Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Bust - kupasuka❌Mwaka jana ndugu yangu kabsa wa damu alikuja na kuomba nimpatie pesa ili a bust biashara zake, kwa vile alijuwa kuwa kuna kititi nimepokea kutoka Taasis fln ya umma.
Sikuweza kumnyima kwa vile mm pia nilikuwa nafikiriaa cha kufanyia hizo pesa either ninunue kiwanja dodoma am au nianzishe ujenzi.
Kwa hyo kwa kifupi sikuwa na haraka sna na hizo pesa, Sasa ni mwaka una karibia kukatiwa hadi Leo hajapata na amekata mawasiliano na mimi kabisa nimeenda home nikamshaki kwa wazazi, wazazi wakasema watampigia aje aseme lini atanipatia hzo pesa kwa vile hata mimi nimekwama, akitoa ahadi kuwa mwezi wa Tisa atanilipa ila hadi sasa hajafanya lolote!
Na fikiria kupeleka mahakamani ili nikapate haki yangu ambayo anataka kunidhulumu
Ndugu yangu ana kazi yake nzuri tu ana maisha mazuri tu ila nashangaa hati kunipa pesa zangu. Nampeleka mahakamani jumatatu
Naombeni ushauri wenu
Hivi ukoo ukikugeukia na hakuna msaada wowote kwenye maisha yako kuna shida gani???Wewe bwana Bosco Ntaganda nakushauri na nakushauri tena achana kabisa na huo mpango wa kumpeleka sijui wapi ,nakuambia haya kwa ushahidi wangu wakati nilimkopesha anko ,kwenye kulipa anko akazingua ikanibidi nitumie nguvu hivyo hivyo, matokeo yake ukoo mzima ukaja kunigeukia mimi ,chunga sana mkuu
Watu wanapenda makaburi kuliko hata ndg wa damu, yaani watu hawana pesa ya kula alafu wwe unatuma pesa ya kujenga kaburi!hata mi ningekula kwanza na ujenzi siku nyingine! Yaani ukiwa hai hupewi hata pesa ya kula, ukifa unajengewa hadi kaburi! Watu weusi ni shida sana!!Sasa watu wananjaa nawewe hujawai kuwatumia pesa yakujikim hata siku moja ila pesa yakujengea kaburi umetuma hata mim ningekula asee
Umpekeleke ndugu yako mahakamani sababu ya hela?
We ni mchaga sorry?
Umesaidia wangapi aisee ije kuwa ndugu yako kabisa tena unasema wadamu!
Potezea tu
Unamdai dada Yako? Muachie mjomba huyo katekwa na mumeweMwanamke aise siwezi pegania nae
Mbao arobaini mkuu unamdindia ndugu Yako? Samehe acha zakoHamna mtu mbaya kama ndugu, mi mwaka jana kuna bro wangu aliniomba mbao 40, niliangalia uwezo wake nikajua uhakika wa kulipwa upo, ila hadi leo ni sound tu.
Nimeapa siji kurudia huo upuuzi mpaka kuondoka kwangu duniani
Ni chache eti ee, sikuziokota njiani etiMbao arobaini mkuu unamdindia ndugu Yako? Samehe acha zako
Sasa ndugu Yako unamwekea bifu kisa mbao?Ni chache eti ee, sikuziokota njiani eti
kawakodi OYA wakusaidie ,wakimuua unaenda jelaMwaka jana ndugu yangu kabsa wa damu alikuja na kuomba nimpatie pesa ili a bust biashara zake, kwa vile alijuwa kuwa kuna kititi nimepokea kutoka Taasis fln ya umma.
Sikuweza kumnyima kwa vile mm pia nilikuwa nafikiriaa cha kufanyia hizo pesa either ninunue kiwanja dodoma am au nianzishe ujenzi.
Kwa hyo kwa kifupi sikuwa na haraka sna na hizo pesa, Sasa ni mwaka una karibia kukatiwa hadi Leo hajapata na amekata mawasiliano na mimi kabisa nimeenda home nikamshaki kwa wazazi, wazazi wakasema watampigia aje aseme lini atanipatia hzo pesa kwa vile hata mimi nimekwama, akitoa ahadi kuwa mwezi wa Tisa atanilipa ila hadi sasa hajafanya lolote!
Na fikiria kupeleka mahakamani ili nikapate haki yangu ambayo anataka kunidhulumu
Ndugu yangu ana kazi yake nzuri tu ana maisha mazuri tu ila nashangaa hati kunipa pesa zangu. Nampeleka mahakamani jumatatu
Naombeni ushauri wenu
Mbao 40 kama ni mbili Kwa nane hapo unazungumzia laki 4. Kwaiyo ww unataka asamehe iyo hela kizembe TU.Sasa ndugu Yako unamwekea bifu kisa mbao?
Sikulipi bwana mdogo hapa ni ubaya ubwela, afile munu asigale munuMwaka jana ndugu yangu kabsa wa damu alikuja na kuomba nimpatie pesa ili a bust biashara zake, kwa vile alijuwa kuwa kuna kititi nimepokea kutoka Taasis fln ya umma.
Sikuweza kumnyima kwa vile mm pia nilikuwa nafikiriaa cha kufanyia hizo pesa either ninunue kiwanja dodoma am au nianzishe ujenzi.
Kwa hyo kwa kifupi sikuwa na haraka sna na hizo pesa, Sasa ni mwaka una karibia kukatiwa hadi Leo hajapata na amekata mawasiliano na mimi kabisa nimeenda home nikamshaki kwa wazazi, wazazi wakasema watampigia aje aseme lini atanipatia hzo pesa kwa vile hata mimi nimekwama, akitoa ahadi kuwa mwezi wa Tisa atanilipa ila hadi sasa hajafanya lolote!
Na fikiria kupeleka mahakamani ili nikapate haki yangu ambayo anataka kunidhulumu
Ndugu yangu ana kazi yake nzuri tu ana maisha mazuri tu ila nashangaa hati kunipa pesa zangu. Nampeleka mahakamani jumatatu
Naombeni ushauri wenu
Hivi nyie watu wa jf hua maisha mnayaonaje eti??? Kwamba sio kitu cha maana au, kama wewe ni tajiri mimi bado najitafutaSasa ndugu Yako unamwekea bifu kisa mbao?