Ndugu wa marehemu Erick Kisauti wawatuhumu bongo movies kufuja milioni 60 za rambirambi

HIYO 60M WATOE WASANII? TENA WA BONGO MOVIES??? HAWA NDUGU WANATANGAZA NJAA MAPEMA SANA
 
Wasanii na USANII wao, hawaaminiki lakini sidhani kama ERICK alikuwa na jumuia ya kumchangia hiyo milioni 60 ukizingatia muda mrefu hana kazi za kubamba kama kipindi kile

Kama zimechangwa na kuliwa ndio hapo msemo wa kufa kufaana unapochukua nafasi
 
Wasanii na USANII wao, hawaaminiki lakini sidhani kama ERICK alikuwa na jumuia ya kumchangia hiyo milioni 60 ukizingatia muda mrefu hana kazi za kubamba kama kipindi kile

Kama zimechangwa na kuliwa ndio hapo msemo wa kufa kufaana unapochukua nafasi
Aliwaaminisha ndugu zake kwamba yeye ni msanii mkubwa sana
 
Ila wasanii waache show off za kijinga wakati nyuma ya camera wanadaiwa kila kona mpaka nguo wanakopa.
 
Wasanii na USANII wao, hawaaminiki lakini sidhani kama ERICK alikuwa na jumuia ya kumchangia hiyo milioni 60 ukizingatia muda mrefu hana kazi za kubamba kama kipindi kile

Kama zimechangwa na kuliwa ndio hapo msemo wa kufa kufaana unapochukua nafasi
Hio ndio inaitwa 'Mbwa kala Mbwa"
Ndugu walijipanga kunuifaika na kifo chake wakati waliopanga mpango mzima walikuwa na mipango yao...
 
''naenda kama Steve ukinikuta msibani, daftari likiniona linapata amani..." - Maalim Nash Emcee.

-Kaveli-
 
Yaani Lamata na Steve walikosea Sana, wangeacha hao ndugu wasafirishe tuone Sasa Kama wangeweza na bado wangelaumu bongo Movie hawana uahirikiano
Nshaona Kinyambe alivokufa wakichangisha watu pale Uyole Mbeya ili wamsafirishe kwao
 
Yaani Lamata na Steve walikosea Sana, wangeacha hao ndugu wasafirishe tuone Sasa Kama wangeweza na bado wangelaumu bongo Movie hawana uahirikiano
Nshaona Kinyambe alivokufa wakichangisha watu pale Uyole Mbeya ili wamsafirishe kwao
Kwa kinyampe ilikuwaje??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…