe ?
Ugaidi wako wa kuwabambikia kesi unakusaidia nini?Gaidi
GaidiUgaidi wako wa kuwabambikia kesi unakusaidia nini?
Hapo ni kuwaachia tusubiri watasema niniHakika, wamefanya la maana ila ukubali usikunali mpaka sasa inahitaji muda kuthibitisha nini ni nini maana yasemwayo ni mengi.
Kwani familia ndiyo walimtuma kwenda kufanya shambulio? alikwenda nao sehemu ya shambulio?Hakika, wamefanya la maana ila ukubali usikunali mpaka sasa inahitaji muda kuthibitisha nini ni nini maana yasemwayo ni mengi.
Hawajakurupuka wala hakuna mahala polisi wamesema ndugu wa Hamza ni waharifu. Kuwa chini ya ulinzi au kukamatwa haimaanishi mtu anatuhumiwa.
Nakupa kisa. Nchini Russia mwaka 2014 wasichana wawili wenye asili ya Chechen walitengeneza bomu la kienyeji na kumpa kaka yao aliyejilipua kwenye airport ya Domodedovo (2nd largest in Russia) na kuua watu 32. Hawa wawili walishashtukiwa ila kaka akaachwa. Hata taarifa za FBI na mashirika mengine ya uchunguzi zinaonesha ⅓ ya magaidi wana uhusiano wa kifamilia.
Watatoa taarifa muhimu kama sababu ya kushika silaha, mwenendo wake, hali yake kiakili na mengine. Na pia yawezekana wamekamatwa ili kupewa ulinzi, what if kuna watu wanapanga retaliation kwao
Jamaa walimpiga kimya itakuwa, manake pamoja na Rais na PM kutoa maagizo lakini TRA walikaza.Ivi jamaa walishamzima kabisa ama. Kummk hii nchi nikiwa na bi zangu kadhaa naiacha. Shida Sana kuishi na masikini yaani basi tu. I hate it too much
Hatujui, ila unataka taarifa zake nani azitoe na polisi watajuae na muhusika kafariki?Kwani familia ndiyo walimtuma kwenda kufanya shambulio? alikwenda nao sehemu ya shambulio?
Hizi ni taratibu za kawaida za kiusalama, uchunguzi na kisheria. Wataachiwa baada ya mamlaka kujiridhisha kuwa mwendazake alikuwa peke yake na kujua chanzo cha uhayawani kama huu ili kuweza kuzuia inapotokea hali kama hii. Kama hawajatenda kosa lolote wala wasiwe na wasi wasi.Sasa hawa ndugu zake wanahusikaje??
siku hizi unaweza ishi na ndugu lakini hujui kabisa analopanga!!
Je ikija kutokea ndugu wa waziri kafanya hivi, waziri atakamatwa ??
Hawajakurupuka wala hakuna mahala polisi wamesema ndugu wa Hamza ni waharifu. Kuwa chini ya ulinzi au kukamatwa haimaanishi mtu anatuhumiwa.
Nakupa kisa. Nchini Russia mwaka 2014 wasichana wawili wenye asili ya Chechen walitengeneza bomu la kienyeji na kumpa kaka yao aliyejilipua kwenye airport ya Domodedovo (2nd largest in Russia) na kuua watu 32. Hawa wawili walishashtukiwa ila kaka akaachwa. Hata taarifa za FBI na mashirika mengine ya uchunguzi zinaonesha ⅓ ya magaidi wana uhusiano wa kifamilia.
Watatoa taarifa muhimu kama sababu ya kushika silaha, mwenendo wake, hali yake kiakili na mengine. Na pia yawezekana wamekamatwa ili kupewa ulinzi, what if kuna watu wanapanga retaliation kwao
Ujuaji mavi ni kusahau kuwa watu walipitia JKT au Magambo na huko hawakwenda na familie zao, kwenda kuwaminya watu ambao hawakumtuma kwenda kufanya shambulio ni upelelezi wa uonevu ni unyanyasaji mkubwa kumpiga mtu aseme ukweli wakati hana ukweli wowote ni utesaji wa kishetani matokeo yake wengine huamua kuwataja watu wasiohusika ili kuepuka kipigo, acheni kufanya uchunguzi kwa njia haramu za kishetaniIzo ni taratibu za kiusalama ebu tuache ujuaji mavi basi,
We mtu anajua kutumia siraha ya kivita na amefanya tukio kama hilo unategemea watu wake wa karibu waachwe tu jambo liishe tu kinyemela?
Baadhi ya watu wake wa karibu wataminywa na hatimae ukweli unaweza kupatikana.