Ndugu wa mke kuja nyumbani kwangu bila mimi kujulishwa imekaa kitaalamu kweli hii kitu?

Ndugu wa mke kuja nyumbani kwangu bila mimi kujulishwa imekaa kitaalamu kweli hii kitu?

Wewe na mkeo huwa hamzungumzi..?? Maana katika maongezi yenu ya kawaida ya kila siku ndipo humo hizo taarifa zingekuwa zinakufikia..!!

Hamuwezi kuwa mnaongea kila siku kisha kuna wageni kwako na mkeo asiseme chochote kabisa, it doesn't sit well with me kiukweli..!!

Na mambo mengine anakushirikisha kama kawaida mkuu..? Ama mnaishi tu kama watu mnaoshea nyumba na siyo familia ya mke na mume..? MAWASILIANO yenu yapoje mkuu..?
Hii ni point kubwa, una wazo la akili. Ajibu hili swali.
 
Japo umedeclare kwamba huna uchoyo ila una dalili za uchoyo. Hiyo bajeti unayompa kila mwezi alikwambia haitoshi? Mbona inaonekana kama anaweza kumanage. Ukishaanza kumpangia wife kuhusu ndugu zake nakuhakikishia ndugu zako watapata tabu sana hapo kwako. Hayo mambo madogo sana hebu achana nayo. Mwenyezi Mungu anatokuongezeeni riziki kwa kuwakirimu wageni
Umeeleweka chief
 
Anza kushinda na boxer sebuleni, tena hakikisha kende moja linachungulia. Watakata mguu hao.

Ila chief kama swala dogo kama kuchukizwa na ugeni kwako unashindwa lifikisha kwa mkeo, mambo mengine makubwa utaweza yafikisha kweli? Baba mwenye nyumba unapaswa uwe na sauti moja tu.

Hii iwe fundisho kwako, usiruhusu jambo likuwe ndio utake ku li address. Ilipaswa baada ya mgeni wa pili tu uanze kuhoji.
Umeeleweka chief
 
Inaonekana unamaisha mazuri. Ingekuwa pangu pakavu wasinge kuwa wanakanyaga, hata mkee wako angekuwa anaona aibu kuwaleta hapo
Maisha ya kawaida tu,tunabangaiza chief.
 
Piga pumb.u mmoja mmoja watahadithiana huko na ndio utakua mwisho wa wao kukanyaga hapo kwako.
Afu unaonekana huna sauti kwa mkeo we jamaa,possibly keshakuset huyo tayari.
 
Kwa kifupi ni kwamba Unamuogopa sana mkeo.

Kimsingi inatakiwa utaarifiwe kama baba wa familia bila kujali upo nyumbani kwako au haupo.

Binafsi ningemuuliza mke na hata hao ndugu wanaokuja bila kutoa taarifa maana imekaa mkao wa dharau , vinginevyo life goes on
Una point kwenye hoja yako.

Kingine nilichokiona katika maelezo yake ni kwamba mkewe alishamsoma kwamba 'mme wangu hana shida na mambo madogo madogo' na hayo alishawaeleza ndugu zake.

Yawezekana pia tabia za mwanamke huyo zikawa ni za ufujaji na si ujengaji.
 
Nmetoka kuwaaga shemej zangu wawili na Mtoto mmoja wote wamerud mkoani asbuh ya kuamkia Jana.

Nilitaarifiwa na wife pamoja na ma mkwe kua Kuna shemeji yangu watakuja k'koo kufunga mzigo so watafikia kwangu, nikasema OKEY

Siku ya siku,
Nashangaa nampokea shemej yangu akiwa na mwanae (1yr) pamoja na mdg wake wa kike (20yrs), wakiwa binamu Yao WA kiume (17yr).

Wamekaa home almost wiki,sioni dalili yyt ya kwenda kufunga mzg k'koo Wala nini, nikaambiwa shemej anasubir atumiwe Ela na mumewe.

Nikahoji hao wengn vipi, nikaambiwa uyo WA kike kamsindkza dada ake kufunga mzgo, na uyo WA kiume kaja kuangalia vyuo vya kusoma mana matokeo yake ya form4 hayakua mazuri. Nikapiga Kimya.

Wamekaa almost mwezi na wiki 1, wife kaja kumuombea dada ake nauli anaomba arud mkoani, nikahoji mtu kaja kibiashara afu naul nimlipie Mimi
iyo vipi, akasema wamegombana na mmewe kaghairi kumpa nauli. Nikaona sio kesi, nikampa nauli akakate ticket aende.

Yule mdg wake nae kanifata anaomba nauli aende na dada ake. Nikamwambia mbona ghafla Sana, sikua na bajet iyo, Endelea kukaa nikipata nauli utarud mkoani. Kasema sawa.

