Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
Pole sana kuna jambo huenda ni zito amelifanya sasa anapata mawenge hii kauli " Polisi hao" Watu hao" kuna iisue hapo hiyo hali imemwathiri chakufanya.
Kumuone Dr. Wakati huo mpe soda hasa fanta orange, juice ya machungwa kwa wingi na maziwa fresh hii inasaidia kupambana na hali hiyo.
Kuna Ndugu yetu alipata hali kama hiyo baada ya kutoka kwenye Ugojwa ulimpelekea kuwa kwenye Corma kwa masaa kadhaa.
Baada ya kuruhusiwa aliporudi nyumbani alinza kupaata hali kama hiyo
Kumuone Dr. Wakati huo mpe soda hasa fanta orange, juice ya machungwa kwa wingi na maziwa fresh hii inasaidia kupambana na hali hiyo.
Kuna Ndugu yetu alipata hali kama hiyo baada ya kutoka kwenye Ugojwa ulimpelekea kuwa kwenye Corma kwa masaa kadhaa.
Baada ya kuruhusiwa aliporudi nyumbani alinza kupaata hali kama hiyo