Chance ndoto
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 4,363
- 10,265
Habari za wakati huu wana JF wenzangu. Washiriki wenzangu wa kila hali.
Leo na mimi nimepata tatizo, tena kwa ndugu yangu, tena ninayekaa nae nyumbani kwangu. Tatizo analolipitia ni anasikia SAUTI za watu zikimuita akiwa ndani, anasikia magari yanakuja nyumbani, anataja polisi wanakuja, mara watu. Asubuhi ya leo alisema kuna muda kamuona mtu ambae sisi hatumuoni, hadi muda huu ni mtu wa hivyo.
Ila ni kijana smart mwenye kazi yake. Ameshindwa hata kufika ofisini. Inshort ni mtu wa mawazo hadi muda huu.
Sasa embu mnipe msaada wa mawazo kwenye hili. Maana mimi kwangu naona kama naliweza ila naona hali inayoendelea ni ile ile. Nimekaa nae toka asubuhi.
Nafanya ajione yupo kwenye dunia ya kawaida asione amechanganyikiwa ila kiuhalisia jamaa yangu huyu amechanganyikiwa.
Muda huu sauti ya TV ipo juu ili asisikie hizo sauti. Naona inafanya kazi mbinu hiyo maana mpaka analala.
Leo na mimi nimepata tatizo, tena kwa ndugu yangu, tena ninayekaa nae nyumbani kwangu. Tatizo analolipitia ni anasikia SAUTI za watu zikimuita akiwa ndani, anasikia magari yanakuja nyumbani, anataja polisi wanakuja, mara watu. Asubuhi ya leo alisema kuna muda kamuona mtu ambae sisi hatumuoni, hadi muda huu ni mtu wa hivyo.
Ila ni kijana smart mwenye kazi yake. Ameshindwa hata kufika ofisini. Inshort ni mtu wa mawazo hadi muda huu.
Sasa embu mnipe msaada wa mawazo kwenye hili. Maana mimi kwangu naona kama naliweza ila naona hali inayoendelea ni ile ile. Nimekaa nae toka asubuhi.
Nafanya ajione yupo kwenye dunia ya kawaida asione amechanganyikiwa ila kiuhalisia jamaa yangu huyu amechanganyikiwa.
Muda huu sauti ya TV ipo juu ili asisikie hizo sauti. Naona inafanya kazi mbinu hiyo maana mpaka analala.