Kesho yake Nashangaa shemej na mdg wake wote wamefungasha, nikaulza vp wee mdg SI unabaki, akasema "mama kantumia nauli,so na Mimi narud mkoani". Nikamtakia KILA la heri.

Yule binamu wa kiume, nafikiria wiki ijayo nimpe TU nauli nae arud mkoani maana sioni Cha maana kilichomleta mjini,maana ata vyuo alivyosema kaja kuangalia hajishughulishi navyo zaidi ya ubishi WA Simba na yanga.

Yote Kwa yote,
Wageni Ni baraka, Home Palichangamka Sana, Ila Wageni waje Kwa utaratibu na Kwa Sababu maalum.
 
Nmetoka kuwaaga shemej zangu wawili na Mtoto mmoja wote wamerud mkoani asbuh ya kuamkia Jana.

Nilitaarifiwa na wife pamoja na ma mkwe kua Kuna shemeji yangu watakuja k'koo kufunga mzigo so watafikia kwangu, nikasema OKEY

Siku ya siku,
Nashangaa nampokea shemej yangu akiwa na mwanae (1yr) pamoja na mdg wake wa kike (20yrs), wakiwa binamu Yao WA kiume (17yr).

Wamekaa home almost wiki,sioni dalili yyt ya kwenda kufunga mzg k'koo Wala nini, nikaambiwa shemej anasubir atumiwe Ela na mumewe.

Nikahoji hao wengn vipi, nikaambiwa uyo WA kike kamsindkza dada ake kufunga mzgo, na uyo WA kiume kaja kuangalia vyuo vya kusoma mana matokeo yake ya form4 hayakua mazuri. Nikapiga Kimya.

Wamekaa almost mwezi na wiki 1, wife kaja kumuombea dada ake nauli anaomba arud mkoani, nikahoji mtu kaja kibiashara afu naul nimlipie Mimi
iyo vipi, akasema wamegombana na mmewe kaghairi kumpa nauli. Nikaona sio kesi, nikampa nauli akakate ticket aende.

Yule mdg wake nae kanifata anaomba nauli aende na dada ake. Nikamwambia mbona ghafla Sana, sikua na bajet iyo, Endelea kukaa nikipata nauli utarud mkoani. Kasema sawa.

Kesho yake Nashangaa shemej na mdg wake wote wamefungasha, nikaulza vp wee mdg SI unabaki, akasema "mama kantumia nauli,so na Mimi narud mkoani". Nikamtakia KILA la heri.

Yule binamu wa kiume, nafikiria wiki ijayo nimpe TU nauli nae arud mkoani maana sioni Cha maana kilichomleta mjini,maana ata vyuo alivyosema kaja kuangalia hajishughulishi navyo zaidi ya ubishi WA Simba na yanga.

Yote Kwa yote,
Wageni Ni baraka, Home Palichangamka Sana, Ila Wageni waje Kwa utaratibu na Kwa Sababu maalum.
😁😁😁 washajua baba mkali na ana misimamo.
 
Habari zenu watu wa mapenzi.
Iko hivi,kwanza naomba kudiclea interest mimi sio mchoyo wala sina chembe za uchoyo kama ambavyo wengi wenu mngeweza kudhani.
Naishi mkoa tofauti na ambao familia yangu inaishi,so tarehe za mwisho wa mwezi kama hizi huwa natoroka kuja kuwasalimia siku kadhaa then narudi kituo changu cha kazi.
So ktk ujaji wangu home me huwa sitoi taarifa kwa yeyote huwa nawashtukiza tu ghafla ghafla..
Kama mara tano hivi kila nikija home nakuta ndugu za wife tofauti tofauti wapo home hapa,me sikua naona shida sana as me hawanibani kwa lolote,last month nilikuja nikamkuta mdogo wa wife na mwanae wako hapo home na toka nifike mpaka wanaondoka tulikaa nao karibu siku 8 sikutaka kuuliza wamekuja lini.
So jana tena nimekuja kimya kimya home nimemkuta ndugu mwingine wa kike wa wife wamefunga chuo yupo home hapa sijahoji lolote.
So leo nikiwa ndani na laptop yangu namalizia vimeo vyangu vya job mara ghafla nasikia geti linagongwa kaingia wifi wa wife yani mke wa kaka yake na mwanae na ninavyoona hawa sio wa kuondoka leo coz naona mpaka wana kibegi wamebeba.
Sitaki kumuuliza wife hizi mambo za ndugu zake kuja hapa as anajua me sio mtu wa kujali sana mambo hayo ila sasa kama baba wa familia nashangaa kwa nini sihusishwi kwenye ujaji wa hawa wageni as mnavyojua sahivi hali ya maisha imekua ngumu kidogo na watu tunapambania tu familia zetu ziende chooni, sasa huu ugeni mwingine ambao mimi nakua sina taarifa nao naona ka unaenda kinyume na bajeti zangu za mwezi.
Mimi binafsi ndugu zangu huwa wanatoa taarifa siku 3 nyuma kabla hawajaja kwangu hivyo tunajiandaa mapema.
So wakuu hii kitu imekaa kitaalamu kweli na nitumie mbinu gani kufikisha ujumbe kwa wife bila kumkwaza?
Inaonekana wewe ndio mke humo ndani.
 
