Ndugu wanachangia kukuporomosha kiuchumi

Ndugu wanachangia kukuporomosha kiuchumi

Salaaam.

Usimwamini ndugu yako kwenye kuweka akiba. Maisha ni kuishi na ili uishi vizuri unatakiwa utimiziwe maitaji au ujitimizie mwenyewe.

Kuweka akiba ya pesa na thamani ni moja katika jitihada ya kutaka kujitimizia maitaji yako hapo badae. Katika watu wanaorudisha nyuma kufikia malengo ni ndugu,jamaa na marafiki wakishajua umejiwekea kiasi fulani iwe bank au nyumbani watakuja kukukopa tu wakijua uwezi wanyima wanalalamika na shida zao mbalimbali,ukilazimika kuwasaidia toa pesa ambayo haitakuithiri na kulalamika kwa namna yoyote.

Usimpatie ndugu kiasi chochote kwa kumwamini atakutunzia kwakuwa wewe huwezi unahofia utatumia hakika na yeye pia ataitumia akiwa na matatizo yake. Hakikisha iwe siri yako usimwambie mtu yoyote zaidi ya 1 au 2 tu unaowaanini angalau 85% na iwe kwa ajili kama itatokea dharura yakupoteza maisha au kuugua.

Ndugu ni adui hai kwenye uchumi wako ishi nao kwa makini watakuyumbisha,ni ngumu kumdai ndugu yako wakaribu kiasi chapesa kwanguvu zote utaona aibu tu na utaonekana hauna utu ata kidogo. Tuwe makini na ndugu zetu katika kukuza vipato vyetu.

Tujitaidi kunawa mikono kwa maji safi na sabuni bila kusahau kuvaa barakoa.
Yaani hili ni tatizo kubwa sana jamani yameshanikuta sana haya wakija sasa kuomba na sura ya huruma hujawahi kuiona ila ngoja sasa umpe ukione chamoto.
 
Yaani hili ni tatizo kubwa sana jamani yameshanikuta sana haya wakija sasa kuomba na sura ya huruma hujawahi kuiona ila ngoja sasa umpe ukione chamoto.
Ni bora umpatie kama unayo lakini usimkopeshe utaimba aleluya chooni maana izo stress zake
 
Yani unamlipiza unasubili ajisahau unatafuta tatizo ata lakupanga unamuotea unamwazima pesa zaidi alafu aisome namba
Hao wapo vizuri sana katika kutokutoa pesa hhahhaha yani kwanza ni wagumu mno sijawahi kuona sijui kuna watu wameubwaje nashindwa kuelewa.
 
Back
Top Bottom