Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Ubinadamu ni kazi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weee naye kipi Cha ajabu hapo? Sasa watu wanauana na ni mtu na ndugu yake sembuse mahakaman? Mahakaman sio jehanami ni sehem ya kupata haki Yako?Kipi chaUmpekeleke ndugu yako mahakamani sababu ya hela?
We ni mchaga sorry?
Umesaidia wangapi aisee ije kuwa ndugu yako kabisa tena unasema wadamu!
Potezea tu
Mkuu Kichogo si wangeniomba kuliko kula hela ya nyumba ya marehemu ? Unahisi marehemu atakuwa amependa huo ujinga wao ?Sasa watu wananjaa nawewe hujawai kuwatumia pesa yakujikim hata siku moja ila pesa yakujengea kaburi umetuma hata mim ningekula asee
Aiseee huyu mtu mjinga kwel ,yaan anamlq dadako miaka yote iyo alaf anakuja kukopa na anakurusha?Ndugu wengi ni wapumbavu sana! Mimi miaka 15 hajanilipa Hela yangu na ni shemeji yangu amemuoa dada yangu! Alikuja anaomba utamhurumia sana na ni mtumishi wa uma! Qmmmmk!
Kwa ujumla watanzania wengi sio waaminifu. Ukimkopesha hela tu anaanza kuwa adui yako pindi ukianza kumdai.Zama za leo watu wengi wenye uhusiano wa karibu wamekuwa matapeli. Utapeli (wizi wa kuaminiana) unaongezeka kwa kasi sana miongoni mwa jamaa wa karibu.
Kama inawezekana msamehe tu then yootezee hilo deni. Msije mkaanza kurogana bure
Kama mimi shemeji yangu nilimpa hela yangu toka 2010 lakini mpaka leo namdai kalipa nusu tu. Na thamani ya hela yenyewe imeshuka kwelikweli, hata akilipa sasa hivi haiwezi fidia thamani. Nimempotezea tu.Aiseee huyu mtu mjinga kwel ,yaan anamlq dadako miaka yote iyo alaf anakuja kukopa na anakurusha?
Ndugu hakopeshwi ndugu yangu, Kwa sababu huwezi pata nguvu ya kudai kwa nguvuMwaka jana ndugu yangu kabsa wa damu alikuja na kuomba nimpatie pesa ili a bust biashara zake, kwa vile alijuwa kuwa kuna kititi nimepokea kutoka Taasis fln ya umma.
Sikuweza kumnyima kwa vile mm pia nilikuwa nafikiriaa cha kufanyia hizo pesa either ninunue kiwanja dodoma am au nianzishe ujenzi.
Kwa hyo kwa kifupi sikuwa na haraka sna na hizo pesa, Sasa ni mwaka una karibia kukatiwa hadi Leo hajapata na amekata mawasiliano na mimi kabisa nimeenda home nikamshaki kwa wazazi, wazazi wakasema watampigia aje aseme lini atanipatia hzo pesa kwa vile hata mimi nimekwama, akitoa ahadi kuwa mwezi wa Tisa atanilipa ila hadi sasa hajafanya lolote!
Na fikiria kupeleka mahakamani ili nikapate haki yangu ambayo anataka kunidhulumu
Ndugu yangu ana kazi yake nzuri tu ana maisha mazuri tu ila nashangaa hati kunipa pesa zangu. Nampeleka mahakamani jumatatu
Naombeni ushauri wenu
Daktari Carlos The Jackal nimekuelewa Kaka ila Sasa naendaje kulijenga na hela wamekula wao ?Nenda kalijenge Kwa usimamizi wako..kwanza ulifanya makosa kutuma Pesa Kujenga kabri la mzazi bila uwepo wako.
Funga safari, kalijenge, alafu endelea kumjali bibi yako.
Pesa amekula Mama Mdogo wako, ila kwakua ni mtoto wa Bibi yako, bibi yako akaona apoozee tu.
Nimepiga kelele mpka watu ofisini wamenigeukia .2021 nilipata mkopo ndg yangu mfanyabiashara akaniomba hela m10 nikampa m8 akini hakikishia ndani ya miezi 4atakuwa kshamaliza kurudisha hela yote.
mwezi wa kwanza,pili na watatu ukakata bila chotechote kunipa
mwezi wa4 akaniwekea laki5 uliofata 150k uliofaata 200k ndo ikawa mwisho.
nikaenda kwa wazee wakaniambia msamehe vingine mtakosana hadi na watoto wenu akiamua kukupa na akupe
iwapo hata kupa achana nae.
namimi nikaachana nae japo yeye huwa namuona hana amani kabisa na issue kubwa ipo kwa wife hajawahi sahau
NAKUOMBA SAMEHE MKUU.mtakujha uana nakwambia
Ndio ninachofanya sasa hivi. Sitaki stress za watu mimi.Always lend what you can afford to loose.
