Ndugu wa marehemu Erick Kisauti wawatuhumu bongo movies kufuja milioni 60 za rambirambi

Ndugu wa marehemu Erick Kisauti wawatuhumu bongo movies kufuja milioni 60 za rambirambi

Nakadori

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
8,778
Reaction score
21,010
Ndugu wa msanii wa vichekesho Eric Kisauti ambaye alifariki siku kadhaa zilizopita wametoa tuhuma nzito wakiwatuhumu waliosimamia msiba wa ndugu yao kupora kiasi cha shilingi milioni 60.

Tuhuma hizi zilijibiwa na wasanii waliopata nafasi ya kwenda kuzika kwa kuweka wazi kwamba bajeti ya safari nzima ilikuwa imebana sana kwani michango haikupatikana kabisa hadi kupelekea wao kukosa usafiri hadi pale Lamata Leah na Steve Nyerere walipookoa jahazi kwa kutoa gari.

Maoni yangu: ndugu walipaswa kuwashukuru watu waliopigana kuhakikisha mwili wa ndugu yao unasafirishwa hadi kwao maana wasingejitoa angezikwa na Manispaa.
 
Ndugu wa msanii wa vichekesho Eric kisauti ambaye alifariki siku kadhaa zilizopita wametoa tuhuma nzito wakiwatuhumu waliosimamia msiba wa ndugu yao kupora kiasi cha shilingi milioni 60.
Huenda mmoja wa wasanii alijitutumua kwa ndugu kuwa wasanii watatoa hizo 60 halafu hazikutoka, wasanii wana mengi
 
Back
Top Bottom