Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwao ni fursa ya kutengeneza mazingira ya Rushwa na uchunguzi wao hujaa walakini ndiyo maana hata Rais Samia kawambia waache kukamata watu pasipo uchunguzi kukamilikaSasa hawa wanafamilia wanahusikaje??
siku hizi unaweza ishi na ndugu lakini hujui kabisa anafanya kazi ipi
Je ikija kutokea ndugu wa waziri kafanya hivi, waziri atakamatwa??
Yule kijana alietishia bastola dereva kwanini hawakukamata ndugu zake
Leo mpka umeze ulimi,sema ccm mmejaa magaidi na majambazifake picture na aliyetuma anafuatiliwa
Acha ufala wewe mbweha acheni kuwaonea wanafamilia kwani hawakumtuma Hamza kwenda kufanya hilo shambulioHuyo jamaa ni mteteaji mkubwa wa lile gaidi lao lililowekwa kolokoloni hivi karibuni.
Gaidi jingine hili hapa. Polisi njooni kamata gaidi lipo huku JF.Kwao ni fursa ya kutengeneza mazingira ya Rushwa na uchunguzi wao hujaa walakini ndiyo maana hata Rais Samia kawambia waache kukamata watu pasipo uchunguzi kukamilika
Hata hapa ni mtandaoniNimesoma hii habari mtandaoni nikaipotezea.
Gaidi wewe!Acha ufala wewe mbweha acheni kuwaonea wanafamilia kwani hawakumtuma Hamza kwenda kufanya hilo shambulio
Wewe ndiyo gaidi hata kuwabambikia kesi wapinzani ni ugaidiWewe ni Gaidi wa Kike unafadhiri magaidi kama Mwenyekiti wako.
Mbona umeanza kuweweseka?Acha ufala wewe mbweha acheni kuwaonea wanafamilia kwani hawakumtuma Hamza kwenda kufanya hilo shambulio
Wewe ndiyo gaidi la kuwabambikia wengine kesi waanze kukukamata wewe kwa kuhimiza ugaidi wa kuwabambikia wengine kesi kwa njia haramu za kishetaniGaidi jingine hili hapa. Polisi njooni kamata gaidi lipo huku JF.
Acha kufanya ugaidi wa kuwatishia watu Polisiccm ugaidi wako wa kuwaonea watu utaishia kusomewa Albadiri upate mshipaWewe Gaidi wa kike!
Uchunguzi wao hujaa mapungufu mengi na mojawapo ya mapungufu ni kwenda kukamata familia badala ya kuwahoji tu ingetosha kupata taarifa zoteKama hujui uliza.
Sasa kama mtu amefahamika watapata wapi dots za kumjua mhusika lengo lake?
Ila wabongo Tuache Unafiki.
Ndio mimi gaidi namba 1/na ukikaa kwenye timing zangu nakupiga pumbu bwege wewe.Ni Gaidi kama wewe
Mkuu Tatizo hujui ukiwaacha usalama wao itakuwaje?Uchunguzi wao hujaa mapungufu mengi na mojawapo ya mapungufu ni kwenda kukamata familia badala ya kuwahoji tu ingetosha kupata taarifa zote