Ndugu yangu anafanya na kuongea mambo ambayo hayaeleweki

Mpeleke hospitali acheki kwanza malaria hienda imepanda kichwani! Pia daktari wa magonjwa ya akili na afya ya ubongo amcheki huenda pia anasumbuliwa na msongo wa mawazo aka depression.
 
mshale huyo kapigwa,kabla ya base ktk hili kaa nae muulize vizuri,Kama ameiba haki ya mtu,akwambie ukweli ujue unaanzia wapi kumsaidia.
 
Iliwahi kunitokea kipindi cha nyuma kwakuwa walidhani ni matumizi ya pombe nilipelekwa sober house ilhali mambo yaliendelea vilevile mpaka nilipomaliza miezi minne ndipo nilipoanza kupata nafuu
Uliponaje mkuu?
 
Kama uko DSM wahi Muhimbili kitengo cha magonjwa ya akili huku pia kama mnaamini mpeleke kwenye maombi haraka mno.

Kama ni mkristu uje PM nikupe namba za watumishi waombaji wapo DSM haraka.
 
Asante Sana Umeliweka kitaalam
 
Poleee sana, kuna tukio kama hilo pia lilitokea Morogoro. Kijana akajirusha barabarani hiace ikampitia akafariki hapo hapo. Alikuwa ana mgogoro na mkewe.
 
Kama uko DSM wahi Muhimbili kitengo cha magonjwa ya akili huku pia kama mnaamini mpeleke kwenye maombi haraka mno. Kama ni mkristu uje PM nikupe namba za watumishi waombaji wapo DSM haraka.
Hao jana wamempaka chumvi ndio wamemchanganya kabisa kufikia hatua hiyo.alienda jana kwaajili ya maombezi ya kuacha pombe. Katoa jioni. Imefika saa kumi na mbili ndio kawa hivi kama kichaa tu.
 
Huyo ni mgonjwa wa akili,mpeleke kwenye kituo cha Afya kilichopo jirani.
 
Mpeni Kvant atakuwa kaimiss....!
 
Halafu hii schizophrenia source yake ni Nini
 
Mwambie aache bange
 
Depression hizo.

Atakua anakaribia kupata bipolar disease.

Mpeleke mwananyamala wata kurefer muhimbili kuna wataalamu pale watakusaidia.

But currently unaweza mpa dawa za usingizi apumzishe akili.

Mpeleke hospital na usije kujaribu kumpeleka kwa waganga wala watu wa maombi hataharibikia huko.

Please do the need.
 
Kama uko DSM wahi Muhimbili kitengo cha magonjwa ya akili huku pia kama mnaamini mpeleke kwenye maombi haraka mno. Kama ni mkristu uje PM nikupe namba za watumishi waombaji wapo DSM haraka.
Maombi atapotea. Aende hospital.
 
Poleee sana, kuna tukio kama hilo pia lilitokea Morogoro. Kijana akajirusha barabarani hiace ikampitia akafariki hapo hapo. Alikuwa ana mgogoro na mkewe.
Hatari sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…