Ndugu yangu anafanya na kuongea mambo ambayo hayaeleweki

Pole sana kuna jambo huenda ni zito amelifanya sasa anapata mawenge hii kauli " Polisi hao" Watu hao" kuna iisue hapo hiyo hali imemwathiri chakufanya.

Kumuone Dr. Wakati huo mpe soda hasa fanta orange, juice ya machungwa kwa wingi na maziwa fresh hii inasaidia kupambana na hali hiyo.

Kuna Ndugu yetu alipata hali kama hiyo baada ya kutoka kwenye Ugojwa ulimpelekea kuwa kwenye Corma kwa masaa kadhaa.

Baada ya kuruhusiwa aliporudi nyumbani alinza kupaata hali kama hiyo
 
Mkuu hospital na maombi mkuu. Dunia hii Kwa sasa ni changamoto Sana. Maofisini huko kuna mambo mengi Sana. Hata mitaani Tu. Hivyo unapiga kotekote. Kwa mganga tu ndiyo nasema asikanyage kabisa. Ila hospital na maombi ni tick.
Mimi nishauguza mtu wa namna hiyo.

Alikutana na wachungaji wakawa wanampoteza sijui kuibiwa nyota sijui takataka gani za majini.... Akahama akili kuona kila mtu mchawi....

Mwisho wa siku akaponea hospital na nilipiga marufuku kwenda kuombewa....

Hawa wachungaji wa sasa ni wajasiriatumbo.

Nina experience na hao watu.
 
Bora tumuombee sisi wenyewe hapa jf lakini sio kumpeleka sjui kwakina mwamposa mzee wa upako gwajima na takataka kama hizo
 
Bipolar ina dalili za hallucination?
 
Kutakuwa kuna tatizo alipitia labda alivykuwa mdogo hivyo alikuwa akilifiria kwa muda mrefu mpaka leo.
Na ndio sababu ya yote hayo.

mpeleke hospitali haraka kabla hajachoka na kuamua kujitoa roho.
 
Moja ya dalili za mental illness hamna cha ushirikina wala nini.

Mpeleke hospital hizo ni hallucinations tu
 
Waongo nyie
 
Mpelekeni hospitali ya wagonjwa wa akili au kwa watu wa ushauri na saikolojia msiende kupiga ramli kaliua!
 
Watu bana! Ushauri mwiiiiiingi kumbe nyuma ya pazia wanaelewa kinachoendelea. Wengi wao ni members.
Tuwe waangalifu, hivi sasa hali ni mbaya sana sana!
 
Amina
 
Iliwahi kunitokea kipindi cha nyuma kwakuwa walidhani ni matumizi ya pombe nilipelekwa sober house ilhali mambo yaliendelea vilevile mpaka nilipomaliza miezi minne ndipo nilipoanza kupata nafuu
hhhhhhhhhhhhh chapombeee
 
Hiyo kitu inaitwa hallucination,aende hospitali atapatiwa matibabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…