Ndugu yangu amegoma kunirudishia pesa zangu

Ndugu yangu amegoma kunirudishia pesa zangu

Kaka wanasema tenda wema nenda zako mwaka fulani nikiwa chuo nilinona kuna mwanachuo mwenzetu ni kanda moja alinyimwa kufanya mtihani wa mwisho kwasababu ya michango moyo wa hofu ya mungu ikaniingia nikampa laki tano japo kusema ukweli kipindi kile nilimpa tu sikuwaza madhara yake.
Tukamaliza chuo yeye mwaka moja tu kapata ajira huwezi amini mpka sasa mimi nipo mtaani yeye yupo kwenye mfumo mwaka wa 12 huu hajawahi nirudishia hata mia. Wanasema tenda wema nenda zako
Ila mimi sio kaka
 
Ukiendekeza ndugu utavuna magugu utakufa kibudu na Mungu hutamwabudu
 
Acha ujinga tafuta mabaunsa watatu tafuta fuso mshtukuze kwakwe muweke chini ya ulinzi Anza kusombelea thamani za ndani ya nyumba kiroho mbaya
 
Ukiweza anua tanga maana ukiendelea kumdai halafu akadinda mnaweza kuleta mpasuko kati yenu utakaodumu vizazi vyenu vyote.

Samehe ila usirudie tena! Utapata nyingine nyingi zaidi
Mshana Jr, ktk ubora wake,....

Nimeipenda hii point....
 
Umpekeleke ndugu yako mahakamani sababu ya hela?

We ni mchaga sorry?

Umesaidia wangapi aisee ije kuwa ndugu yako kabisa tena unasema wadamu!

Potezea tu
Mimi sio mahakamani tu yaani nakuja kwako nabeba kila kitu...

Undugu kwenye biashara ni vitu viwili tofauti.
 
Mimi mwenyewe nilipanganae mshikaji wangu, yupo uko mkoani,tufanye biashara ,nikamtumia pesa, akanichenga chenga,mwisho wa picha kaingia mitini
 
Ukiweza anua tanga maana ukiendelea kumdai halafu akadinda mnaweza kuleta mpasuko kati yenu utakaodumu vizazi vyenu vyote.

Samehe ila usirudie tena! Utapata nyingine nyingi zaidi
Hilo ni kosa lako mwenyewe ndugu yako fast time unamkopesha 5M ulikuwa umpatie 5K or 1M any way unajitakia uhasama wa kizazi chenu hata hiyo mahakama anakwenda kukuumbua madamu huna mashahidi wala hamjaandikiaka kama unao ushahidi kesi inaweza kubadilika .
 
ukitaka kuonekana mmbaya dai chako
Ndomana kuna watu hawakopeshi wala kuwapa watu hela yaani full ukauzu

Ova
 
Broo mm sin uwezo wa kumzamehe mtu milion 5 sina kwa kweli sina hata Uwezo wa kusamhe laki mbili sembuse hyo hapna jtatu kesi itanza
Ongea na wazee kwanza kabla ya kwenda kwenye sheria.. Kama ndio tabia yake hata huko kwenye sheria atakusumbua
Kesi za madai ni ngumu sana hasa kama hakuna maandishi.. Na anaweza kukubali deni lakini akaiambia mahakama kutokana na kipato chake uwezo wake wa kulipa ni elfu 20 kila mwezi.. Mahakama haina uwezo kwa kumlazimisha alipe kwa mkupuo
Mkuu uko positive sana na maisha
Positivity huleta furaha, siha njema na huongeza umri wa kuishi na kuchelewa kuzeeka
 
Broo mm sin uwezo wa kumzamehe mtu milion 5 sina kwa kweli sina hata Uwezo wa kusamhe laki mbili sembuse hyo hapna jtatu kesi itanza
Ongea na wazee kwanza kabla ya kwenda kwenye sheria.. Kama ndio tabia yake hata huko kwenye sheria atakusumbua
Kesi za madai ni ngumu sana hasa kama hakuna maandishi.. Na anaweza kukubali deni lakini akaiambia mahakama kutokana na kipato chake uwezo wake wa kulipa ni elfu 20 kila mwezi.. Mahakama haina uwezo kwa kumlazimisha alipe kwa mkupuo
Mkuu uko positive sana na maisha
Positivity huleta furaha
Mshana Jr, ktk ubora wake,....

Nimeipenda hii point....
❤❤❤📌🔨💪🏿
 
Niliandika nikiwa na maumivu mtanziko moyoni na akilini baada ya mleta mada kupandisha mada yenye mlengo wa kuziumiza hisia zangu Kama yeye hivyo nikajikuta katika typing errors

Alright ?

Toa ushauri Sasa niwafenyeje Hawa viumbe ila kuhusu undugu nishaanza kuupunguza kwa kutowapigia wakipata shida japo ninachohitaji zaidi ni hela yangu ,maana najua hata marehemu anaumia kuliko kawaida .
Wafungie vioo tu ila usiwatamkie neno baya mkuu...
 
Broo mm sin uwezo wa kumzamehe mtu milion 5 sina kwa kweli sina hata Uwezo wa kusamhe laki mbili sembuse hyo hapna jtatu kesi itanza
Kama uko serious:
nitumie picha yake full size,
majina yake matatu na majina ya mama yenu yawe mawili au matatu
nakupa wiki 2 utanipa majibu chanya
 
Sawa Kaka ila shida Mimi kusamehe sijui kabisa ndugu .

Hapa kila nikilala ikifika saa nane usiku naanza kujihisi moyo kuuma naamka naikumbuka ile hela Kuna mda nawaza labda niwaroge tu maana sielewi kabisa
Jikaze tu mkuu...

Kuna majuto mengi sana baada ya kufanya maamuzi kwa hasira.
 
Ndugu akikuomba umpatie mkopo usikubali. Akiomba umpatie pesa za kuendeleza mradi wake mpatie. Kamwe usimpe ndugu yako mkopo matokeo yake ni kuvunja undugu kwa kitu pesa.
 
Kuna kitu inatakiwa kijulikane ndugu hakopeshwi anasaidiwa tu. Yaani ndugu yako akija na gia ya nikopeshe ww katika hitaji lake angalia kias unachoweza kumsaidia mfano anahitaji laki tano ww unauwezo wa laki moja mwambie sina laki tano ila ntakukopesha laki moja huku moyoni ukijua kabsa umemsaidia
Nimewahi kukopesha ndugu zaidi ya watatu hakuna hata moja amewahi kunirudishia hata mia ila kwakuwa ilikuwa ni pesa ninayoimudu sikuumia wala kuwaza.
Ndugu lawama.

Kumbuka AOCH WAT ILOREGA MOS MOS.
Kumbe tuko wengi, hiyo imekuwa njia yangu ya kumalizana na ndugu na jamaa kiurahisi kabisa, yeye anajuwa nimempa kama deni wakati mimi najuwa nimemsaidia akirudisha sawa asiporudisha napo sawa tu.
 
Back
Top Bottom