Wewe mwenyewe ukienda kwako hutoi taarifa umesema na unaona ni kawaida tu, usilaumu kaka, ni mtindo wa maisha uiiouanzisha mwenyewe tulia uuishi!

Kutoa taarifa kwenda kwako hakukuondolei ubaba wako wala haukushushii cheo chako home, ni ustaarabu tu.

Usilalamike kwa mkeo kutokukushirikisha mambo. Anajifunza kwako
Well said 🤣🙌
 
Habari zenu watu wa mapenzi.
Iko hivi,kwanza naomba kudiclea interest mimi sio mchoyo wala sina chembe za uchoyo kama ambavyo wengi wenu mngeweza kudhani.
Naishi mkoa tofauti na ambao familia yangu inaishi,so tarehe za mwisho wa mwezi kama hizi huwa natoroka kuja kuwasalimia siku kadhaa then narudi kituo changu cha kazi.
So ktk ujaji wangu home me huwa sitoi taarifa kwa yeyote huwa nawashtukiza tu ghafla ghafla..
Kama mara tano hivi kila nikija home nakuta ndugu za wife tofauti tofauti wapo home hapa,me sikua naona shida sana as me hawanibani kwa lolote,last month nilikuja nikamkuta mdogo wa wife na mwanae wako hapo home na toka nifike mpaka wanaondoka tulikaa nao karibu siku 8 sikutaka kuuliza wamekuja lini.
So jana tena nimekuja kimya kimya home nimemkuta ndugu mwingine wa kike wa wife wamefunga chuo yupo home hapa sijahoji lolote.
So leo nikiwa ndani na laptop yangu namalizia vimeo vyangu vya job mara ghafla nasikia geti linagongwa kaingia wifi wa wife yani mke wa kaka yake na mwanae na ninavyoona hawa sio wa kuondoka leo coz naona mpaka wana kibegi wamebeba.
Sitaki kumuuliza wife hizi mambo za ndugu zake kuja hapa as anajua me sio mtu wa kujali sana mambo hayo ila sasa kama baba wa familia nashangaa kwa nini sihusishwi kwenye ujaji wa hawa wageni as mnavyojua sahivi hali ya maisha imekua ngumu kidogo na watu tunapambania tu familia zetu ziende chooni, sasa huu ugeni mwingine ambao mimi nakua sina taarifa nao naona ka unaenda kinyume na bajeti zangu za mwezi.
Mimi binafsi ndugu zangu huwa wanatoa taarifa siku 3 nyuma kabla hawajaja kwangu hivyo tunajiandaa mapema.
So wakuu hii kitu imekaa kitaalamu kweli na nitumie mbinu gani kufikisha ujumbe kwa wife bila kumkwaza?
Wabandue, mkeo akijua atawazuia wasije kwake.
 
Habari zenu watu wa mapenzi.
Iko hivi,kwanza naomba kudiclea interest mimi sio mchoyo wala sina chembe za uchoyo kama ambavyo wengi wenu mngeweza kudhani.
Naishi mkoa tofauti na ambao familia yangu inaishi,so tarehe za mwisho wa mwezi kama hizi huwa natoroka kuja kuwasalimia siku kadhaa then narudi kituo changu cha kazi.
So ktk ujaji wangu home me huwa sitoi taarifa kwa yeyote huwa nawashtukiza tu ghafla ghafla..
Kama mara tano hivi kila nikija home nakuta ndugu za wife tofauti tofauti wapo home hapa,me sikua naona shida sana as me hawanibani kwa lolote,last month nilikuja nikamkuta mdogo wa wife na mwanae wako hapo home na toka nifike mpaka wanaondoka tulikaa nao karibu siku 8 sikutaka kuuliza wamekuja lini.
So jana tena nimekuja kimya kimya home nimemkuta ndugu mwingine wa kike wa wife wamefunga chuo yupo home hapa sijahoji lolote.
So leo nikiwa ndani na laptop yangu namalizia vimeo vyangu vya job mara ghafla nasikia geti linagongwa kaingia wifi wa wife yani mke wa kaka yake na mwanae na ninavyoona hawa sio wa kuondoka leo coz naona mpaka wana kibegi wamebeba.
Sitaki kumuuliza wife hizi mambo za ndugu zake kuja hapa as anajua me sio mtu wa kujali sana mambo hayo ila sasa kama baba wa familia nashangaa kwa nini sihusishwi kwenye ujaji wa hawa wageni as mnavyojua sahivi hali ya maisha imekua ngumu kidogo na watu tunapambania tu familia zetu ziende chooni, sasa huu ugeni mwingine ambao mimi nakua sina taarifa nao naona ka unaenda kinyume na bajeti zangu za mwezi.
Mimi binafsi ndugu zangu huwa wanatoa taarifa siku 3 nyuma kabla hawajaja kwangu hivyo tunajiandaa mapema.
So wakuu hii kitu imekaa kitaalamu kweli na nitumie mbinu gani kufikisha ujumbe kwa wife bila kumkwaza?
MWAMBIE HIVI: MKE WANGU, NDUGU ZAKO NAWAPENDA SANA KIASIKWAMBA NAJISIKIA VIBAYA WAKIONDOKA BILA MIMI KUWAPA CHOCHOTE KWAKUWA MUDA MWINGINE NAKUWA SINA TAARIFA KAMA WANAKIJA, ILA WANGEKUWA WANANIPA TAARIFA KABLA NINGEWEZA KUJIANDAA NA KUFANYA JAMBO ZURI. HIVYO MKE WANGU NIWE NAPEWA TAARIFA YA UJIO WAO. NAKUPENDA MKE WANGU.
 
