Ndugu wa mke kuja nyumbani kwangu bila mimi kujulishwa imekaa kitaalamu kweli hii kitu?

Wewe ndiye unamjua mkeo...nikiamini uko mature enough ilikua ni suala la kukaa na kuzungumza na mkeo
 
Chief sio virahisi kama unavyojaribu kuelezea hapa ...yaani kitendo tu kumwambia mke wako kwanini ndugu zako wanakuja hapa bila taarifa kinaweza kuzua ugomvi mkubwa sana utakaohusisha hadi ndugu

Approach ya jambo kama hili unatakiwa ulifanye kwa busara ya hali ya juu na sio kutumia ubabe. Ubabe kwenye ndoa haujawahi kuwa na msaada zaidi ya kuharibu zaidi.
 
Zungumza na mkeo kwa ukarimu kuhusiana na jambo hilo.
Kama mwenye nyumba lazima upewe taarifa kuhusiana na wageni wanaokuja.
Na wageni lazima waeleze kwa nini wanakuja! Wanakaa muda gani?
Aise! Mkeo ni Msambaa?
 
big no, mkeo lazima akuhusishe before waje. kuna zile dharura zinajulikana mtu anatatizo flani anakuja ghafla kuona mnamsaidiaje, but hiiya kuja like that? tena mume hajui? hapana

hapo mwenye shida ni mkeo, usiogopemwambie kwa sasa unahitaji privacy na familia yako tu, mtu akitaka kuja atoe taarifa na akuambie ili kama unaruhusu waje au wasije,

me ni mwanamke naelewa naelewa binadamu tulivo, ukiachia hiyo tabia iendelee hivo? utajua hujui, watu ukiwapa ufree huo wataingia hadi vyumbani na heshimaya mumeitaondoka , watakua wanakuona shost yao tu au kaka yao tu huna lolote[emoji34]
 
hao wa kike wanalika? kama ndio, anza kula mmoja mmoja.
 
sikufundishi uchoyo ila ulifanya makosa makubwa siku ya kwanza kukuta wageni na hujapewa taarifa pale pale ungeweka mambo sawa leo usingekuja kutulalamikia hapa...... na ukiona jambo dogo hivyo halipobsawa basi jua umeshakwama muda mrefu sana.....
 
Siku nyingine watakuja kulala chumbani kwako utabaki huna la kufanya πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Take care mkuu πŸ˜•πŸ˜•
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…