Ndugu yangu na wengine sita wakamatwa usiku wa manane wakihisiwa kujifunza ugaidi na hatujui waliko hadi sasa

Ishu ya picha nishatolea maelezo post za juu kwamba kwa imani yake hata kupiga picha ni dhambi so tumetafuta picha zake za nyuma tumekosa sasa unataka nitoe maelezo gani tena
Imani YAKE.

Hata kiongozi wa Daesh picha zake zipo na anajirekodi kila kukicha kuto avitisho.

Mkuu, posts zako zinazidi kuzua maswali na sintofahamu kubwa
 
serikali ina macho mia mbili!! haikosei,,,,bila shaka anaitwa bilal au?
 
Nashauri uongozi wa JF, TCRA na Polisi waingilie kati Uzi huu.
 
Nashauri uongozi wa JF, TCRA na Polisi waingilie kati Uzi huu.
Hivi bro unadhani unawez ukanitish kwa jambo ambalo halin kichwa wala miguu nimeshakuambia kam kun usalam hum nko tayar kuwek hat details zangu ili nkamwone ndugu yangu na ikiwezekana kumtetea
 
Hivi bro unadhani unawez ukanitish kwa jambo ambalo halin kichwa wala miguu nimeshakuambia kam kun usalam hum nko tayar kuwek hat details zangu ili nkamwone ndugu yangu na ikiwezekana kumtetea
Kwa sababu nina uhakika bro hausiki
 
Nashauri uongozi wa JF, TCRA na Polisi waingilie kati Uzi huu.
Kabla ya kusumbuka kuwatafuta hao watu mimi mwenyewe niko tayari kuweka details zangu mi sio type ya watu nayeogopa polisi pasi na kosa maalum n huk polisi nishawahi kwenda kupeleka kesi zaiidi ya tat na zote nilishinda
 
Hivi bro unadhani unawez ukanitish kwa jambo ambalo halin kichwa wala miguu nimeshakuambia kam kun usalam hum nko tayar kuwek hat details zangu ili nkamwone ndugu yangu na ikiwezekana kumtetea
Ninakutisha kivipi tena wakati hao watajwa ndio wanaweza kuwa mamalaka ambazo zinaweza kukupatia suluhisho?
 
Ninakutisha kivipi tena wakati hao watajwa ndio wanaweza kuwa mamalaka ambazo zinaweza kukupatia suluhisho?
Sas TCRA au jf inahusikaje kunipatia mm suluhisho kama si kutaka kupeleleza utambulisho wangu
 
Nina kaka yangu ambae ni wa kwanza kuzaliwa,

Mama yake mzazi analia kuchwa kutwa

ni mkazi wa RUANGWA mjini

bahati mbaya sikuwa hata na picha yake na mimi niko mbali na mkoani
Sas TCRA au jf inahusikaje kunipatia mm suluhisho kama si kutaka kupeleleza utambulisho wangu
Sidhani kama unaogopa kupelelezwa au unauogopa Uongozi wa JF au TCRA au POLISI.
Mimi nisha kudadavua na nishakuelewa una lengo gani hapa JF. Sina la ziada.

Mchana mwema and goodluck in your search.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…