Mkuu hospital na maombi mkuu. Dunia hii Kwa sasa ni changamoto Sana. Maofisini huko kuna mambo mengi Sana. Hata mitaani Tu. Hivyo unapiga kotekote. Kwa mganga tu ndiyo nasema asikanyage kabisa. Ila hospital na maombi ni tick.Maombi atapotea. Aende hospital.
Mimi nishauguza mtu wa namna hiyo.Mkuu hospital na maombi mkuu. Dunia hii Kwa sasa ni changamoto Sana. Maofisini huko kuna mambo mengi Sana. Hata mitaani Tu. Hivyo unapiga kotekote. Kwa mganga tu ndiyo nasema asikanyage kabisa. Ila hospital na maombi ni tick.
Bora tumuombee sisi wenyewe hapa jf lakini sio kumpeleka sjui kwakina mwamposa mzee wa upako gwajima na takataka kama hizoMimi nishauguza mtu wa namna hiyo.
Alikutana na wachungaji wakawa wanampoteza sijui kuibiwa nyota sijui takataka gani za majini.... Akahama akili kuona kila mtu mchawi....
Mwisho wa siku akaponea hospital na nilipiga marufuku kwenda kuombewa....
Hawa wachungaji wa sasa ni wajasiriatumbo.
Nina experience na hao watu.
Depression hizo.
Atakua anakaribia kupata bipolar disease.
Mpeleke mwananyamala wata kurefer muhimbili kuna wataalamu pale watakusaidia.
But currently unaweza mpa dawa za usingizi apumzishe akili.
Mpeleke hospital na usije kujaribu kumpeleka kwa waganga wala watu wa maombi hataharibikia huko.
Please do the need.
Wahi muhimbili faster.
Ushauri kuntu[emoji106]Mpeleke hospital kitengo cha magonjwa ya akili.
Waongo nyieUkimleta kanisani kwetu atafunguliwa, wameshaletwa watu wanaofungwa hadi kamba, vichaa kabisa na wanafunguliwa.
Na ataombewa kwa jina la Yesu pekee hakuna mambo ya kishirikina kama chumvi na vingine. Jina la Yesu limekamilika lina nguvu ya kuponya na kufukuza takataka zote.
Kama hutojali karibu PM
Ana "hallucinations", karibu Mirembe Hospital kwa matibabu ya uhakika.Mpeleke hospital kitengo cha magonjwa ya akili.
AminaUkimleta kanisani kwetu atafunguliwa, wameshaletwa watu wanaofungwa hadi kamba, vichaa kabisa na wanafunguliwa.
Na ataombewa kwa jina la Yesu pekee hakuna mambo ya kishirikina kama chumvi na vingine. Jina la Yesu limekamilika lina nguvu ya kuponya na kufukuza takataka zote.
Kama hutojali karibu PM
hhhhhhhhhhhhh chapombeeeIliwahi kunitokea kipindi cha nyuma kwakuwa walidhani ni matumizi ya pombe nilipelekwa sober house ilhali mambo yaliendelea vilevile mpaka nilipomaliza miezi minne ndipo nilipoanza kupata nafuu
Hiyo kitu inaitwa hallucination,aende hospitali atapatiwa matibabu.Habari za wakati huu wana JF wenzangu. Washiriki wenzangu wa kila hali.
Leo na mimi nimepata tatizo, tena kwa ndugu yangu, tena ninayekaa nae nyumbani kwangu. Tatizo analolipitia ni anasikia SAUTI za watu zikimuita akiwa ndani, anasikia magari yanakuja nyumbani, anataja polisi wanakuja, mara watu. Asubuhi ya leo alisema kuna muda kamuona mtu ambae sisi hatumuoni, hadi muda huu ni mtu wa hivyo.
Ila ni kijana smart mwenye kazi yake. Ameshindwa hata kufika ofisini. Inshort ni mtu wa mawazo hadi muda huu.
Sasa embu mnipe msaada wa mawazo kwenye hili. Maana mimi kwangu naona kama naliweza ila naona hali inayoendelea ni ile ile. Nimekaa nae toka asubuhi.
Nafanya ajione yupo kwenye dunia ya kawaida asione amechanganyikiwa ila kiuhalisia jamaa yangu huyu amechanganyikiwa.
Muda huu sauti ya TV ipo juu ili asisikie hizo sauti. Naona inafanya kazi mbinu hiyo maana mpaka analala.