Nimeipenda hii

Na asishangae behind the scene mke analalamika yan mume wangu hata nikifanya jambo gani yan hasemi kabisa?
au itakua amewekewa nyama ndan ya knyama kisha akala.ndo mana amekua soyboy, simps boy, yan huna la kumwambia mkeo yan daaaaah shame upon u bro embu badlisha mfumo usiangalie ataaccept vp ww ndo kchwa hapo na una maamuz
BE ALPHAMAN smamia uwanaume wako babu
alaf jiunge telegram channel ya WAFALME ndo utaelewa yan mwanaume unakosa maamuz na kwako kwel daaaaah daaaah daaaah shame upon u upto when yu change ur stupid mind
 
MWAMBIE HIVI: MKE WANGU, NDUGU ZAKO NAWAPENDA SANA KIASIKWAMBA NAJISIKIA VIBAYA WAKIONDOKA BILA MIMI KUWAPA CHOCHOTE KWAKUWA MUDA MWINGINE NAKUWA SINA TAARIFA KAMA WANAKIJA, ILA WANGEKUWA WANANIPA TAARIFA KABLA NINGEWEZA KUJIANDAA NA KUFANYA JAMBO ZURI. HIVYO MKE WANGU NIWE NAPEWA TAARIFA YA UJIO WAO. NAKUPENDA MKE WANGU.
anaanzaje na anamuogopa mke wake huyo
kiufup ukwel unauma na kama mwanaume asimamie uwanaume wake kiufup kama yeye ndo anatafuta.hapasw kupleaseplease kzembe yan maana yangu n kwamba amfungukie ukwel no.matter what hali ngumu sanaa mafuta hayachanganyikan na maji yan kwaio aamue kua mwanaume thabit kchwa cha familia thabit au alearn from hardway
 
Japo umedeclare kwamba huna uchoyo ila una dalili za uchoyo. Hiyo bajeti unayompa kila mwezi alikwambia haitoshi? Mbona inaonekana kama anaweza kumanage. Ukishaanza kumpangia wife kuhusu ndugu zake nakuhakikishia ndugu zako watapata tabu sana hapo kwako. Hayo mambo madogo sana hebu achana nayo. Mwenyezi Mungu anatokuongezeeni riziki kwa kuwakirimu wageni
unalosema sahiii lakin swala n taarfa babu
kama mwanaume inapashwa upewe taaarfa il ujipange no matter bajet mkewe anamanange suala n taarfa
what if wagen wanakuja bajet inatosha lakn maalage na mboga za majan na ugal kila sku hao.wagen unazan wakiondoka watakaaa tyuuu kmya aiseee? kupewa taarfa n muim ili hata bajet iongezeke ya kubadlisha mlo pengnepo kuwatoa auti kidgo na mamb mengne ili sku.nyngne wawez kurud tena
ALAF NNA WASIWASI NA WW huenda hujafkilia mbali ww
pia n kwel wagen baraka lakn kwa zama hz wagen lawama kama hatokbaliana na hali iliopo nyumban kwako
 
There's something bing in your HOUSE

Ukiona MTU akae na kupanga safari ya kuja kukusalimi kwako you need to Appreciate it .

Ushauri
Mfundishe tu mkeo kuwa ni vizuri akawa anakupa taarifa mbalimbali za ujio wa wageni hapo nyumbani.
 
Back
Top Bottom