kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Hivi huyo kuwadi ana gari kweli?Stivu ake Katoa gari bure Jamani huyi mtu anaroho nzuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huyo kuwadi ana gari kweli?Stivu ake Katoa gari bure Jamani huyi mtu anaroho nzuri
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]jamaniAliwaaminisha ndugu zake kwamba yeye ni msanii mkubwa sana
Waliunga unga wakasafirisha kupeleka kwao Mbeya hukoo!hawana shukrani nadhani walidhani ndugu yao Ana jina kuubwa kumbe Hana lolote!Kwa kinyampe ilikuwaje??
Hahaha kuna pasta mmoja tulimsafirisha kwenda tanga kuzikwa...tulipofika wakawa wanalia eti mengi wao amefarikiiiii wakati sie Town tulimuona wa kawaida tuuWaliunga unga wakasafirisha kupeleka kwao Mbeya hukoo!hawana shukrani nadhani walidhani ndugu yao Ana jina kuubwa kumbe Hana lolote!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app