Ndugu yangu kama upo kwenye hatua ya kujitafuta kimaisha hapa namanisha kiuchumi basi fanya hivi

Ahahahahah yaani...
Ujinga ujinga tuuu..

Et akifika nyumbani apike msinunue chakula...
Yaani wanataka kuweka maisha magumu sana..

Sema mi kwa sasa napitaga tuu akija akipika asipike mi ni kuchapa na kusepa... Kuchapa + tukio= anasepa
Maisha magumu bado tena watu wanayaongezea ugumu.

mtu anajibaaaana anasevuuu anagongwa boda anadanja pesa zake tunapika masufuria ya wali nyama tunalia huku tunatafuna😹😹
 
Maisha magumu bado tena watu wanayaongezea ugumu.

mtu anajibaaaana anasevuuu anagongwa boda anadanja pesa zake tunapika masufuria ya wali nyama tunalia huku tunatafuna😹😹
Wansema don't complicate life....
Life hili hili KAMA IPO IPO TU.....

Unakifa kwa njaa alafu siku ya msiba wako watu wanakula na kusaza manina zaoooo ahahah
 
N
Nisisahau kukupongeza mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…