Ushauri gani unataka,wakati unampa pesa uliomba ushauri?Mwaka jana ndugu yangu kabsa wa damu alikuja na kuomba nimpatie pesa ili a bust biashara zake, kwa vile alijuwa kuwa kuna kititi nimepokea kutoka Taasis fln ya umma.
Sikuweza kumnyima kwa vile mm pia nilikuwa nafikiriaa cha kufanyia hizo pesa either ninunue kiwanja dodoma am au nianzishe ujenzi.
Kwa hyo kwa kifupi sikuwa na haraka sna na hizo pesa, Sasa ni mwaka una karibia kukatiwa hadi Leo hajapata na amekata mawasiliano na mimi kabisa nimeenda home nikamshaki kwa wazazi, wazazi wakasema watampigia aje aseme lini atanipatia hzo pesa kwa vile hata mimi nimekwama, akitoa ahadi kuwa mwezi wa Tisa atanilipa ila hadi sasa hajafanya lolote!
Na fikiria kupeleka mahakamani ili nikapate haki yangu ambayo anataka kunidhulumu
Ndugu yangu ana kazi yake nzuri tu ana maisha mazuri tu ila nashangaa hati kunipa pesa zangu. Nampeleka mahakamani jumatatu
Naombeni ushauri wenu
Niliandika nikiwa na maumivu mtanziko moyoni na akilini baada ya mleta mada kupandisha mada yenye mlengo wa kuziumiza hisia zangu Kama yeye hivyo nikajikuta katika typing errorsHata waki what?
Ni kweli. Sio kwa ndugu tu, hata watu wengine. Ukija kukopa laki, nakupa 20k, nyingine kaombe kwa wengine . Nina rafiki watatu ndio tunakopeshana kwa uaminifu mkubwa.Kuna kitu inatakiwa kijulikane ndugu hakopeshwi anasaidiwa tu. Yaani ndugu yako akija na gia ya nikopeshe ww katika hitaji lake angalia kias unachoweza kumsaidia mfano anahitaji laki tano ww unauwezo wa laki moja mwambie sina laki tano ila ntakukopesha laki moja huku moyoni ukijua kabsa umemsaidia
Nimewahi kukopesha ndugu zaidi ya watatu hakuna hata moja amewahi kunirudishia hata mia ila kwakuwa ilikuwa ni pesa ninayoimudu sikuumia wala kuwaza.
Ndugu lawama.
Kumbuka AOCH WAT ILOREGA MOS MOS.
Safi kabisa mkuu maana yake hata akikudhulumu hauwezi kuumia kwa kuwa ipo ndani ya uwezo wakoNi kweli. Sio kwa ndugu tu, hata watu wengine. Ukija kukopa laki, nakupa 20k, nyingine kaombe kwa wengine . Nina rafiki watatu ndio tunakopeshana kwa uaminifu mkubwa.
Nimekopesha watu kadhaa lakini wameishia ku block namba yangu. Sitaki stress na hela zangu. Tunajifunza kupitia watu.Safi kabisa mkuu maana yake hata akikudhulumu hauwezi kuumia kwa kuwa ipo ndani ya uwezo wako
Kaka wanasema tenda wema nenda zako mwaka fulani nikiwa chuo nilinona kuna mwanachuo mwenzetu ni kanda moja alinyimwa kufanya mtihani wa mwisho kwasababu ya michango moyo wa hofu ya mungu ikaniingia nikampa laki tano japo kusema ukweli kipindi kile nilimpa tu sikuwaza madhara yake.Nimekopesha watu kadhaa lakini wameishia ku block namba yangu. Sitaki stress na hela zangu. Tunajifunza kupitia watu.
Watanzania ni watu wa ajabu sana. Mtu anakuja kwako akiwa na shida, zikiisha hakuthamini tena.Kaka wanasema tenda wema nenda zako mwaka fulani nikiwa chuo nilinona kuna mwanachuo mwenzetu ni kanda moja alinyimwa kufanya mtihani wa mwisho kwasababu ya michango moyo wa hofu ya mungu ikaniingia nikampa laki tano japo kusema ukweli kipindi kile nilimpa tu sikuwaza madhara yake.
Tukamaliza chuo yeye mwaka moja tu kapata ajira huwezi amini mpka sasa mimi nipo mtaani yeye yupo kwenye mfumo mwaka wa 12 huu hajawahi nirudishia hata mia. Wanasema tenda wema nenda zako